Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Hizo hela zitakuwa ziliishia kwenye kulipa wasanii, kufanyia service ma V8 yao na kuwalipa kina mwijaku na Machawa wengine na viongozi wa dini wachumia tumbo
Mbaya zaidi chama cha mapinduzi kinashindwa kujificha kabisa kwa elites, matumizi ya chama makuubwa kuliko serikali inayosimamia ukusanyaji wa kodi na ugawanyaji wa huduma za kijamii kwa hao hao wananchi.
Nakubaliana na wadaj wanaosema kuwa CCM inapendwa na wengi walio na uwelewa mdogo na wa kati while upinzani ulio hai unapendwa na kuwa supported na watu wenye uwelewa wa juu na wenye upendo halisi juu ya nchi yao.
 
Nakubaliana na wadaj wanaosema kuwa CCM inapendwa na wengi walio na uwelewa mdogo na wa kati while upinzani ulio hai unapendwa na kuwa supported na watu wenye uwelewa wa juu na wenye upendo halisi juu ya nchi yao.
Na iyo ndio disadvantage ya demokrasia-wengi wape hata kama hao wengi ni wapumbavu.
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

LAZIMA TUKUBALI KWAMBA CCM NI JANGA KWA NCHI YETU TENA NI KUNDI LA WAUAJI CHA KUSIKITISHA WASIO NA AKILI WANAWASHANGILIA INAUMA SANA.
 
Kwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.

Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.
Inafaa sasa waanze kuomba misaada kwa hao Waarabu wanaouzia rasilimali zetu.
 
Mbaya zaidi chama cha mapinduzi kinashindwa kujificha kabisa kwa elites, matumizi ya chama makuubwa kuliko serikali inayosimamia ukusanyaji wa kodi na ugawanyaji wa huduma za kijamii kwa hao hao wananchi.
Nakubaliana na wadaj wanaosema kuwa CCM inapendwa na wengi walio na uwelewa mdogo na wa kati while upinzani ulio hai unapendwa na kuwa supported na watu wenye uwelewa wa juu na wenye upendo halisi juu ya nchi yao.
Kweli kabisa mkuu, CCM inazidi kutumia uelewa mdogo wa watanzania wengi kufanya ufisadi wa kutisha
 
Marekani ikiamua kuzuia misaada yake yote kwa nchi masikini wakaamua kuitumia hiyo fedha kwaajili yao tu, hakika kelele za kina China sijui Urusi au The Blicks hazingesikika abadani. Kama nchi inatoa misaada yote hiyo alafu bado inabaki kuwa nchi yenye budget kubwa duniani si masikhala mkuu....
Nani alikwambia hiyo misaada inafikia nchi husika kwa 100%
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

C uliona birth day ya huko Dodoma walivotapanya hela? Bado zile Lissu anaziitaga 'pesa za abdul na mama yake'.
 
Kwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.

Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.
Misaada kutoka kwa Mabeberu sio ya kuendekeza.
 
A
Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha

Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo

Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
Achaga uongo, fedha kama fedha, BASKET FUND sisi wakaguzi Kila robo mwaka tunakagua, acha kudanganya watu,
Hizi ripoti za robo zinakuwa compiled, na IAG .

Ni fedha kwa maana ya CASH
 
Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha

Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo

Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
Can you read yourself and hear how you sound ?
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Wewe unaona milioni 560 dollar ni nyingi sana kwenye idadi ya watu zaidi ya millioni 60. Haifiki hata dolla 10 kwa mtu
Hizo pesa ni pamoja miradi inayo endelea ya dawa nyingi za kinga kama AVR, malaria, mafunzo, nk
 
Wewe unaona milioni 560 dollar ni nyingi sana kwenye idadi ya watu zaidi ya millioni 60. Haifiki hata dolla 10 kwa mtu
Hizo pesa ni pamoja miradi inayo endelea ya dawa nyingi za kinga kama AVR, malaria, mafunzo, nk

Uko sawa kweli wewe?

Dollar Million 560 ni ndogo?

Kumbuka hizo hela sio kodi yenu, ni msaada.

Ni nani atakupa msaada wote huo?
 
Kwani doto magari na mwijaku wanasemaje kuhusu wasanii kutengeneza kichuri.
IMG_0528.jpeg
 
Uko sawa kweli wewe?

Dollar Million 560 ni ndogo?

Kumbuka hizo hela sio kodi yenu, ni msaada.

Ni nani atakupa msaada wote huo?
Huo ni misaada kweli lakini ni tone katika bahari. Tanzania kuwa na huduma za wastani za afya itataka labda si chini ya hizo pesa mara 20
 
Hv Kuna wakati mmemuona trump hayuko sawa, kama upo wakati huo basi jueni mna matatizo makubwa mno, haiwezekani miaka 60 ya uhuru nchi ambayo imebarikiwa kila aina ya rasirimali bado haziwezi hata kujenga matundu ya choo..achilia mbali madawati ya wanafumzi, wanachoweza ni kuhonga rasirimali Kwa wageni Kwa mikataba ya kipuuzi, pamoja na kumiminiwa misaada lkn wamekosa vipaumbele na kuendekeza anasa za watawala huku huduma za kijamii zikizorota! Hata kama ni wewe unatoka hela zako kumsaidia mtu unaedhani ni maskini lkn kumbe mtu huyo anatumia kidogo anachokipata kuhonga na kunywa pombe sijui kama utaendelea kutoa msaada.


Unavyoongea kama wewe sio Mtanzania.

Mara yako ya mwisho kwenda let alone kushiriki kwenye maandamano ni lini?
 
Mimi nimefanyakazi kwenye USAID Funded Projects pesa nyingi hubaki huko huko Marekani. Kwanza viongozi wa ngazi za juu za project lazima wawe Wamarekani na wanalimpwa mara 10 zaidi ya Mtanzania pia kuna wafanyakazi ambao wako based US lakini wanakuwa wanalipwa pesa hizo za project na pesa hizo zinalipwa kwenye account za mhusika huko huko USA, vifaa vyote vinatoka Marekani kwa bei ya juu sana. Pia mkiwa mnasafiri lazima mtumie ndege za US flag. Hivyo pesa ambazo zitakuwa zimewanufaisha watz kati ya hizo ni asilimia robo tu lakini kwenye matangazo wanatoa pesa zote wameleta TZ. Wamarekani ni matapeli sana.
Ngoja tuone wafadhili wasio matapeli watatufanyia nini.
 
Huo ni misaada kweli lakini ni tone katika bahari. Tanzania kuwa na huduma za wastani za afya itataka labda si chini ya hizo pesa mara 20

Kwa hiyo tunahitaji USD Bilioni 10 ili tuwe na huduma bora za afya?

Hapo unahudumia pamoja na mende na wanyamapori au ni binadamu peke yake?

Una elimu gani?
 
Back
Top Bottom