Ukitaka kujua Watanzania wengi hawapendi kazi, zunguka maofisini muda wa lunch

Ukitaka kujua Watanzania wengi hawapendi kazi, zunguka maofisini muda wa lunch

Na ndo ktk group waliokua mitandaoni Wana mchukia na kumtukana sana JPM.

KWA Sasa wanatafuta hela kupitia Semina,per diem na kazi maalumu,huku wakichelewa makazini KWA visingizio lukuki na likizo za hovyo hasa dada zetu.

Nchi ishakua kama kambale kila mtu ana ndevu
We nae huyo jpm wako lishaozeana huko,tafuta mungu mwingine
 
Mleta mada hajamaanisha kua watu wasiende lunch,amemaanisha muda wa lunch watu wanakua wanaufuatilia zaidi na kua nao serious kuliko muda wao wa kufanya kazi,

Hajasema kua watu wasiende lunch,ila kama na muda wa kazi wangekua nao wanauchukulia serious kama wanavyouchukulia serious muda wa lunch isingekua tatizo,

Binafsi naona hii issue ya uvivu na kutokuwajibika ni issue ya kimalezi toka utotoni,kubadili hii tabia inabidi wazazi waanze kuwafundisha watoto wao toka utotoni,ila kumbadili mtu mzima tabia sio issue ndogo.
Kwaiyo ulitaka wasifuatilie kwa karibu muda wa kula? nenda ofisi za private hata wahindi, ukaone muda wa lunch! Ofisi zinafungwa kabisa!

Hii mnakosea aisee, mnaonea sana watumishi wa Umma! Hata ivyo wengi ni wavumiluvu sana! Mnawalaum bure, mazingira yao ya kazi ni Magumu.

Hawapewi motisha kabisa.
 
huu ni ukweli mtupu,vyuoni utakuta mwanafunzi anataka notes tu,enzi hizo nafundisha chuo kimoja nchini nilikataa kuwapa notes,nawapa vitabu tu vya kusoma walikua wanafeli sana hata ukitoa maswali ya mifano,nikaacha kazi ;
tubadilike;
Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!

Unafaham kabisa miundombinu ya vyuo vyetu si rafiki kwa wanafunzi, na bado unafaham Library zetu hazina viwango vya kuridhisha kupata vitabu au ku Accomodate wanafunzi wote at once.

Unafaham kabisa, hali ya uchumi ya wanafunzi wetu, ikiwa asilimia kubwa ni watoto wa maskini! unakuja hapa unaongea kama hufaham mazingira ya vyuo vyetu!

Inauma sana.
 
Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!

Unafaham kabisa miundombinu ya vyuo vyetu si rafiki kwa wanafunzi, na bado unafaham Library zetu hazina viwango vya kuridhisha kupata vitabu au ku Accomodate wanafunzi wote at once.

Unafaham kabisa, hali ya uchumi ya wanafunzi wetu, ikiwa asilimia kubwa ni watoto wa maskini! unakuja hapa unaongea kama hufaham mazingira ya vyuo vyetu!

Inauma sana.

Katika ulimwengu wa leo ambao unapata soft copies za vitabu online, kuna Youtube na takataka kibao mtandaoni. Vyuo labda vya chini ya diploma lakini kuanzia degree ni wanafunzi wachache huwa hawana smartphones au Laptop, na wachache wasio na laptop usishangae wanaazima kipindi cha kutype kazi au kuangalia movies

Hizo sababu ulizotoa zimekaa kihurumahuruma sana na wakati mimi najua fika ukitoka shule za kata. Unakuwa hustler maana hujazoea spoon feeding, watu 20 wamefaulu kati ya wanafunzi 400 af waje kushindwa kujiongeza chuoni. NEVER
 
Habarini wakuu,

Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.

Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.

Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.

Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.

Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.

Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
Kama mwajiri anakuibia kukulipa kiduchu why nawe ujitolee kumfurahisha.
Kazini ni vitu viwili iba pesa au mda.
Jiulize mbona international organization au company haya mambo huwa hayapo ni Kazi Kazi mwanzo mwisho yaani mwajiriwa na mwajiri wote wanafurahiana.
Cheki kwa mfano zipo international organization unapiga Kazi wiki 6 fully facilities zote zipo then unakwenda off wiki 2 umepewa fully package ya kwenda kupumzisha akili hapa kwann nisiolewe kabisa na Kazi hio.
Sasa wewe unilipe mshahara sawa na posho ya mbunge kwa mwezi hio tija itoke wapi.
 
