Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Ungetoa mfano mada zenye tija ni zipi na za kijinga ni zipi. Usijifanye kama mjivuni wa kitutsi kudharau tu eti watu weusi ni wajinga.
Mimi naona wewe pengine ndio mjinga maana huyo lema unayemtolea mfano hoja zake kama za maana mi namuona ni mtu mjinga.
 
Wanaume wa JF na simping ni [emoji1696]
Unakuta ka tag wadada kama mia kutoa tu heshima plus ku simp, ujinga ni mwingi aiseeee…
How can you simp without physically meeting 🤔🤔🤔🤔.
 
Ni kama hivi


 
Usifanye mambo kua magumu Mkuu.

Humu Kuna Madaktari, Kuna mwingine ni Mwalimu... Mwingine Mwanasheria kama Pasco...Mwingine Muhandisi ... Mwingine Mfanyabiashara ...Mwingine Hana Kazi..Mwingine mwanachuo. Kuna Madereva humu, Kuna mafundi Ujenzi humu .n.k


Sasa Kila mmoja akisema ajikite kwenye Profession yake Kila siku ,unadhan humu JF kutanoga ??? , au Mimi mtu wa Afya niende kuchangia Mada za Uinjinia. ,au Mimi nichangie Mada za Sijui Kati ya Nairobi na Dar ipi nzuri? Sijui DODOMA na Mwanza wapi pazuri .... Mimi binafsi nitakua nmefanya matumizi mabaya ya Akili yangu .


Humu Ndani Kuna nyuzi ambazo Mimi hata iweje Sitokaa kuzifungua baada ya Kusoma Vichwa vya habari..

Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k

Lakini hizo nyuzi Kuna watu wanazielewa sanaaa .


Watu hao sio wajinga Wala nini , ni Mahali ambapo ukiachilia mbali taaluma zao, hapo ndipo wanachangamsha akili



Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.

Hapa penyewee nipo naweka sawa Mbususu fulan nataka niile Asubuhi ,alafu usiku Nile mbususu ya yule Bidada nilowaelezea kwenye Uzi wa masihara !!.




Yaan hizi nyuzi za ujinga ujinga, ndo tunakutania hukooo Kwa pamoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cheers mkuu😊🥂
20230311_200949.jpg
 
Aibu sana hadi unajiuliza Hawa ndo wale wanawake tukiwa shule ilikua tukiwatongoza wanaenda kusema kwa mwalimu wa darasa kweli? Mbona wamebadilika sana

Wengine ni wamama wakubwa na mashangazi pia
Ndio upate picha ilivyo mkuu
 
Na wewe ndo chairperson sijui basi tafurani

Yaani wangeeka option ya kuchagua majukwaa ingependeza
Chairperson wa nini tena ? Usichukulie mambo serious.. sie makuli tunakuja kupunguza stress hakuna jambo serious hapa.. wala hakuna mahusiano humu mkuu.. siwezi teseka na bahasha kitaaa na humu nije teseka kichwa
 
Ungetoa basi mfano mada zenye tija ni zipi na za kijinga ni zipi. Usijifanye kama mjivuni wa kitutsi kudharau tu eti watu weusi ni wajinga. Mimi naona wewe pengine ndio mjinga maana huyo lema unayemtolea mfano hoja zake kama za maana mi namuona ni mtu minga tu.
Nimekuambia mfano Lema akisema sisi ni masikini tunalalamika na kuona tumetukanwa na uzi kama huo wachangiaji ni wachache kwakuwa hamuwezi kujenga hoja.
 
Sio shida the problem mnaitaka iwe ndo main topic

Mimi sawa siez mpangia mtu apost nini ila kama msomaji sijifunzi chochote heri muende PM mmalizane mbona ni rahisi and sio necessary naona ni minor thing tu zinamaliIka sio mpaka muanikane
Halafu yalivyo MANYUMBU eti yanaitana na kusherehekea tafrija ya MEMBER BORA kuliko wengine.

Hao MEMBER BORA wenyewe ni manyumbu yale yale ya TUNDA LA KIMASKHARA...
 
Back
Top Bottom