Mkuu kweli Mimi nimenda nmb geita kule ,mida kama ya saa NNE nakuta vitu viko empty ,watu wamepanga misitari wanasubili huduma ,wanasema wameenda kunywa chai daaa
Alikuwepo dada flani amebaki meza moja ,nikamfuata anisaidie ,kufika ananipa maelezo kivivu kivivu kama hataki yani ,nikimuliza ananijibu nusu nusu kama namlazimisha ..
Nilimpa bonge la tusi" mafala kama nyie sijui mnafanya nini humu ndani " akasimama anasema namtukana akataka kumuita mlinzi eti namfokea ,nikajuchukua begi langu huyo nje ,chukua pikipiki yangu shaaaa ..