Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
-
- #221
I don't take things personal. Nilichokusudia kufikisha kimefika so no worries. Hata nikija kukutongoza PM usikate kisha nimesema ukweliMi mchangiaji tuu kama wengineππ Chaliifrancisco dont take it too seriously.. πππ
Niliandikaga jf Uzi wa kuhitaji msaada wa kufika USA,CANADA.niliishia kutukanwa na kukatiswa tamaa
Dogo π€£π€£π€£Wanaume wa JF na simping ni [emoji1696]
Unakuta ka tag wadada kama mia kutoa tu heshima plus ku simp, ujinga ni mwingi aiseeeeβ¦
Nilijua utasema hivo.See. Foolish stuff kama hizi ungeweka uzi dakika tano tu ungekuwa na wachangiaji alfutatu.
Lakini kwanini mtu uweke mambo yako personal hadharani?
Ni kutaka sifa za kijinga, kupenda showa off na kama wewe ni mwanaume basi una vinasaba vya ushoga.
Real men don't kiss and tell niggah.
Nyie watu ni wakorofi sanaAu uongo dada Depal?
Wanafeli kaka mkubwa. Inakera mada za kijinga ndio ziwe na wachangiaji wengi. Inaonyesha kuwa idadi yetu kubwa ni wajinga.Yaan ukileta mada zako za maana ππππ ujue Kila binadamu yumo humu Jf Kwa interest zake wengine wapo for LEISURE WENGINE PLEASURE WENGINE STUDYING
Binadamu wa sikuizi wengi hawapendi mambo magumu magumu...π€π€π€π€
Wapo humu tena wengi na ambao wamefika hukoWatu hawajawahi hata kupanda ndege unawaomba ushauri wa kufika Canada.
Ukitaka Mwenyewe ππ
I be ghetto boy na bi sinnerSiku moja nilitoa wazo humu pawe na SCREENING pindi mtu anapotaka kujiunga na huu mtandao.
Na ikibidi hata kuweka kigezo cha NAMBA YA TAIFA na NYARAKA ZA KITAALUMA.
Mavilaza yamejaa humuu yanapiga norinda 24 hrs.
Na wewe ndo chairperson sijui basi tafuraniπ π π π
Yeah, whatever niggahWhatever helps you sleep at night, homeboy. Glad to help.
Mavilaza haya hayawezi kukusaidia kitu. Hii forum ilikuwaga zamani bwana miaka ya 2015 chini huko unakutana na vichwa kweli kweli.Niliandikaga jf Uzi wa kuhitaji msaada wa kufika USA,CANADA.niliishia kutukanwa na kukatiswa tamaa
Ewaaaa Heshima kwanza ipate kitandan babuuuOoooza mr ππππ. Huu uzi nimuhimu aseee niweke heshima kabisa
Mkuu kuna majukwaa mengi duniani huwa napitia na mengine nimejiungaUjinga umekuwa mwingi JF. Hii forum ni special sana na hata kama rais anaitembelea inaonekana ina influence kubwa lakini ukija kuangalia mada zenye kuchangiwa sana ni mada za kishenzi shenzi tu zinazohamasisha tu mambo ya ajabu ajabu kama mapenzi, ushoga, kupeana likes na upuuzi mwingine kama huo.
Na huko kwenye praiveti boksi meseji zitakua zimejaa sana sasa lengo lake ni hilo si anajua sisi wanaume udhaifu wetu ni kutugusia mada za mapenzi anakua kama umetupiga starter tuhamishie umakini kwake
Unamwambia nani? Kwa manufaa gani?Nilijua utasema hivo.
Kwahiyo kula unakula, ila kusema husemi ..hapo ndipo tumetofautiana au sio??.
Niliumia sana nikaamini kweli kila mtu ataubeba mzigo wake.yani namwomba mtu anisaidie jinsi ya kutimiza ndoto zangu ananiambia niwe SHONGA ndo nitatusua kimaisha dash htrMavilaza haya hayawezi kukusaidia kitu. Hii forum ilikuwaga zamani bwana miaka ya 2015 chini huko unakutana na vichwa kweli kweli.
Siku hizi pamejaa MAMBURULAZ yanawaza kufirwa tu 24 hrs.
Unataka kuwa Alqaeeda babe ?
Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.kUsifanye mambo kua magumu Mkuu.
Humu Kuna Madaktari, Kuna mwingine ni Mwalimu... Mwingine Mwanasheria kama Pasco...Mwingine Muhandisi ... Mwingine Mfanyabiashara ...Mwingine Hana Kazi..Mwingine mwanachuo. Kuna Madereva humu, Kuna mafundi Ujenzi humu .n.k
Sasa Kila mmoja akisema ajikite kwenye Profession yake Kila siku ,unadhan humu JF kutanoga ??? , au Mimi mtu wa Afya niende kuchangia Mada za Uinjinia. ,au Mimi nichangie Mada za Sijui Kati ya Nairobi na Dar ipi nzuri? Sijui DODOMA na Mwanza wapi pazuri .... Mimi binafsi nitakua nmefanya matumizi mabaya ya Akili yangu .
Humu Ndani Kuna nyuzi ambazo Mimi hata iweje Sitokaa kuzifungua baada ya Kusoma Vichwa vya habari..
Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k
Lakini hizo nyuzi Kuna watu wanazielewa sanaaa .
Watu hao sio wajinga Wala nini , ni Mahali ambapo ukiachilia mbali taaluma zao, hapo ndipo wanachangamsha akili
Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.
Hapa penyewee nipo naweka sawa Mbususu fulan nataka niile Asubuhi ,alafu usiku Nile mbususu ya yule Bidada nilowaelezea kwenye Uzi wa masihara !!.
Yaan hizi nyuzi za ujinga ujinga, ndo tunakutania hukooo Kwa pamoja