Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
- Thread starter
- #101
Aione Lucas Mwashambwa na machawa wote pumbafu
Sijui ndo wamejificha siwaoni kabisa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aione Lucas Mwashambwa na machawa wote pumbafu
Hilo chaka la kubeba fedha limeshafyekwa na trump acha kabisa.Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Hata Lucas Mwashambwa hajui kwamba hela za Elimu Bure zinatoka Marekani! Anasema mama ametoa! Anatuona wajinga kwamba Tanzania ni nchi Pekee duniani ambayo inatekeleza mpango wa elimu Bure!
Ccm wanatuona matutusa sana I don't know why! Ila ni Kwa sababu wenye akili wamechagua kunyamaza na kuwaacha wajinga kuongea
Kwa wale ambao hesabu ziliwapitia kushoto ni hivi...
Mwaka 2023 USD moja ilikuwa sawa na shilingi Tsh 2,720
Hivyo USD 512.8m ilikuwa sawa ni shilingi za Tanzana 1,394,816,000,000
Kwa kuwa Tanzania tuna mikoa 31, hizi hela tungelizigawa sawa kwa mikoa yote ndani ya Jamhuri, kila mkoa ungeambulia shilingi 45,000,000,000 (Bilioni 45!)
Kwa hakika CCM ni balaa!
Umepewa vitabu vyote kukagua kama hela yote ilifika kwenye akaunti husika na ikatolewa kwenye akaunti hiyo kwa kazi husika? Inasemekana (Ndiyo maana Elon kawaka) 70% ya hizo hela huwa zinarudi zilikotoka lakini hazitudishwi kwenye hazina ya Marekani bali kwenye mifuko ya elites wa huko!
Interesting, very interesting. Na bado toto afya kadi nayo ikafutwa kwasababu eti mfuko umeelemewa; Tanzania, mmh!
Jamanii MTU mwenye email address ya trump atuwekee hapa tumpongeze Kwa kuzuia misaada hii ambayo pesa zinaenda kununua magoli ya Simba na yanga
What are the disadvantages of foreign aid?Kasongo mbona wewoo!!
View attachment 3226977
Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
JHPIEGO siyo NGO ya ndani hiyo. Ni ya Wamarekani hao hao! Asilimia kubwa ya fedha hizo huwa zinarudi Marekani kwa mlango wa nyuma!Hii fedha mara nyingi sio yote inapita serikalini moja kwa moja. Kuna NGOs za ndani nyingi tu ambazo ndio wanufaika. Waliandika proposals zao, USAID wakazikubali na kuwapa funds, mfano kuna JHPIEGO, APFTHA nk, hawa ndio beneficiaries. Japo fedha yote ililengwa kwenye afya na walifanya projects zinazohusu mambo ya afya kama malaria, kukata govi, hiv, polio nk.
Hii nchi bwana magovi nayenyewe yanaitaji project ? Aisee...Hii fedha mara nyingi sio yote inapita serikalini moja kwa moja. Kuna NGOs za ndani nyingi tu ambazo ndio wanufaika. Waliandika proposals zao, USAID wakazikubali na kuwapa funds, mfano kuna JHPIEGO, APFTHA nk, hawa ndio beneficiaries. Japo fedha yote ililengwa kwenye afya na walifanya projects zinazohusu mambo ya afya kama malaria, kukata govi, hiv, polio nk.
CCM ndio matapeli.Mimi nimefanyakazi kwenye USAID Funded Projects pesa nyingi hubaki huko huko Marekani. Kwanza viongozi wa ngazi za juu za project lazima wawe Wamarekani na wanalimpwa mara 10 zaidi ya Mtanzania pia kuna wafanyakazi ambao wako based US lakini wanakuwa wanalipwa pesa hizo za project na pesa hizo zinalipwa kwenye account za mhusika huko huko USA, vifaa vyote vinatoka Marekani kwa bei ya juu sana. Pia mkiwa mnasafiri lazima mtumie ndege za US flag. Hivyo pesa ambazo zitakuwa zimewanufaisha watz kati ya hizo ni asilimia robo tu lakini kwenye matangazo wanatoa pesa zote wameleta TZ. Wamarekani ni matapeli sana.
Wewe ni mshambaWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Na hizo NGO hulazimishwa kununua vifaa vyao vya utafiti huko Amerika kwa bei ya juu. Hela za USAID hurudi nyingi nchini kwao kihuni.Hii fedha mara nyingi sio yote inapita serikalini moja kwa moja. Kuna NGOs za ndani nyingi tu ambazo ndio wanufaika. Waliandika proposals zao, USAID wakazikubali na kuwapa funds, mfano kuna JHPIEGO, APFTHA nk, hawa ndio beneficiaries. Japo fedha yote ililengwa kwenye afya na walifanya projects zinazohusu mambo ya afya kama malaria, kukata govi, hiv, polio nk.
Hapana.Ila kiuhalisia asilimia kubwa ya pesa imekwenda serikalini...