Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni sio sehemu nzuri za kuchagua mchumba


K'Nyama nako ka Sinza. Wengi vicheche. Hoa wanafiti kuwa michepuo tu.
 

wana wivu na watoto wa kinoclan
 
Uko ndo kukosa kaz yan mnatafuta mwanamke kama bidhaa vile?


Sasa mtamaliza dar nzima na mkija mtasema wanawake wazuri wapo kibaha na bagamoyo
 
Sio limempata mtu, unadhani wachumba zangu humu wakiona hii topic, si uchumba wangu utakuwa hatarini...msitukwaze jamani

usijali baby mwenyewe nakaa magomeni hawa hawajui kuwa wakati sisi tupo watoto kimara tegeta mbezi kawe kote kulikuwa na mapori hivyo walivyokuja kutoka shamba wakakimbilia huko wengi wao wamekuja mjini kuwatembelea ndugu zao na shule achana nao
 
usijali baby mwenyewe nakaa magomeni hawa hawajui kuwa wakati sisi tupo watoto kimara tegeta mbezi kawe kote kulikuwa na mapori hivyo walivyokuja kutoka shamba wakakimbilia huko wengi wao wamekuja mjini kuwatembelea ndugu zao na shule achana nao

Asante mchumba wangu,....
Ndio maana nakupenda.
 
Those girls have big fat boots! they all have their bright future in their behinds..
 
Watuache na Kinondoni yetu, Tena ngoja leo ngoja niende Mashauzi Classic pale Mango garden

Yaani Mashauzi Classic wamama wa kutetemesha kifua, wakijirusha tu yaani maembe waliyofungasha kifuani yanacheza balaa
 
na wanaume wa maana wako wap? ila sinza wakaka wako poa ukibahatika.tho malaya sana. nimekumbu mtoto mzuri njemba ya maana ya sinza gafra mungu akaichukuwa kabla sijaamua dah mungu kwa nn hukunionea hata huruma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…