KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sio ndoo kwamba inajaa kisimani ndo ujitwishe ......taratibu tutaelewana tu lipia kupitia online ... *
 
Kumekucha!
 

Attachments

  • 20240622_095239.jpg
    20240622_095239.jpg
    54.5 KB · Views: 3
Ukitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.

Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
Ni kwelinjana wageni wangu waliambiwa tren imejaa hadi ya leo haina siti ila muda tren linaondoka lilikuwa wazi kabisa tukabaki na mshangao..
 
Ukitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.

Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
Halafu unasema una taasisi inaitwa tiss wako bize kufuatilia umbea au kufuatilia harakati za wapinzani, tuwaone wakipambana na huku
 
Uko sahihi..lakini ndio iwe kwa behewa zima? Yaani ukiwa unaomba zile siti hazifunguki kwa kumaanisha zimeshanunuliwa.
Kumbuka sio Watu wengi wanaoishi Mjini kati.
 
Halafu unasema una taasisi inaitwa tiss wako bize kufuatilia umbea au kufuatilia harakati za wapinzani, tuwaone wakipambana na huku
Bora ata huo upinzani ambao unafatiliwa ungekuwa wa maana basi yaani unakuta hao wapinzani hawajielewi ila tiss ndio wapo bize nao kweli..
 
Sio kweli sasa mtu akate tiketi na alipie the asisafiri? Mtoa mada hajielewi. Pia kuna watu wanapandia njiani
 
Back
Top Bottom