Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

See. Foolish stuff kama hizi ungeweka uzi dakika tano tu ungekuwa na wachangiaji alfutatu.

Lakini kwanini mtu uweke mambo yako personal hadharani?

Ni kutaka sifa za kijinga, kupenda showa off na kama wewe ni mwanaume basi una vinasaba vya ushoga.

Real men don't kiss and tell niggah.
Nilijua utasema hivo.


Kwahiyo kula unakula, ila kusema husemi ..hapo ndipo tumetofautiana au sio??.
 
Yaan ukileta mada zako za maana 😊😊😊😊 ujue Kila binadamu yumo humu Jf Kwa interest zake wengine wapo for LEISURE WENGINE PLEASURE WENGINE STUDYING
Binadamu wa sikuizi wengi hawapendi mambo magumu magumu...🤓🤓🤓🤓
Wanafeli kaka mkubwa. Inakera mada za kijinga ndio ziwe na wachangiaji wengi. Inaonyesha kuwa idadi yetu kubwa ni wajinga.
 
Siku moja nilitoa wazo humu pawe na SCREENING pindi mtu anapotaka kujiunga na huu mtandao.

Na ikibidi hata kuweka kigezo cha NAMBA YA TAIFA na NYARAKA ZA KITAALUMA.

Mavilaza yamejaa humuu yanapiga norinda 24 hrs.
I be ghetto boy na bi sinner

Midnight walkers karashikaaaaaa. Dem never see me coming jo jo.
 
Niliandikaga jf Uzi wa kuhitaji msaada wa kufika USA,CANADA.niliishia kutukanwa na kukatiswa tamaa
Mavilaza haya hayawezi kukusaidia kitu. Hii forum ilikuwaga zamani bwana miaka ya 2015 chini huko unakutana na vichwa kweli kweli.

Siku hizi pamejaa MAMBURULAZ yanawaza kufirwa tu 24 hrs.
 
Ujinga umekuwa mwingi JF. Hii forum ni special sana na hata kama rais anaitembelea inaonekana ina influence kubwa lakini ukija kuangalia mada zenye kuchangiwa sana ni mada za kishenzi shenzi tu zinazohamasisha tu mambo ya ajabu ajabu kama mapenzi, ushoga, kupeana likes na upuuzi mwingine kama huo.
Mkuu kuna majukwaa mengi duniani huwa napitia na mengine nimejiunga
Unakuta kijana wa 18 madini anayoandika mpaka unashangaa
Nafikiri ni elimu pia humu wengi ni vilaza yes sio uongo
 
Mavilaza haya hayawezi kukusaidia kitu. Hii forum ilikuwaga zamani bwana miaka ya 2015 chini huko unakutana na vichwa kweli kweli.

Siku hizi pamejaa MAMBURULAZ yanawaza kufirwa tu 24 hrs.
Niliumia sana nikaamini kweli kila mtu ataubeba mzigo wake.yani namwomba mtu anisaidie jinsi ya kutimiza ndoto zangu ananiambia niwe SHONGA ndo nitatusua kimaisha dash htr
 
Usifanye mambo kua magumu Mkuu.

Humu Kuna Madaktari, Kuna mwingine ni Mwalimu... Mwingine Mwanasheria kama Pasco...Mwingine Muhandisi ... Mwingine Mfanyabiashara ...Mwingine Hana Kazi..Mwingine mwanachuo. Kuna Madereva humu, Kuna mafundi Ujenzi humu .n.k


Sasa Kila mmoja akisema ajikite kwenye Profession yake Kila siku ,unadhan humu JF kutanoga ??? , au Mimi mtu wa Afya niende kuchangia Mada za Uinjinia. ,au Mimi nichangie Mada za Sijui Kati ya Nairobi na Dar ipi nzuri? Sijui DODOMA na Mwanza wapi pazuri .... Mimi binafsi nitakua nmefanya matumizi mabaya ya Akili yangu .


Humu Ndani Kuna nyuzi ambazo Mimi hata iweje Sitokaa kuzifungua baada ya Kusoma Vichwa vya habari..

Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k

Lakini hizo nyuzi Kuna watu wanazielewa sanaaa .


Watu hao sio wajinga Wala nini , ni Mahali ambapo ukiachilia mbali taaluma zao, hapo ndipo wanachangamsha akili



Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.

Hapa penyewee nipo naweka sawa Mbususu fulan nataka niile Asubuhi ,alafu usiku Nile mbususu ya yule Bidada nilowaelezea kwenye Uzi wa masihara !!.




Yaan hizi nyuzi za ujinga ujinga, ndo tunakutania hukooo Kwa pamoja
Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k

Uzi wa kubeti sijawai na sito wai kufungua..😊😊

Uzi wa usiku wa manane huu ni mfariji maana Kuna siku UNAJIKUTA upo pekeako usiku so una amua kupata company

Jf nipe likes ni mdau zaman sana mara ya mwisho 2019 hukoooo...

all in all wote Tupo kwenye the same ⛵🚢🚢 boat

wasalaam
 
Back
Top Bottom