Ipo dadaNa wewe ndo chairperson sijui basi tafurani
Yaani wangeeka option ya kuchagua majukwaa ingependeza
Nuksi. Yaani nyie mnatakiwa mfurushwee na kutokomea.😂😂
Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.
Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Unanicheka au?
Nipo tayari, nina chemical suits, bullet proof vests, RPGs, ICBMs, Kalashnikovs n.kVayolensi mode activated
Patakua padogo humu. Ila ukweli lazma usemwe
Kapeace in the building baaaby!Kinachokutesa ni kipi?
Qoura 🤣🤣Jukwaa lingine ukiachana na JF mkuu ni kama yapi
Tupate exposure mpya
Mwache tajiri wangu
Yuko busy
Me nacheka watu wanavyosimp na mashangazi zao
Nuksi. Yaani nyie mnatakiwa mfurushwee na kutokomea.😂😂
Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.
Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
😒😒😒😒 Sawa kwaheriPita huko peleka mishuzi na hiyo mimavi kwenu, na wewe WA kiume ama😏
Jitahidini muwe mna make up na watu wanaojielewa na wenye exposure wabadilishe mindset zenyu😂😂
Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.
Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Duh😂😂😂😂😂Haya Fungasha wowowo unitikisie.
How can you simp without physically meeting [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].
Kuna Jamaa baada ya kazi zao ,jion wanapita Bar, wanakunyws pombe na kuvutia sigara...... Nakuja JF kukaribisha watu Kwa pichaaa ...nisawa ..Mie sijaona tatizo. Kuna watu baada ya purukushan zao za kimaisha story za hovyo ndio raha yake muda usonge sasa tukianza kulaumiana itakuaje tena jaman eeh nje ya Jf kugumu na ndani pia kuwe kugumu. Tuvumiliane tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe mkuuUkisema ukweli bro lazima vilaza waje wakurarue lakini kwakuwa mimi sio kilaza basi hawawezi kunipa shida
Pole kwa yaliyokukuta. Humu kuna kila aina za watu. Tuvumiliane.Unanicheka au?
Usitufokee. Nililetwa duniani kwa sababu wazaz wangu walipendana. Kwann mm nimpende mtoto wa mama mkweSisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wacheche sana (mimi mmoja wao).
Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).
Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.
Hili jambo ni observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.
Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).
Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.
Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.
Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.
Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).
Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.
Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.
Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.
Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.
NONSENSE.
[emoji1787]nakupigia na wewe
Uniambie kwanini huo ushangazi umekukaa sana
Shida we huelewi sio simping hio ni jocking tu mkuuu si simping maana watu hawako serious hata mm sipogo serious maana huku watu hatujuani ndo maana ya fake idHicho kipaji wanacho wanaume wa JF pekee
Shukurani.mkuu