Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ungetoa mfano mada zenye tija ni zipi na za kijinga ni zipi. Usijifanye kama mjivuni wa kitutsi kudharau tu eti watu weusi ni wajinga.
Mimi naona wewe pengine ndio mjinga maana huyo lema unayemtolea mfano hoja zake kama za maana mi namuona ni mtu mjinga.
 
Wanaume wa JF na simping ni [emoji1696]
Unakuta ka tag wadada kama mia kutoa tu heshima plus ku simp, ujinga ni mwingi aiseeee…
How can you simp without physically meeting 🤔🤔🤔🤔.
 
Ni kama hivi


 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aibu sana hadi unajiuliza Hawa ndo wale wanawake tukiwa shule ilikua tukiwatongoza wanaenda kusema kwa mwalimu wa darasa kweli? Mbona wamebadilika sana

Wengine ni wamama wakubwa na mashangazi pia
Ndio upate picha ilivyo mkuu
 
Na wewe ndo chairperson sijui basi tafurani

Yaani wangeeka option ya kuchagua majukwaa ingependeza
Chairperson wa nini tena ? Usichukulie mambo serious.. sie makuli tunakuja kupunguza stress hakuna jambo serious hapa.. wala hakuna mahusiano humu mkuu.. siwezi teseka na bahasha kitaaa na humu nije teseka kichwa
 
Nimekuambia mfano Lema akisema sisi ni masikini tunalalamika na kuona tumetukanwa na uzi kama huo wachangiaji ni wachache kwakuwa hamuwezi kujenga hoja.
 
Sio shida the problem mnaitaka iwe ndo main topic

Mimi sawa siez mpangia mtu apost nini ila kama msomaji sijifunzi chochote heri muende PM mmalizane mbona ni rahisi and sio necessary naona ni minor thing tu zinamaliIka sio mpaka muanikane
Halafu yalivyo MANYUMBU eti yanaitana na kusherehekea tafrija ya MEMBER BORA kuliko wengine.

Hao MEMBER BORA wenyewe ni manyumbu yale yale ya TUNDA LA KIMASKHARA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…