Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Watu wenye uwezo duni na wasiokuwa na weledi wanapenda kuishi kwa kusifiwa. Hivyo kuzungukwa na wafuasi (machawa) wanaowasifu na kuwaimbia mapambio ni starehe yao!Yani naona kuna shida kwenye taifa. Hivi wewe kama kiongozi huwezi kung'amua kwamba hawa watu wanaonizunguka ni machawa ata ushauri wanaonipa niweke kwenye dustbin. Kama kiongozi hawezi kung'amua hilo yeye na chawa akili zao zinafanana.
Ccm ni weziCCM wajitafakari sana!
Hahaha nikajua watoto kumbe madingi hahaha daaahTena watu wanazichapa pesa sio poa mkuu! Yaani kushawishi mtu mzima wa huko rorya akate govi lake watu wameandika proposal na 🇺🇸 wakatoa fedha na watu wakaenda mara kukata wazee na vijana magovi.
Hahahaha we jamaa fala sana nimecheka mpaka watu wananishangaa ahahaha eti kwa hisani ya marekani hahaha ila wakuu mmepegawa sana hahaha.. Tuseme ukweli lakini Tanzania bado sana Yan govi la mtu wa bariadi mipango yake ipo washington DC hahaha😃😃😃 Kuna watu wanakata magovi kwa hisani ya watu wa marekani si mchezo yaani kuzaliwa Africa tayari unakuwa umeingia kwenye hazard.
Sahihi uwezo duni ndipo tatizo linapoanzia.Watu wenye uwezo duni na wasiokuwa na weledi wanapenda kuishi kwa kusifiwa. Hivyo kuzungukwa na wafuasi (machawa) wanaowasifu na kuwaimbia mapambio ni starehe yao!
Hiyo hesabu yako unayodai kunipa iko wapi? Kwa kuanzia bajeti yetu ya Wizara ya Afya ni kiasi gani kwa mwaka?Wewe umeandika utenzi mreefu. Mimi nimekupa hesabu hapo. Kua huo misaada tunatoa shukurani lakini Bado ni kama tone katika bahari.
Eti kuhudumia watu milioni 60 kuwapa huduma ya wastani kunahitaji pesa nyingi sana, je hiyo pesa nyingi sana ni kiasi gani?Kuhudumia watu milioni 60 kuwapa huduma ya wastani inahitaji pesa nyingi sana ambapo Tanzania pamoja na misaada na bajeti yake Bado haitoshi.
Bado hamjasema,TRUMPET NDO KWANZA AMEANZA😀😀😀Mimi nimefanyakazi kwenye USAID Funded Projects pesa nyingi hubaki huko huko Marekani. Kwanza viongozi wa ngazi za juu za project lazima wawe Wamarekani na wanalimpwa mara 10 zaidi ya Mtanzania pia kuna wafanyakazi ambao wako based US lakini wanakuwa wanalipwa pesa hizo za project na pesa hizo zinalipwa kwenye account za mhusika huko huko USA, vifaa vyote vinatoka Marekani kwa bei ya juu sana. Pia mkiwa mnasafiri lazima mtumie ndege za US flag. Hivyo pesa ambazo zitakuwa zimewanufaisha watz kati ya hizo ni asilimia robo tu lakini kwenye matangazo wanatoa pesa zote wameleta TZ. Wamarekani ni matapeli sana.
Acha ugomvi😁😁😁😁😁Jamanii MTU mwenye email address ya trump atuwekee hapa tumpongeze Kwa kuzuia misaada hii ambayo pesa zinaenda kununua magoli ya Simba na yanga
wewe acha kutusumbua na viingilishi kwani ukisema MALIPO unapungukiwa nini bwanaa hivi viinglishi ndio alikuwa anavichukia Mwendazake.Hivi unaelewa maana ya neno DISBURSEMENT wewe?
Hizo pesa sio ahadi ni kwamba zilikuwa zkmeshatoka na zimeshafikia wahusika.
Elewa maana ya neno DISBURSEMENT
Kang'ang'ana na viinglishi uchwara badala ya kusema hoja yake😀😀😀Utakuta hujawahi fanya kazi yoyote inayohusu USAID ndo maana unabisha kama taahira.
Hizi zinafanyiwa external auditing na watu wa USAID.Hivi CAG hakaguagi hizi fedha?
Au hazimuhusu kwa kuwa ni kutoka Marekani?
Zelensky mwenyewe anashangaa hesabu ya pesa anazopewa "haikubaliani" na aliyo nayo bank!Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha
Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo
Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
WANAOONA TIRAMPET KAWAONEA WAANDAMANE KWA MIGUU MPAKA MBELE YA WHITE HAUSI😆😆😆.Halafu kuna mafisi yanasema eti TUJITETEE kisa Trump kakata mirija
Haya majizi yafunguliwe nyuzi hata 100 kwa siku
Yote kwa yote, sisi wametuzidi akili.Saa nyingine hizi huwa sio fedha kama fedha
Marekani ni ngumu sana kukupatia fedha, anachofanya ni kukupa ARV au chanjo zikiwa overpriced ndo maana utaona kwamba wametoa kiasi kikubwa cha pesa ila sivyo ilivyo
Same same wanachofanyiwa Ukraine, wanapewa silaha obsolete halafu Marekani wanaweka high price ionekane ni mabilioni ya fedha
Dua la kuku hilo wanaombaWANAOONA TIRAMPET KAWAONEA WAANDAMANE KWA MIGUU MPAKA MBELE YA WHITE HAUSI😆😆😆.
WAGARAUKE HAPO MBELE YA WHITE HOUSE HUEWENDA MZEE MZIMA KING KONG BINGWA WA KUWAZINGUA MATAPELI TRUMP ATAWASIKILIZA🙌🙌🙌
Kampuni yetu ilipewa tenda ya ku-supply vifaa vya utafiti ila sharti ilikuwa kununua kwenye maduka ya Marekani. Hiyo ndo siku nilijua uhuni wa USAID. Kampuni iliambulia faida kidogo sana.
Seems haujui hata mashiroka yanafanyaje kazi
I bet hata 1/5 ya hiyo hela haijafika Tanzania. Mostly imeisha kwenye mishahara na per diems
Kwani hamuoni vituo vya afya na vifaa tiba vilivyomwagwa nchini?
Mnadhani Samia pesa katoa waipi?