Ukitaka kujua Watanzania wajinga nenda Facebook kaangalie wanavyokomenti kwenye habari muhimu na habari za udaku

Ukitaka kujua Watanzania wajinga nenda Facebook kaangalie wanavyokomenti kwenye habari muhimu na habari za udaku

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Baada ya kusoma comments za Watanzania juu ya habari ya uhusika wa Makonda kwenye jaribio la kumuua Lissu ninasema kuwa Watanzania hawastahili kuonewa huruma.

Lissu tangu miaka ya 90 anapigania haki na ustawi wa Watanzania lakini Watanzania ni kama walifurahia jaribio la mauaji yake. Unaweza kuwapigania ukafa wenzako wakashangilia kifo chako.

Popote ulipo kwenye nafasi yoyote usijifanye mnyenyekevu kwa Watanzania. Ukiwapa huduma bila rushwa wanakuona mjinga.
 
Baada ya kusoma comments za Watanzania juu ya habari ya uhusika wa Makonda kwenye jaribio la kumuua Lissu ninasema kuwa Watanzania hawastahili kuonewa huruma.
Lissu tangu miaka ya 90 anapigania haki na ustawi wa Watanzania lakini Watanzania ni kama walifurahia jaribio la mauaji yake. Unaweza kuwapigania ukafa wenzako wakashangilia kifo chako.
Popote ulipo kwenye nafasi yoyote usijifanye mnyenyekevu kwa Watanzania. Ukiwapa huduma bila rushwa wanakuona mjinga.
Haaahaa 😂 yaan nikuhakikisha unawabana unapata ya kubrashia viatu😅
 
Baada ya kusoma comments za Watanzania juu ya habari ya uhusika wa Makonda kwenye jaribio la kumuua Lissu ninasema kuwa Watanzania hawastahili kuonewa huruma.
Lissu tangu miaka ya 90 anapigania haki na ustawi wa Watanzania lakini Watanzania ni kama walifurahia jaribio la mauaji yake. Unaweza kuwapigania ukafa wenzako wakashangilia kifo chako.
Popote ulipo kwenye nafasi yoyote usijifanye mnyenyekevu kwa Watanzania. Ukiwapa huduma bila rushwa wanakuona mjinga.
Tz ya ccm hii bado sana
 
Baada ya kusoma comments za Watanzania juu ya habari ya uhusika wa Makonda kwenye jaribio la kumuua Lissu ninasema kuwa Watanzania hawastahili kuonewa huruma.
Lissu tangu miaka ya 90 anapigania haki na ustawi wa Watanzania lakini Watanzania ni kama walifurahia jaribio la mauaji yake. Unaweza kuwapigania ukafa wenzako wakashangilia kifo chako.
Popote ulipo kwenye nafasi yoyote usijifanye mnyenyekevu kwa Watanzania. Ukiwapa huduma bila rushwa wanakuona mjinga.
East Africa watu wenye akili wapo Kenya na Uganda

Fanya research ndogo tu kwa kuingia mtaani kuwahoji watu wa kawaida utapata majibu

Kwa tz Yale makabila yenye akili sana yanapigwa vita wanaenda mbali zaidi wanasema Nyerere alikataa yasitoe mtawala


Wakati nchi zilizoendelea zonawapa utaia watu wenye brain kubwa bongo inawapa uraia wakimbizi

Kudhihirisha haya eti Kuna watu wasomi eti wanailaumu cdm kwa maandamana wengi wanajiita wanaharakati wanadai elti chama kimeparalyse
 
Kiufupi nchi na wananchi wake walishapoteza uelekeo. Wengi hawana muda wa kufikiria wao ni kupanua midomo tu. Madhara ya CCM sio kwenye rasilimali tu bali kudidimiza uwezo wa kufikiri. Tanzanian heads' are damaged beyond repair.
Ndio maana wakati mwingine huwa naona hakuna haja ya kuwapigania watanzania
 
Baada ya kusoma comments za Watanzania juu ya habari ya uhusika wa Makonda kwenye jaribio la kumuua Lissu ninasema kuwa Watanzania hawastahili kuonewa huruma.
Lissu tangu miaka ya 90 anapigania haki na ustawi wa Watanzania lakini Watanzania ni kama walifurahia jaribio la mauaji yake. Unaweza kuwapigania ukafa wenzako wakashangilia kifo chako.
Popote ulipo kwenye nafasi yoyote usijifanye mnyenyekevu kwa Watanzania. Ukiwapa huduma bila rushwa wanakuona mjinga.
Utashangaa kuona watu type yaakomda eti Wana wafuasii ni tz pekee utaona mambo haya

Mfano unamwaambie nyie mama Abdul ameuza bandari ambayo inaweza lisha nchi bila rasilimali nyingine

Cha kushangaza utasikia ohh mama ni dini yetu tutajengewa misikiti, kawapa waarabu kama mlivyo wapa wazungu

Akili kama hizi zinahitaji ukombozi kweli
 
tz Yale makabila yenye akili sana yanapigwa vita wanaenda mbali zaidi wanasema Nyerere alikataa yasitoe mtawala
Hayo makabila hayapigwi vita kwasababu ya akili zao

Wanapigwa vita kwasababu yana ukabila ubinafsi wizi na utapeli.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom