Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Baba tirampu mi 5 tena wacha tukose wote,CCM ni shimo la rushwa na ufisadi ni adui wa Tanzania
 
Na hizo NGO hulazimishwa kununua vifaa vyao vya utafiti huko Amerika kwa bei ya juu. Hela za USAID hurudi nyingi nchini kwao kihuni.
Kwa uzoefu wangu mdogo sio kweli kwamba wanalazimishwa kununua vifaa toka 🇺🇸. Ila wanalipwa mishahara kwa standard ya juu, wanakuwa monitored sana sana.
 
Halafu kuna mafisi yanasema eti TUJITETEE kisa Trump kakata mirija
Haya majizi yafunguliwe nyuzi hata 100 kwa siku
 
Kwa uzoefu wangu mdogo sio kweli kwamba wanalazimishwa kununua vifaa toka 🇺🇸. Ila wanalipwa mishahara kwa standard ya juu, wanakuwa monitored sana sana.
Mimi nimefanya tenda iliyokuwa financed na USAID.. Kwenye tender document kulikuwa na majina ya maduka waliyopendekeza tununue huko. Ukileta tofauti na hiyo brand hawapokei. Mbaya zaidi kulikuwa na taasisi nyingine katikati kabla ya taasisi ya kitanzania.
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Afadhali,maana hospital kwenyewe watoto pesa,wajawazito pesa, hizo pesa zinawatajilisha wao wakuu tu,bado dawa zenyewe hakuna,Trump kwa hili yupo sawa tu,kama kufa tufe tu kuliko pesa zinazowanufaisha watu wachache
 
Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha

Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo

Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
Sio kweli
 
Watanzania tuko wapumbavu sana aisee.

Hii misaada na ikome mara moja.

Tutakuwa wapokea misaada mpaka lini?

Sisi hatuna akili ya kujisaidia wenyewe?

Naunga mkono misaada yote kusitishwa.
Rudi tupambanie wote kujisaidia wenyewe kama nchi
 
Mawachawa na waimba mapambio wakishapewa chakula wanajiona wapo mbingu ya 8!
Yani naona kuna shida kwenye taifa. Hivi wewe kama kiongozi huwezi kung'amua kwamba hawa watu wanaonizunguka ni machawa ata ushauri wanaonipa niweke kwenye dustbin. Kama kiongozi hawezi kung'amua hilo yeye na chawa akili zao zinafanana.
 
Si ajabu ukakuta wewe ni ofisa mwandamizi ndani ya hii serikali iliyojaa wezi na matapeli.
Percival,
  • Je budget ya wizara ya afya ni shilingi trillion ngapi kwa mwaka?
  • Je hiyo budget inategemea tu msaada kutoka USAID peke yake?
  • Je bila huo msaada wa USAID huduma za afya zingesimama nchini?
  • Je misaada tunayopata kwa kutembeza bakuli kama matonya inaishia wapi?
  • Je mapato yanayotokana na kodi na tozo lukuki ya kausha damu zinatumikaje?
  • Je mapato tunayopata kwa kuuza mali asili zetu kama wenda wazimu zinatumikaje?
  • na maswali mengineyo mengi tu.

Percival, kwa sasa nitaachia hapo ila nakukumbusha tu kuwa dola milioni mia tano inakaribia shilingi trilioni na nusu na hapo hapo madeni yetu yalizidi trilioni hamsini.

Je hii ina maana gani? Ngoja nikusaidie hii ina maana mikopo yetu peke yake ni zaidi ya mara hamsini ya huo msaada wa USAID na huo ni moja tu katika misaada lukuki tunayopata.

Percival, jitafakari.
Wewe umeandika utenzi mreefu. Mimi nimekupa hesabu hapo. Kua huo misaada tunatoa shukurani lakini Bado ni kama tone katika bahari. Kuhudumia watu milioni 60 kuwapa huduma ya wastani inahitaji pesa nyingi sana ambapo Tanzania pamoja na misaada na bajeti yake Bado haitoshi.
 
Kwa hiyo tunahitaji USD Bilioni 10 ili tuwe na huduma bora za afya?

Hapo unahudumia pamoja na mende na wanyamapori au ni binadamu peke yake?

Una elimu gani?
Wewe ni mihemko tu piga hesabu acha porojo za magengeni
 
Back
Top Bottom