Habarini wakuu,

Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.

Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.

Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.

Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.

Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.

Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
nimecheka sana mkuu ww umeajiriwa wapi???
 
Habarini wakuu,

Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.

Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.

Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.

Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.

Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.

Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
kuzingatia lunch sio kwamba hufanyi kazi kwa bidii. kutokula kwa wakati ni athari kiafya, vidonda vya tumbo na vitambi. elimika.
 
Mkuu kweli Mimi nimenda nmb geita kule ,mida kama ya saa NNE nakuta vitu viko empty ,watu wamepanga misitari wanasubili huduma ,wanasema wameenda kunywa chai daaa


Alikuwepo dada flani amebaki meza moja ,nikamfuata anisaidie ,kufika ananipa maelezo kivivu kivivu kama hataki yani ,nikimuliza ananijibu nusu nusu kama namlazimisha ..

Nilimpa bonge la tusi" mafala kama nyie sijui mnafanya nini humu ndani " akasimama anasema namtukana akataka kumuita mlinzi eti namfokea ,nikajuchukua begi langu huyo nje ,chukua pikipiki yangu shaaaa ..
 
Hivi mmewahi kutembelea migodin uone watu wanavyfanya kazi ?

Umewahi kutembelea kwenye mashamba ya mipunga ? Kariakoo ? Kwenye uvuvi n.k


Umewahi kutembelea viwanda vya wahindi na waarabu na wachina uone watanzania wanavyochapa kazi ?


Kwanini ueseme watanzania ni wavivu kwa kuchukua sample ya watu wasiozidi hata milion 1 ( waajiriwa)


Watanzania ni wachapa kazi saaaana Tena saaaana. Zunguka hayo maeneo ndio utajua hujui.

Hao wa maofisin ni wazembe kwasababu Hakuna system za kuwabana.
 
Kimsingi tukisema Watanzania wengi ni wavivu sio sahihi ni baadhi mf. Ofisi za Serikali huwa kusaini ni kuanzia saa 7.00am - 7.30am kutoka 3.30pm. Lakini Ofisi niliyopo mie unakuta mtu anaingia saa 7.40 am ofisini lakini ikifika saa3.25pm kashabeba pochi anakwambia mpk nifike getini tisa na nusu ishafika hapo utoe na ule muda kaenda lunch ni tafarani, wakati huo huo kuna baadhi ya Ofisi za Serikali ziko strict kabisa hamna mchezo mchezo at all so inategemea ofisi na ofisi.
 
Habarini wakuu,

Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.

Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.

Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.

Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.

Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.

Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
Ni kero sana, yaani unakuka anatoka kwenda lunch saa saba halafu anarudi saa tisa .
 
Wewe unaona ulikuwa unapatia kabisa, nyie ndio wale waalimu mnafanya Elimu kuonekana ngumu!

Unafaham kabisa miundombinu ya vyuo vyetu si rafiki kwa wanafunzi, na bado unafaham Library zetu hazina viwango vya kuridhisha kupata vitabu au ku Accomodate wanafunzi wote at once.

Unafaham kabisa, hali ya uchumi ya wanafunzi wetu, ikiwa asilimia kubwa ni watoto wa maskini! unakuja hapa unaongea kama hufaham mazingira ya vyuo vyetu!

Inauma sana.
nimekosea kutowapa notes nikawapa vitabu?,
notes walikua wanapewa soft copy,mimi sikutoa ila nilikua natoa vitabu soft copy,nimekosea wapi?,
sikuwahi kuagiza mtu yoyote aende libarary maana vitabu nilikua navyo;
kumpa mwanafunzi wa chuo PowerPoint si jambo jema,wengi wanasoma juu juu tu,ila vitabu vinasaidia kuliko PowerPoint;
niko nje huku,PowerPoint sio za muhimu,kikubwa ni vitabu;
nadhani nimekujibu vema;
 
Back
Top Bottom