Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
Kochi la mdinyo, inapendeza ☺️Kuna kikochi chetu chumbani wenyewe tunapigiaga love story zetu na kunywea kahawa hapo!!
Tukikaa hapo hakuna ugomvi unaendelea!! Nahisi huwa kinatumika zaidi kwenye mdinyo kuliko hata kitandani!!
Wewe yako je?Ngoja waje wakupe ya kwao
Siwahurumiagi CCM 😅nitizame kwa jicho la huruma binti yangu kama hutojali
siasa sio uadui kuna kitu kinaitwa 4R unakifamu lakiniSiwahurumiagi CCM
Hohoho!!! Unanchekesha!dogo umeshanigeuza babu yako sio kacheze na wezio kule uzi wa kimasihara
Hii nayo huwa ni effective sana, tunausikiliziaga tu mnara unavyosimama!Hapo ni kulala Bila boksa hrf anakumbatiwa Kw mgongoni!
We jau sana! eti njoo upige 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hapana bhana
Ile mambo ni starehe...mkiwa pamoja si ya kukunjiana kabisaWe jau sana! eti njoo upige 🤣🤣🤣
Sasa na wewe si ulegezeIle mambo ni starehe...mkiwa pamoja si ya kukunjiana kabisa
Mie ni mtu mzima siwezi ropoka mambo ya faragha hadharani so endelea kupewa ya hao wasio heshimu faragha za wapenzi wao...Wewe yako je?
Si ndo hivyo aje ajipigie mkuuSasa na wewe si ulegeze
Au sio ajipigie vitu vyake viwili vitatuSi ndo hivyo aje ajipigie mkuu
Mkao wa royal tour ndo ukoje huo?Nanukuu andiko la dada mmoja aliwahi comment "huwa najiegesha mkao wa royal tour - lazima atubu" 😂
😳 Viwili vitatu!?...sema viwili,mi mvivu jamen 🥴Au sio ajipigie vitu vyake viwili vitatu
Kumbe akikununia unaliaga 🥹Kuomba mbususu kinyonge nako jau, ila akiwa kaninunia nalia lazima tu asogee kuuliza shida nini naongeza kilio, halafu nakuwa normal naanza kumcheka haha kumbe unajali eh atarusha kakofi kauchokozi "sitaki bwana mambo yako" namjibu "unataka tu unavunga"
Itaendelea....
[emoji23] actingKumbe akikununia unaliaga
Sifahamu rafiki yangu, watu watundu ...Mkao wa royal tour ndo ukoje huo?