Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Hamia Burundi
 
Hata kama hatuipend serikali ila kusema huu uongo to this extent ni ushoga tu aiseee,

Kila siku watu wanakuwa discharged hospitals, hospital zinaboreshwa, licha ya kuwa sio katika level tunayotaka, ila zipo bora kuliko jana

Huko mahakamani na police hao miaka yote ni shida kabisa, kesi za ardhi hata kikwete alikiri hadharani ni mzigo mnene na aliushindwa, ila yote kwa yote bado kesi zinaenda,
Tusiwe watoa uzushi tu kisa hatumpend mtu au taasisi fulani, tukosoane kihaki, wakizingua kuuza bandari tuwaambie ila sio kuwazushia
 
Hata kama hatuipend serikali ila kusema huu uongo to this extent ni ushoga tu aiseee,

Kila siku watu wanakuwa discharged hospitals, hospital zinaboreshwa, licha ya kuwa sio katika level tunayotaka, ila zipo bora kuliko jana

Huko mahakamani na police hao miaka yote ni shida kabisa, kesi za ardhi hata kikwete alikiri hadharani ni mzigo mnene na aliushindwa, ila yote kwa yote bado kesi zinaenda,
Tusiwe watoa uzushi tu kisa hatumpend mtu au taasisi fulani, tukosoane kihaki, wakizingua kuuza bandari tuwaambie ila sio kuwazushia
hayajakukuta utakuja kuandika upya, kaa na watu usikie wanapata changamoto zipi huko serikalini
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Hizo changamoto hazijawahi kulisha tangu tupate uhuru,acha kisingizia awamu hii
 
Yeyote mwenye uchumi sawia habari hii ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi!
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Mama anaupiga mwingi sana.Kaajili madaktari wengi sana na bado anaendelea, Migogoro ya ardhi kwa Mikoa kama Dar es salaam Kule Kinondoni Mkuu wa wilaya Godwin Gondwe na Huyu wa sasa SADY wanapiga kazi balaa wanatatua migogoro mpaka wanafika eneo la tukio mfano kule Bunju,Mabwepande , Halmashauri wameboresha huduma kinoma noma yaani wafanyakazi wameajiriwa kwa huduma inatoa yaani poa sana tu,Migogoro ya Ndoa inatatuliwa poa tu,Leseni za biashara Fasta kabisa ndiyo maana biashara nyingi zimeibuka siku hizi hata mitaa iliyofunga maduka imefungua,Yard nyingi za magari zilifungwa sasa zinafanya kazi,Watalii wamejaa kibao kwenye vivutio,Uhuru wa kutoa maoni upo juu,Majambazi wa mabunduki wamepotea kabisa ,

Tatizo lako unaforce kila unalowaza wewe unataka liwe wakati kuna taratibu za kufuata . Mama anaupiga mwingi sana Vituo vya Afya vilivyojengwa na JPM vimekamilishwa na Mama na kajaza Wahudumu wa Kutosha Barabara zinajengwa mwendo kasi hatari viwanda vinafunguliwa kila siku fursa ni nyingi hatari. Wale watumishi wa umma walioishi kwa huzuni siku hizo wako na vibe la hatari maana mishahara imepanda vyeo wanapanda Halafu Mama wala hajidai wala hapigi kelele maana miradi aliyoiacha Magufuli ameiendeleza yote kama ilivyopangwa na anaendelea kubuni maisha bora zaidi.

SAMIHA SULUHU HASSAN Aishi miaka mingi zaidi maana umewekwa na Mungu na atalindwa Mungu kwa ajili ya kututetea Watanzania. SAMIHA MITANO TENAAAAAA.
 
