Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

Naughty by nature, sawa nakubali Mimi ni masikini, na tupo wengi, nchi ni yetu. JPM alikuwa anatutea sisi.
Mfano mdogo tu TOTO Afya Kadi ilikuwa 50400/ Kwa mwaka. SASA ni 120000/ Kwa mwaka..
Afu unasema JPM Aliwatesa, akíli za Bata hizi
 
Umenene kweli kabisa ..Mimi nimelipia kuunganishiwa maji miez mitatu saiv wanasema hawana vifaa na ela nimelipa kwa control no..hapa KOROGWE MJI..nawaza kumtafuta wazir wa maji Juma aweso labda anaweza nisaidia nikapata maji
Pole ndugu, wapo Wengi sana kama wewe, kuna halimashauri moja KAZI zilisimama Kwa takribani wiki nzima kisa wamekatiwa umeme na TANESCO. Na Hakuna WA kulipa deni
 
Lini kipindi cha JPM uliskia upumbavu upumbavu kwenye huduma.
Ulikuwepo kama zamani tu
Mi binafsi 2016 nilikua Nina shida na TIN number,nimepata sana pale Mwenge
Sekta za umma hakuna mabadiliko makubwa kwa awamu zote ,labda kama unaongelea porojo za wanasiasa
 
Hospital zimeboreshwa sana TU,Leo Hadi zahanati Zina CT scan,MRI,etc,,kabla CT scan ilikua moja TU nchi nzima,ilikua aga khan
Kuna watu Wana chuki zao binafsi
Hata uwaonyeshe Nini kwao ni bure
 
Ongea na watu usishinde JF Pekee. Huko maofisini kuna uozo
Kwenda
Nipo huko ofisi za umma
Nahusika na hizo bima za Nhif kwa hospital niliyopo
Kabla ya hapo nilishafanya Private hospital maarufu tu ,hakuna ujinga unaosema
Nimekuambia taja hiyo hospital inayolipisha mgonjwa kisa mtandao wa bima haufanyi kazi
 
Evidence! Look at, flyovers, roads, discipline in public offices, and many uncountable things.
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Hebu peleka hii kwenye jukwaa la kisiasa, Serikali walisome , inawezekana hawafahamu ila wanafatilia mada nyingi sana hapa jf ila kule kwenye jukwaa la siasa.

Wanaweza wakashughulikia.
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Kusanya yote hayo alafu ishi na watu vizuri kuwa na kauli za utu,
hao mapolisi unaowalalamikia unakuta huna hata mmoja unaejuana nae akakupa backup huko hospitalini ww ukienda huhitaji hata kuchat nao huwaweki karibu unatarajia ukifika pale watakupokea kama mfalme?

Jifunze unaweza fika ofisi au sehemu wafanyakazi wakampokea mtu vizuri na ww ukapokelewa kawaida hio kitu usichukulie poa jiulize alafu chukua hatua. Watu wanalalamika sana kutopata huduma nzuri lakini ofisi hizo hizo tunaingia na kupokelewa kama tumeshawahi juana kitambo hii inaletwa na ww kujua kuishi na watu vizuri. Unakuta mtu kwakua anashida kwenye ofisi fulani basi ataenda hapo hasalimii vizuri atahudumiwa ataondoka kesho akirudi ofisi ile ile mapokezi yake hayawezi kuwa mazuri na yeye atalalamika wale wanaringa serikali inazembea wakati yeye hajajiweka kwenye mazingira ya kupokelewa vizuri
 
Hizo changamoto hazijawahi kulisha tangu tupate uhuru,acha kisingizia awamu hii

Awamu ya tano haya mambo yalipungua sana nidhamu maofisini ilikuwepo ila kwa sasa . Mungu atusaidie
 
Kwakweli ofisi za Uma zimeoza, Tena naona Bora zifungwe.
Dogo mmoja ameomba kujitokea na kupeleka vyeti vyake. Kesho yake anapigiwa simu na Yule Yule aliyepokea vyeti, na kuulizwa, umesoma kozi gani?
Nilichoka.
Kama huna pesa hakikisha
1. Wewe na familia yako hamuumwi.
2. Hakikisha wewe na familia yako mnawaheshimu au mnawa avoid watu wenye pesa msije mkawa na mgogoro nao.
3. Hakikisha mtoto wako hampi mimba mtoto wa MTU mwenye pesa. Au binti yako hapewi mimba na MTU mwenye pesa. Utanishikuru huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom