Ukitaka kupewa chakula cha usiku bila kukiomba directly, unafanyaje?

Tuko hapa tunasubiri mwendelezo
 
Natamani ningekua Moderator , You'd never see JF again for the rest of your life.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Naona unateseka πŸ˜†

Kaombe kazi, wanaweza kukuajiri kijana, then utanipiga ban!
Hapa katikati ulikua wapi mbona sahivi umekuja kwa kasi sana au ulikua jela? Maana upo jf tangu 2011 ila mbwembwe zako nimeziona zaidi hizi wiki mbili
 
Hapa katikati ulikua wapi mbona sahivi umekuja kwa kasi sana au ulikua jela? Maana upo jf tangu 2011 ila mbwembwe zako nimeziona zaidi hizi wiki mbili
Hehehehehehehehehehehehehehehehe!!!!!!!!!!!!!!!!Β°
 
Hapa katikati ulikua wapi mbona sahivi umekuja kwa kasi sana au ulikua jela? Maana upo jf tangu 2011 ila mbwembwe zako nimeziona zaidi hizi wiki mbili
Nilikua vitani, conflicts za after september 11, now nimestaafu
 
Navua zote nazurura na shanga chumbaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila waturudishe JLWπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…