Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Na wewe ndo chairperson sijui basi tafurani

Yaani wangeeka option ya kuchagua majukwaa ingependeza
Ipo dada
Tia block wote wanashindwa kuilisha akili, roho na nafsi yako vitu positive.

Kwenye jukwaa tia ignore
Nyuzi flani tia ignore

Simple as that..
 
😂😂

Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.

Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Nuksi. Yaani nyie mnatakiwa mfurushwee na kutokomea.

Mnachafua jukwaaa limejaa umburulazzzzzzzz
 
😂😂

Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.

Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Nuksi. Yaani nyie mnatakiwa mfurushwee na kutokomea.

Mnachafua chukwaaa limejaa umburulazzzz
 
😂😂

Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.

Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Jitahidini muwe mna make up na watu wanaojielewa na wenye exposure wabadilishe mindset zenyu
 
Kuna Jamaa baada ya kazi zao ,jion wanapita Bar, wanakunyws pombe na kuvutia sigara...... Nakuja JF kukaribisha watu Kwa pichaaa ...nisawa ..


Ila Carlos akitoka Job, akaona akale tunda kimasihara ...akaja JF kusema, Aiseee nmekula tundaa muda huu

Ni nongwa😂😂😂
 
Usitufokee. Nililetwa duniani kwa sababu wazaz wangu walipendana. Kwann mm nimpende mtoto wa mama mkwe
 
Hicho kipaji wanacho wanaume wa JF pekee
Shida we huelewi sio simping hio ni jocking tu mkuuu si simping maana watu hawako serious hata mm sipogo serious maana huku watu hatujuani ndo maana ya fake id
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…