TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
We nae huyo jpm wako lishaozeana huko,tafuta mungu mwingineNa ndo ktk group waliokua mitandaoni Wana mchukia na kumtukana sana JPM.
KWA Sasa wanatafuta hela kupitia Semina,per diem na kazi maalumu,huku wakichelewa makazini KWA visingizio lukuki na likizo za hovyo hasa dada zetu.
Nchi ishakua kama kambale kila mtu ana ndevu
Embu tuone izo counterKuna ofisi moja wanatumia fingertips kusign in ofisini, ila kama unavyojua mwajiri ukifanya hiki mwajiriwa anatafuta namna ya counterattack 😂😂
Kwaiyo ulitaka wasifuatilie kwa karibu muda wa kula? nenda ofisi za private hata wahindi, ukaone muda wa lunch! Ofisi zinafungwa kabisa!Mleta mada hajamaanisha kua watu wasiende lunch,amemaanisha muda wa lunch watu wanakua wanaufuatilia zaidi na kua nao serious kuliko muda wao wa kufanya kazi,
Hajasema kua watu wasiende lunch,ila kama na muda wa kazi wangekua nao wanauchukulia serious kama wanavyouchukulia serious muda wa lunch isingekua tatizo,
Binafsi naona hii issue ya uvivu na kutokuwajibika ni issue ya kimalezi toka utotoni,kubadili hii tabia inabidi wazazi waanze kuwafundisha watoto wao toka utotoni,ila kumbadili mtu mzima tabia sio issue ndogo.
Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!huu ni ukweli mtupu,vyuoni utakuta mwanafunzi anataka notes tu,enzi hizo nafundisha chuo kimoja nchini nilikataa kuwapa notes,nawapa vitabu tu vya kusoma walikua wanafeli sana hata ukitoa maswali ya mifano,nikaacha kazi ;
tubadilike;
Msome tena mleta mada na ndiye aliyeleta hiyo hoja,Kwaiyo ulitaka wasifuatilie kwa karibu muda wa kula?
Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!
Unafaham kabisa miundombinu ya vyuo vyetu si rafiki kwa wanafunzi, na bado unafaham Library zetu hazina viwango vya kuridhisha kupata vitabu au ku Accomodate wanafunzi wote at once.
Unafaham kabisa, hali ya uchumi ya wanafunzi wetu, ikiwa asilimia kubwa ni watoto wa maskini! unakuja hapa unaongea kama hufaham mazingira ya vyuo vyetu!
Inauma sana.
Kama mwajiri anakuibia kukulipa kiduchu why nawe ujitolee kumfurahisha.Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
nimecheka sana mkuu ww umeajiriwa wapi???Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
kuzingatia lunch sio kwamba hufanyi kazi kwa bidii. kutokula kwa wakati ni athari kiafya, vidonda vya tumbo na vitambi. elimika.Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
Jpm was president not a GOD,wewe mwenye imani ya kishetani unachukia nn sasaWe nae huyo jpm wako lishaozeana huko,tafuta mungu mwingine
Ni kero sana, yaani unakuka anatoka kwenda lunch saa saba halafu anarudi saa tisa .Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
Itakuwa ulikuwa hotelia... housekeeper [emoji23]Duuh umenikumbusha ofisi flani niliwahi kufanya kazi , Kwa muda wote sikuwahi kuwa na weekend Wala kuijua likizo.
House bway.Itakuwa ulikuwa hotelia... housekeeper [emoji23]
nimekosea kutowapa notes nikawapa vitabu?,Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!
Unafaham kabisa miundombinu ya vyuo vyetu si rafiki kwa wanafunzi, na bado unafaham Library zetu hazina viwango vya kuridhisha kupata vitabu au ku Accomodate wanafunzi wote at once.
Unafaham kabisa, hali ya uchumi ya wanafunzi wetu, ikiwa asilimia kubwa ni watoto wa maskini! unakuja hapa unaongea kama hufaham mazingira ya vyuo vyetu!
Inauma sana.
Watu wanatafuta mishahara walipe bills mzee [emoji28]
Kazi uipende ofisi ya babaako hiyo?