Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok fine.Mimi nimefanyakazi kwenye USAID Funded Projects pesa nyingi hubaki huko huko Marekani. Kwanza viongozi wa ngazi za juu za project lazima wawe Wamarekani na wanalimpwa mara 10 zaidi ya Mtanzania pia kuna wafanyakazi ambao wako based US lakini wanakuwa wanalipwa pesa hizo za project na pesa hizo zinalipwa kwenye account za mhusika huko huko USA, vifaa vyote vinatoka Marekani kwa bei ya juu sana. Pia mkiwa mnasafiri lazima mtumie ndege za US flag. Hivyo pesa ambazo zitakuwa zimewanufaisha watz kati ya hizo ni asilimia robo tu lakini kwenye matangazo wanatoa pesa zote wameleta TZ. Wamarekani ni matapeli sana.
Ndio maana Trump amewagundua wezi wakubwa hao wafanyakazi wa USAID lazima afanye mabadiriko makubwa ndani ya taasisi hiyo wamejaa matapeli wa kimataifa.Ok fine.
Marekani ni matapeli.
Sasa ni muda wa kuanzisha vya kwetu.
Alafu anajitokeza mkuu wa mkoa na kashfa za kipuuzi kama zile..Hela zinaenda kwa kina Pipy Tida na Dotto Magari alafu wakina mama wanalala chini
Hii ndo Tanzania
Hata Lucas Mwashambwa hajui kwamba hela za Elimu Bure zinatoka Marekani! Anasema mama ametoa! Anatuona wajinga kwamba Tanzania ni nchi Pekee duniani ambayo inatekeleza mpango wa elimu Bure!Kwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.
Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.
75% yake ni posho na gharama za kujiendesha USAID TanzaniaWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Halafu eti tunamshukuru Mama kwa kutujengea zahanati kama vile ni fedha zake!! UDANGANYIFUWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Nchi ipo mikononi mwa CCMNchi iko mikononi mwa mafisi
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?🥺🥺😭😭
UumbwaaaCcm ni cancer kwenye hii nchi. Tuikatae.
Halafu wakitoka hapo wanasema sisi hatutegemei mabeberu.Kasongo mbona wewoo!!
View attachment 3226977
Ccm wanawaona watanzania wote nchi hii ni maiti. Tunaposema hiki chama hakistahili kuendelea kuwepo madarakani tueleweni jamani.Hata Lucas Mwashambwa hajui kwamba hela za Elimu Bure zinatoka Marekani! Anasema mama ametoa! Anatuona wajinga kwamba Tanzania ni nchi Pekee duniani ambayo inatekeleza mpango wa elimu Bure!
Ccm wanatuona matutusa sana I don't know why! Ila ni Kwa sababu wenye akili wamechagua kunyamaza na kuwaacha wajinga kuongea
Kwa wale ambao hesabu ziliwapitia kushoto ni hivi...Kasongo mbona wewoo!!
View attachment 3226977
Trililion plus zinatosha kugawia Kila Hospitali Bilioni 5 Nchi nzimaWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
😀😀Ccm wanawaona watanzania wote nchi hii ni maiti. Tunaposema hiki chama hakistahili kuendelea kuwepo madarakani tueleweni jamani.
Wanakuambia "Mama anaupiga mwingi!"Nchi iko mikononi mwa mafisi
Tatizo baada ya watu kukosa fursa sasa wamemua wajikite ndani ya ccm Ili watoke kimaisha!Ccm ni cancer kwenye hii nchi. Tuikatae.
Yumkubali nani?Ccm ni cancer kwenye hii nchi. Tuikatae.