Mama anaupiga mwingi sana.Kaajili madaktari wengi sana na bado anaendelea, Migogoro ya ardhi kwa Mikoa kama Dar es salaam Kule Kinondoni Mkuu wa wilaya Godwin Gondwe na Huyu wa sasa SADY wanapiga kazi balaa wanatatua migogoro mpaka wanafika eneo la tukio mfano kule Bunju,Mabwepande , Halmashauri wameboresha huduma kinoma noma yaani wafanyakazi wameajiriwa kwa huduma inatoa yaani poa sana tu,Migogoro ya Ndoa inatatuliwa poa tu,Leseni za biashara Fasta kabisa ndiyo maana biashara nyingi zimeibuka siku hizi hata mitaa iliyofunga maduka imefungua,Yard nyingi za magari zilifungwa sasa zinafanya kazi,Watalii wamejaa kibao kwenye vivutio,Uhuru wa kutoa maoni upo juu,Majambazi wa mabunduki wamepotea kabisa ,

Tatizo lako unaforce kila unalowaza wewe unataka liwe wakati kuna taratibu za kufuata . Mama anaupiga mwingi sana Vituo vya Afya vilivyojengwa na JPM vimekamilishwa na Mama na kajaza Wahudumu wa Kutosha Barabara zinajengwa mwendo kasi hatari viwanda vinafunguliwa kila siku fursa ni nyingi hatari. Wale watumishi wa umma walioishi kwa huzuni siku hizo wako na vibe la hatari maana mishahara imepanda vyeo wanapanda Halafu Mama wala hajidai wala hapigi kelele maana miradi aliyoiacha Magufuli ameiendeleza yote kama ilivyopangwa na anaendelea kubuni maisha bora zaidi.

SAMIHA SULUHU HASSAN Aishi miaka mingi zaidi maana umewekwa na Mungu na atalindwa Mungu kwa ajili ya kututetea Watanzania. SAMIHA MITANO TENAAAAAA.
Hilo jina Lako tu linasanifu ulichoandika
 
Mama anaupiga mwingi sana.Kaajili madaktari wengi sana na bado anaendelea, Migogoro ya ardhi kwa Mikoa kama Dar es salaam Kule Kinondoni Mkuu wa wilaya Godwin Gondwe na Huyu wa sasa SADY wanapiga kazi balaa wanatatua migogoro mpaka wanafika eneo la tukio mfano kule Bunju,Mabwepande , Halmashauri wameboresha huduma kinoma noma yaani wafanyakazi wameajiriwa kwa huduma inatoa yaani poa sana tu,Migogoro ya Ndoa inatatuliwa poa tu,Leseni za biashara Fasta kabisa ndiyo maana biashara nyingi zimeibuka siku hizi hata mitaa iliyofunga maduka imefungua,Yard nyingi za magari zilifungwa sasa zinafanya kazi,Watalii wamejaa kibao kwenye vivutio,Uhuru wa kutoa maoni upo juu,Majambazi wa mabunduki wamepotea kabisa ,

Tatizo lako unaforce kila unalowaza wewe unataka liwe wakati kuna taratibu za kufuata . Mama anaupiga mwingi sana Vituo vya Afya vilivyojengwa na JPM vimekamilishwa na Mama na kajaza Wahudumu wa Kutosha Barabara zinajengwa mwendo kasi hatari viwanda vinafunguliwa kila siku fursa ni nyingi hatari. Wale watumishi wa umma walioishi kwa huzuni siku hizo wako na vibe la hatari maana mishahara imepanda vyeo wanapanda Halafu Mama wala hajidai wala hapigi kelele maana miradi aliyoiacha Magufuli ameiendeleza yote kama ilivyopangwa na anaendelea kubuni maisha bora zaidi.

SAMIHA SULUHU HASSAN Aishi miaka mingi zaidi maana umewekwa na Mungu na atalindwa Mungu kwa ajili ya kututetea Watanzania. SAMIHA MITANO TENAAAAAA.
We endelea kupokea buku 7 za promo hizo 🤣🤣🤣
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Kuna lipi lililobadilika toka awamu zilizopita?


Ni vizuri ukataja taasisi uliyopata changamoto na yule uliyemkuta akakupa hiyo changamoto. He kituo gani Cha polisi? Mahakama gani? Hospital au halmashauri gani?

Vinginevyo ni dhana dhahania na porojo za kuchngamsha kijiwe ua kutaka kusifia mtu.
 
Back
Top Bottom