Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni sio sehemu nzuri za kuchagua mchumba

Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni sio sehemu nzuri za kuchagua mchumba

Umenikumbusha stori ya Zamani, enzi za miaka: Ni hivi, nilikuwa na shangazi yangu dada ya Baba yangu alikuwa akiishi Kinondoni shamba, shangazi yangu alikuwa na mabinti wawili kati ya hao mabinti wawili mkubwa alikuwa mzuri kupita kiasi, yaani yule dada binamu alinifanya nisiache kwenda kwa shangazi kila mara, kwa kweli nilimpenda dada binamu, ila kuna kitu kimoja nilikuwa nakereka nacho, alikuwa anaringa sana, ilikuwa nikifika shangazi ananikaribisha vizuri sana na kuwaita wadada waongee na mimi! Yaani alikuwa kama hanijui vile.....!

Sasa hivi, ukimuona anatia huruma kama nini wajanja walimzalisha mapema ,hakupata mtu wa kuishi naye, shule hakuipenda, alijua ataolewa kwa uzuri aliokuwa nao.

Pole yake
 
Hii topic ndio iliyonichefua kwa mwaka huu.
Msitukwazwe jamaniii
 
Kama soko lishakufa zamani, sasa ni wakati wa kuhama maeneo haya kama uhamini kaa hapo miaka yako mitano kama utaishia kuombwa namba na kuambiwa utapigiwa baadaye, hapo mwomba namba ashakuuliza unakaa wapi? umepanga au umepangiwa, ukilogwa ukamleta kwako anaamia kwa muda, baada ya siku nilazima akuzushie timbili tu ili muachane. Kama unaamini kaa pale mango garden wasichana wengi hawanywi chai wao ni supu tu na chapati, nenda sinza pale meeda hivyo hivyo, nenda kinondoni mwembe jini unakuta wanatoka na vidishi vya supu jioni chips hawapendi kupika, unapokutana naye kwa mara ya kwanza hapo hapo utaambiwa ana njaa wakati ni saa 2. Baada ya muda utamkuta kino Amerikan chips.

Sasa ulitaka tujibane kula wakati uwezo upo?
Kwa kifupi kinondoni sijapanga, tuna mjengo wa maana tu, msitake kuleta story zenu za vijiweni kwetu sisi....Kinondoni sitahama.
Kama sitaolewa duniani, nitaolewa akhera...kwanza aliyekuambia ndoa dili nani?
 
Jiwe limempata mtu nn katikati ya umati wa watu

Sio limempata mtu, unadhani wachumba zangu humu wakiona hii topic, si uchumba wangu utakuwa hatarini...msitukwaze jamani
 
hakuna aujuaye moyo wa mwenzie, OMBA MOLA akupe ubavu wako STAHIKIiiiiii

4df08b10-4f2d-11e4-9a32-7dc16f4e1c68_Kosta-Savva-Photography-203.jpg
 
Kutana na wanawake wa mbagala,warembo ila wakati wa kupanda daladala unakuta mrembo anasukumana huku kavaa bukta la jeans kama tayti hana habari,wanawake wapo mbagala bhana.

Hahhahahahahhaha mkuu hatari sana, niliwaona pale stesheni ni noma halafu wakati wa kushuka wastarabu unaweza fikiri sio wao vile au hawajatokea mbagala.
 
Sasa ulitaka tujibane kula wakati uwezo upo?
Kwa kifupi kinondoni sijapanga, tuna mjengo wa maana tu, msitake kuleta story zenu za vijiweni kwetu sisi....Kinondoni sitahama.
Kama sitaolewa duniani, nitaolewa akhera...kwanza aliyekuambia ndoa dili nani?

madamerrrrrr
wamekukeraje leoooo....?!!!
 
Sasa ulitaka tujibane kula wakati uwezo upo?
Kwa kifupi kinondoni sijapanga, tuna mjengo wa maana tu, msitake kuleta story zenu za vijiweni kwetu sisi....Kinondoni sitahama.
Kama sitaolewa duniani, nitaolewa akhera...kwanza aliyekuambia ndoa dili nani?

Ni sheedah! wallah wa kukuoa hayupo! una maneno ya mtaani kaa wanawake wa Ilala? Anyway, ni walewale!
 
madamerrrrrr
wamekukeraje leoooo....?!!!

Yaani wamenikera....
unajua kuna baadhi ya misemo ya zamani imepitwa na wakati, i.e,samaki mmoja akioza au mwalimu wa wanawake alikuwa kipofu n.k...lakini bado kuna mijanaume inaitumia.
Watuacheeeeeeeeee.....kuolewa sio lazima nawaambia, kutafuta pesa ndo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom