Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni sio sehemu nzuri za kuchagua mchumba

Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni sio sehemu nzuri za kuchagua mchumba

Dalala yeyote inayokuja mbagala asubuhi au jioni inakuwa ishajaa watu wa kurudi nao ilikotoka,kwahiyo ikifika mbagala wanapanda washika mabomba

umejuaje una uzowefu nako ?
 
wanawake watemeke kila wekend wako ngomani diary imejaa vigodoro,jando,unhago,ngoma ,hitima ,harobaini,kisomo,
 
Hahaaaaa lol umenichekeshaje

Hahahaha,mbagala raha sana,mkibanana girl akiwa ndo umebanana naye mnapiga stori za kutongozana huku foleni inaenda,kufika rangi tatu mmepeana contacts,halafu mbagala si wastaarabu wa kunyamaza story na majungu yatapigwa kwa sauti kubwa huku abiria mnaenjoy
 
Samahanini, naomba msituharibie soko jamani

Kama soko lishakufa zamani, sasa ni wakati wa kuhama maeneo haya kama uhamini kaa hapo miaka yako mitano kama utaishia kuombwa namba na kuambiwa utapigiwa baadaye, hapo mwomba namba ashakuuliza unakaa wapi? umepanga au umepangiwa, ukilogwa ukamleta kwako anaamia kwa muda, baada ya siku nilazima akuzushie timbili tu ili muachane. Kama unaamini kaa pale mango garden wasichana wengi hawanywi chai wao ni supu tu na chapati, nenda sinza pale meeda hivyo hivyo, nenda kinondoni mwembe jini unakuta wanatoka na vidishi vya supu jioni chips hawapendi kupika, unapokutana naye kwa mara ya kwanza hapo hapo utaambiwa ana njaa wakati ni saa 2. Baada ya muda utamkuta kino Amerikan chips.
 
Kwa kweli sijaelewa..!
Mkuu, wakazi wa kinondoni, magomeni na sinza hawana tabia njema au?

mkuu hawa wa kinondoni , kwakweli nadhani wapo hapa mjini kwaajili ya starehe, na kauli mbiu yao ni "kura bia, kura bia" ukitaka hakikisha hili tembelea viunga vya mitaa ya kinondoni kuanzia pale mk njoo mpaka meridian, utajua namaanisha nini..hawa watu wamejichoka..
 
Hahahaha,mbagala raha sana,mkibanana girl akiwa ndo umebanana naye mnapiga stori za kutongozana huku foleni inaenda,kufika rangi tatu mmepeana contacts,halafu mbagala si wastaarabu wa kunyamaza story na majungu yatapigwa kwa sauti kubwa huku abiria mnaenjoy

Ili upate siti basi la mbagala lazima uwe na nguvu au ulipe hela zaidi ya kugeuka na gari watu wabishi hatari uda na dcm wanakimbilia dcm wanakwambia madereva wa uda wazee
 
Ili upate siti basi la mbagala lazima uwe na nguvu au ulipe hela zaidi ya kugeuka na gari watu wabishi hatari uda na dcm wanakimbilia dcm wanakwambia madereva wa uda wazee

Makonda wengine wana vibiri,wakifika utasikia "gari haigeuzi"kumbe wanataka watu wajazane kwanza,wakijaa utasikia "posta feri hiyo""basi raia zitatoana jasho
 
Dalala yeyote inayokuja mbagala asubuhi au jioni inakuwa ishajaa watu wa kurudi nao ilikotoka,kwahiyo ikifika mbagala wanapanda washika mabomba

mtuwachd tupumue mbona mwenge- kunduchi hamuwasemi au gomz, wanawake wa huko ndo wanapasha chuma ili iwe simpo kugombania magar kama hamuamini twende mnaz mmoja leo jion
 
mtuwachd tupumue mbona mwenge- kunduchi hamuwasemi au gomz, wanawake wa huko ndo wanapasha chuma ili iwe simpo kugombania magar kama hamuamini twende mnaz mmoja leo jion

Ila hawana utaalam wa kushika mabomba na kugombania kama watu wa mbagala
 
Makonda wengine wana vibiri,wakifika utasikia "gari haigeuzi"kumbe wanataka watu wajazane kwanza,wakijaa utasikia "posta feri hiyo""basi raia zitatoana jasho

gari za mwenge na kawe ni dili mpaka basi zikienda mbagala zimejaa zikirudi zimejaa hawapati hasara hawa jamaa
 
Hahaaa lol em mtuwache huko maana wengine hatujulikani na mjumbe wa nyumba kumi sembusee mtaani..
 
Yaani hapo ndoa haichelewi, lakini atakutega kama ujajua kudandia gari za bunju, Tegeta na Mbezi!! maana huku mtu haombwi hela ya texi ni bajaj na tukutuku tu.

Ha ha ha ha sawa bwana nikuulizwa watokea wapi bunju mwisho karibu na daraja
 
Nimesema wasichana wa kuoa, wengi hawatulia kufuatana na mazingira.
1. Wengi ni wapangaji wako huru zaidi
2. Wanazungukwa sana na kumbi za starehe,
3. Hawajazoea maisha magumu kama prukushani za usafir wa dala dala,
4. Wanachagua sana biashara, ukifilisika unaachwa hawawezi kuvumilia kwa kupika andazi na vitumbua wakati ni walembo
5. Wako mbali na maeneo ya kujishughulisha kama kulima mchicha au hawana sehemu ya kufanyia bishara kwa kuwa wengi wao wamepanga, hivyo option yao ni kujipeleka kuleeee kwa wakwaleee

Aiseee bustani ya mboga, starehe kwa wanaume tu wanawake mwiko,tunachagua biashara aisee nikubali tu hata kama hapo hailipi, noted
 
Back
Top Bottom