Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ila jamani wanawake asilimia kubwa ni wavivu makazini.. huo ndo ukweli.. mpaka kuna saa najiuliza kama wana add value kwenye biashara.Na ndo ktk group waliokua mitandaoni Wana mchukia na kumtukana sana JPM.
KWA Sasa wanatafuta hela kupitia Semina,per diem na kazi maalumu,huku wakichelewa makazini KWA visingizio lukuki na likizo za hovyo hasa dada zetu.
Nchi ishakua kama kambale kila mtu ana ndevu
Mkuu ,Mimi nafanya kazi kwenye kampuni moja ya maswala ya ujenzi ..so mara nyingi nazungukaga kupeleka invoices, kufuatilia P.O na kuchukua cheques Kwa makampuni tunayofanya nayo kazi so Huwa hii Hali nakutana nayo kila mara ..na Karibia kila ofisi ... ila kwavile nshazoea naenda nao hvo hvonimecheka sana mkuu ww umeajiriwa wapi???
Yan mkuu kama huna moyo unaweza mpiga hata mtu ,Kuna baadhi ya watu kwenye hz ofisi wanakera mnooMkuu kweli Mimi nimenda nmb geita kule ,mida kama ya saa NNE nakuta vitu viko empty ,watu wamepanga misitari wanasubili huduma ,wanasema wameenda kunywa chai daaa
Alikuwepo dada flani amebaki meza moja ,nikamfuata anisaidie ,kufika ananipa maelezo kivivu kivivu kama hataki yani ,nikimuliza ananijibu nusu nusu kama namlazimisha ..
Nilimpa bonge la tusi" mafala kama nyie sijui mnafanya nini humu ndani " akasimama anasema namtukana akataka kumuita mlinzi eti namfokea ,nikajuchukua begi langu huyo nje ,chukua pikipiki yangu shaaaa ..
Ungeenda na biti yao.. sasa ndo ukaacha kazi?huu ni ukweli mtupu,vyuoni utakuta mwanafunzi anataka notes tu,enzi hizo nafundisha chuo kimoja nchini nilikataa kuwapa notes,nawapa vitabu tu vya kusoma walikua wanafeli sana hata ukitoa maswali ya mifano,nikaacha kazi ;
tubadilike;
Typically, tabia za kimaskini-kutopenda kazi!! Yaani hakuna namna nchi iwe na watu wasiopenda kufanya kazi halafu iwe na ustawi!
Kuna kampuni nilijitoa mpaka off zangu nikawa napiga mzigo bila malipo. Overtime no malipo. Full kuji over work.....Watu wanatafuta mishahara walipe bills mzee [emoji28]
Kazi uipende ofisi ya babaako hiyo?
Una point mkuu.. ila ukikosa motisha ya kazi kisa maslahi madogo, bado utakuwa unakosa professionalism.Kama mwajiri anakuibia kukulipa kiduchu why nawe ujitolee kumfurahisha.
Kazini ni vitu viwili iba pesa au mda.
Jiulize mbona international organization au company haya mambo huwa hayapo ni Kazi Kazi mwanzo mwisho yaani mwajiriwa na mwajiri wote wanafurahiana.
Cheki kwa mfano zipo international organization unapiga Kazi wiki 6 fully facilities zote zipo then unakwenda off wiki 2 umepewa fully package ya kwenda kupumzisha akili hapa kwann nisiolewe kabisa na Kazi hio.
Sasa wewe unilipe mshahara sawa na posho ya mbunge kwa mwezi hio tija itoke wapi.
Na mishahara mizuri inatarajiwa kutoka wapi?Kwa mishahara ipi? Hii inayolwisha baada ya siku 10 tu!?
Na mishahara mizuri inatarajiwa kutoka wapi?
True.Una point mkuu.. ila ukikosa motisha ya kazi kisa maslahi madogo, bado utakuwa unakosa professionalism.
Maana ni kama utakuwa sio productive kwenye kazi.. So mimi siku zote huwa nasema, ukikubali kufanya kazi fanya ile ile jitoe mpaka mwisho.
Ila kama unaona maslahi madogo, acha kazi kabisa na sio kufanya kwa kulega lega
Mimi nikimkuta mtoa huduma mwanamke kwanza akili tayari inaanza kuchoka.. maana lazima utakutana na excuse au huduma ya kivivu, kama sio benki basi tegemea kuambiwa njoo kesho.Mkuu kweli Mimi nimenda nmb geita kule ,mida kama ya saa NNE nakuta vitu viko empty ,watu wamepanga misitari wanasubili huduma ,wanasema wameenda kunywa chai daaa
Alikuwepo dada flani amebaki meza moja ,nikamfuata anisaidie ,kufika ananipa maelezo kivivu kivivu kama hataki yani ,nikimuliza ananijibu nusu nusu kama namlazimisha ..
Nilimpa bonge la tusi" mafala kama nyie sijui mnafanya nini humu ndani " akasimama anasema namtukana akataka kumuita mlinzi eti namfokea ,nikajuchukua begi langu huyo nje ,chukua pikipiki yangu shaaaa ..
Hao wabunge ni asilimia ngapi ya waTz? Na watakapopunguziwa wakipatacho sasa ndio kitafanya sasa waTz tutoke uchumi wa 'kati chini kwenda kati juu'?Hao Wabunge wanaojilipa milioni 12 kwa mwezi na marupurupu manono na kiinua mgongo cha zaidi ya T shs milioni 300 kila mmoja kila baada ya miaka mitano hiyo pesa inatoka wapi!?
Upo sahihi sananimekosea kutowapa notes nikawapa vitabu?,
notes walikua wanapewa soft copy,mimi sikutoa ila nilikua natoa vitabu soft copy,nimekosea wapi?,
sikuwahi kuagiza mtu yoyote aende libarary maana vitabu nilikua navyo;
kumpa mwanafunzi wa chuo PowerPoint si jambo jema,wengi wanasoma juu juu tu,ila vitabu vinasaidia kuliko PowerPoint;
niko nje huku,PowerPoint sio za muhimu,kikubwa ni vitabu;
nadhani nimekujibu vema;
Utakuta ni mawazo ya mwanaume eti haya!!Watu wanatafuta mishahara walipe bills mzee 😅
Kazi uipende ofisi ya babaako hiyo?
Mkuu inashangaza sana Hawa dada zetu hawataki kujishughulisha kabisa. .. wao n kuchat na kusingizia system Iko low ..njoo keshoMimi nikimkuta mtoa huduma mwanamke kwanza akili tayari inaanza kuchoka.. maana lazima utakutana na excuse au huduma ya kivivu, kama sio benki basi tegemea kuambiwa njoo kesho.
Yaani mtu yupo kwenye kutoa huduma akikuona mteja umekuja anaanza kukasirika maana alikuwa anachati