Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Wao hawana shida kama za wananchi... Hawachelewi kuwaangushia jumba bovu!Naomba Trump aendelee kukaza ili kusudi wapate akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao hawana shida kama za wananchi... Hawachelewi kuwaangushia jumba bovu!Naomba Trump aendelee kukaza ili kusudi wapate akili.
Umepewa vitabu vyote kukagua kama hela yote ilifika kwenye akaunti husika na ikatolewa kwenye akaunti hiyo kwa kazi husika? Inasemekana (Ndiyo maana Elon kawaka) 70% ya hizo hela huwa zinarudi zilikotoka lakini hazitudishwi kwenye hazina ya Marekani bali kwenye mifuko ya elites wa huko!Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hizo pesa zinaliwa na wachache na ccm ndio kabisaaa. Pesa zinachukuliwa na kutumika kwenye vikao vya ccm na ununuzi wa magari.Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Washakuwa hivyo na bahati mbaya ni kwamba wananchi wanazidi kuwapaisha!😀😀 Kweli kabisa tuna viongozi wabovu, wachoyo na wasio na maono kwa taifa na wananchi.
Elon naye ni yule yule kama Trump. Wote wasaka madili!Umepewa vitabu vyote kukagua kama hela yote ilifika kwenye akaunti husika na ikatolewa kwenye akaunti hiyo kwa kazi husika? Inasemekana (Ndiyo maana Elon kawaka) 70% ya hizo hela huwa zinarudi zilikotoka lakini hazitudishwi kwenye hazina ya Marekani bali kwenye mifuko ya elites wa huko!
Elon naye ni yule yule kama Trump. Wote wasaka madili!
Viongozi wamezungukwa machawa kila wakati ni kuimba tu mapambio.Washakuwa hivyo na bahati mbaya ni kwamba wananchi wanazidi kuwapaisha!
wewe uoni wanavyonenepa mashavuWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Kweli mkuu..Wao hawana shida kama za wananchi... Hawachelewi kuwaangushia jumba bovu!
Interesting, very interesting. Na bado toto afya kadi nayo ikafutwa kwasababu eti mfuko umeelemewa; Tanzania, mmh!Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
CCM Imetufikisha Sehemu Mbaya Sana, Tutaomba Mno Bora Itoke MadarakaniMisaada isiyo na kikomo ife!
Hivi sisi ni majuha kiasi gani?
Ungekuwa wewe kiongozi wa Tanzania ungekubali?!? Wanajua asilimia kubwa ya wananchi hawafuatilii na hata hivyo serikali inacontrol habariKwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.
Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.
Ukiwa sikiliza wansotumia ARV's walikuwa wanapewa na dawa za magonjwa nyemelezi ghafla waakacha kuwapa mwaka juzi wakidai hakuna Hela.Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Sio wao tu,wote tutapata akiliNaomba Trump aendelee kukaza ili kusudi wapate akili.
Marekani ikiamua kuzuia misaada yake yote kwa nchi masikini wakaamua kuitumia hiyo fedha kwaajili yao tu, hakika kelele za kina China sijui Urusi au The Blicks hazingesikika abadani. Kama nchi inatoa misaada yote hiyo alafu bado inabaki kuwa nchi yenye budget kubwa duniani si masikhala mkuu....Naomba Trump aendelee kukaza ili kusudi wapate akili.