Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

Ukitaka kujua ubovu wa serikali ya awamu ya sita, Yakupate haya utajuta kuzaliwa Tanzania.

Umenene kweli kabisa ..Mimi nimelipia kuunganishiwa maji miez mitatu saiv wanasema hawana vifaa na ela nimelipa kwa control no..hapa KOROGWE MJI..nawaza kumtafuta wazir wa maji Juma aweso labda anaweza nisaidia nikapata maji
 
Kuna lipi lililobadilika toka awamu zilizopita?


Ni vizuri ukataja taasisi uliyopata changamoto na yule uliyemkuta akakupa hiyo changamoto. He kituo gani Cha polisi? Mahakama gani? Hospital au halmashauri gani?

Vinginevyo ni dhana dhahania na porojo za kuchngamsha kijiwe ua kutaka kusifia mtu.
Mara nyingi wavivu,wanapenda kulaumu.Mtu mvivu kwa kulaumu humuwezi.
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Wewe utakuwa mtu mvivu.Mtu mvivu kwa lawama hawezekani.Kila kitu atalaumu,!hata uvivu wake,atalaumu wengine.
 
Anachosema mdau ni kweli kabisa. Sio kwamba Rais hafanyi mazuri anafanya lkn watumishi wake ndo wanamponza. Watumishi wanatoa huduma kulingana na mood zao na si kwamba ni sehemu ya majukumu yao wanayolipwa mshahara.
Binafsi nishawahi kwenda ofisi fulani kuchukia document yangu nilipofika nikaambiwa faili lako bado halijafika,,wakati nilishaambiwa kabisa limefika. Ikabidi niulize mbona nimembiwa limefika na wewe unaniambia bado nilichojibiwa jiongeze japo ya chai. Nikachoka.

Siku nyingine nimeenda hospitali moja kupata huduma watu wapo kwenye foleni dr yupo busy anamfanyia orientation mtu wa field mambo ya mfumo.

Sasa chochote kibaya kinapotokea Rais anaonekana hafanyi kazi sababu inaonekana kama vile yeye ndo anawachekea watumishi kwa kutowawajibisha.

Lkn tunasahau nchi haijengwi na rais pekee yake bali na wanachi wote





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn tunasahau nchi haijengwi na rais pekee yake bali na wanachi wote
Kuna ofisi fulani kuna documents nilikua nafuatilia wananipiga danadana nikaona isiwe tabu nikaenda kutoa maelezo kwa mkubwa mmoja akapiga simu moja tu nikaambiwa mwambie aje sasa hivi aje achukue documents zake, nikaenda kweli documents nikazikuta Ila zilishasainiwa mda mrefu sana nahisi walikua wanataka niwape Pesa nikaweka ngumu ndio maana walikua wananizungusha wakawa hawanipi documents zangu, rushwa mbaya sana
✍️
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
Jamaa ana kitu huyu asipuuzwe
 
Kuna watu bado wana shadadia hii serikali ya awamu ya sita sijui ni kwa makusudi au kukosa uelewa, inshort naweza sema wengi wao ni wapiga dili, kama siyo mpiga dili hii serikali huwezi iunga mkono hata kidogo ina mambo ya ajabu ambayo hayajawhi kutokea tongu tupate uhuru.

Sasa Mwananchi Mwenzangu ukitaka kujua uchungu wa seikali hii dhaifu pata matatizo kama haya hapa chini japo ni kwa mfano mengine mtaongezea.

1. MIGOGORO. Usiommbe uwe na mgogoro wowote iwe ni nyumba , shamba , mali au na taasisi yoyote ya serikali utajuta kuzaliwa Tanzania, Mwenye nacho ndiyo anayesikilizwa

2. UGUA au UUGULIWE . he he he he hapa utajamba cheche kudadadeki wahudumu wa afya hawajali mtu kabisa awamu hii hasa huko kwenye halimashauri na mansipaa , utatamamu bora ufe kuliko kuendelea na mateso huku hakuna anayekujali wala kukuhudumia..

3. UNAHITAJI MSAADA WA POLICE, Mhii jamani police wa Tanzania sijui wamerogwa nani , yaani bora utafute mganga umroge huyo mtu kuliko kwenda kumshitaki police utapoteza mda na hela bure.

4.HUDUMA OFISI ZA UMMA. Hatari tupu swala la siku mbili unaweza kuhangaika miezi mitatu kila siku unapigwa calendar , watu wako busy na mambo yao hawajali chochote, wala kumjali yeyote., na hawatishiki na yeyote

Haya mambo yasikie kwa jirani awamu hii usiombe yakukute hasa ukiwa huko kwenye halimashauri na manispaa ni pasua kichwa.....ongezeeeeni kama mna mengine
kwa urefu wa kamba, shida ilianzia hapo
 
Kuna ofisi fulani kuna documents nilikua nafuatilia wananipiga danadana nikaona isiwe tabu nikaenda kutoa maelezo kwa mkubwa mmoja akapiga simu moja tu nikaambiwa mwambie aje sasa hivi aje achukue documents zake, nikaenda kweli documents nikazikuta Ila zilishasainiwa mda mrefu sana nahisi walikua wanataka niwape Pesa nikaweka ngumu ndio maana walikua wananizungusha wakawa hawanipi documents zangu, rushwa mbaya sana
[emoji3578]
Hakika ndo shida hiyo watu kumpa mtu haki yake wanaona kama vile wanakupa favour wakati wapo pale kwa ajili ya kutumikia wananchi ili walipwe mishahara. Na yote sababu hatuna uzalendo. Watumishi hawawajibiki utadhani ofisi za serikali walizaliwa nazo wakati wamezikuta na wataziacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama hatuipend serikali ila kusema huu uongo to this extent ni ushoga tu aiseee,

Kila siku watu wanakuwa discharged hospitals, hospital zinaboreshwa, licha ya kuwa sio katika level tunayotaka, ila zipo bora kuliko jana

Huko mahakamani na police hao miaka yote ni shida kabisa, kesi za ardhi hata kikwete alikiri hadharani ni mzigo mnene na aliushindwa, ila yote kwa yote bado kesi zinaenda,
Tusiwe watoa uzushi tu kisa hatumpend mtu au taasisi fulani, tukosoane kihaki, wakizingua kuuza bandari tuwaambie ila sio kuwazushia
Hospital zimeboreshwa sana TU,Leo Hadi zahanati Zina CT scan,MRI,etc,,kabla CT scan ilikua moja TU nchi nzima,ilikua aga khan
 
Unafahamu kwann tunaona hakunakinachoenda. ..marehemu amewatoa wa TZ utando vichwani. .uliokua umewekwa tangu enzi hizo watu..people knows that serikali inaweza toa huduma km private sectors.
 
Naughty by nature, sawa nakubali Mimi ni masikini, na tupo wengi, nchi ni yetu. JPM alikuwa anatutea sisi.
 
Kuna lipi lililobadilika toka awamu zilizopita?


Ni vizuri ukataja taasisi uliyopata changamoto na yule uliyemkuta akakupa hiyo changamoto. He kituo gani Cha polisi? Mahakama gani? Hospital au halmashauri gani?

Vinginevyo ni dhana dhahania na porojo za kuchngamsha kijiwe ua kutaka kusifia mtu.
Siwezi kumalizia idadi yake. In short nI zooote
 
Back
Top Bottom