miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Hapa kwetu vimeo wapo Gwasa, Majengo, Uchamwinoni, Nangali na maili mbili maeneo ya stand. Usiguse kabisaaaaaaa
Kilaracha pouwa kabisa noted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kwetu vimeo wapo Gwasa, Majengo, Uchamwinoni, Nangali na maili mbili maeneo ya stand. Usiguse kabisaaaaaaa
Hapa kwetu vimeo wapo Gwasa, Majengo, Uchamwinoni, Nangali na maili mbili maeneo ya stand. Usiguse kabisaaaaaaa
Area C, D, E mpaka Kizota pia
Nakudanganya wewe
Uchamwinoni hakuna vimeo labda kwenu gwasa na chadulu,
Mkuu uchamwinoni kama kawaida anzia pale darajani hadi msingi kule unaunga hadi chinangali duuuu. Kwetu zuzu mkuu
hivi unaanzaje kunidanganya ??
wakati unapokojolea na mimi nakojolea hapo hapo
am here from cnza na still sealed, kama huamini come n' check
Kwa miaka ya nyuma ilikuwa maeneo ya Mailimbili, Gwasa, Kizota mpaka Chadulu bila kusahau Bahi road na Majengo
Tena huko ndo usiseme wabunge washachakaza, utamuona mtoto wa geto kumbe yashakuwa makapi.
Sasa mkuu kuna ingizo jipya tumelisahau, makole(cbe) nadhani inashika 1
Yaani hawa safi kwa kuoa akikosa kazi au kibarua kikiota majani, anatembeza hata chapati, mihogo , sabuni, machungwa na mihogo, njoo wa kino, migo na sinza atakwambia sura inaanza kuacha mwili inakuwaje au nizunguke kidogo (kidumu)
taratibu. watoto wa kike wa kino, temeke, sinza, magomeni nawaheshim sana.Sinza nimeishi kwa miaka saba kabla ya kuhamia shambani, mabinti wamepanga chumba kizuri, anaishi vizuri ulizia kazi yake.nikiwa secondary nilikuwa namsindikiza bro.kutengeneza tv za wadada wa sinza waliopanga nikagundua tabia za baadhi yao zimekubuhuHivi kweli Mungu kaumba na huyu pumbafu. Nyumbani kwa wenzio unaita maeneo hatarishi. Kwa lipi? Watu wote wanaokuja kufanya ushwenzi wao huko hawaishi na wala hawana uwezo wa kukaa maeneo kama Sinza. Angalia daladala zinavyojaa kuja huku kutokea maeneo mengine. Hizo ni chuki binafsi. Angalia hata saloon na botique za maeneo hayo. Ni za nguvu. Acha dharau weweee
Hivi kweli Mungu kaumba na huyu pumbafu. Nyumbani kwa wenzio unaita maeneo hatarishi. Kwa lipi? Watu wote wanaokuja kufanya ushwenzi wao huko hawaishi na wala hawana uwezo wa kukaa maeneo kama Sinza. Angalia daladala zinavyojaa kuja huku kutokea maeneo mengine. Hizo ni chuki binafsi. Angalia hata saloon na botique za maeneo hayo. Ni za nguvu. Acha dharau weweee