Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤣🤣🤣🔥Halafu orodha ndefu ya kutag vilaza wenzenu😂😂
Na tukianza kutagiana, tukajaa hapo ni hatumalizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🔥Halafu orodha ndefu ya kutag vilaza wenzenu😂😂
Upo vyema. Baki na akili siku zote.Sina shida ya kuleta humu ndo maana huoni napost
Mimi hata ukinitukana kwa kutumia viungo vya uzazi vya mama yako Hakunizuii Mimi kuwa Bora katika uhalisia wa maisha yangu.Wewe ni LIKILAZA.
Hata mimi NINATHIBITISHA na KUGONGA MUHURI.
Duuh hio noma mkuu 😒 ila tufanyaje sasa 😑Umesema wewe hauko serious ila watu wako serious sana tu ila kwenye kadamnasi wakavuuuu
Ya PM yanaachwaga huko maana
Najua kunitukana huweziNikutukane 🤣🤣
Wewe acha ufala wako. Ukiambiwa ukweli kubali.Halafu orodha ndefu ya kutag vilaza wenzenu😂😂
Why not serious?Why so serious!?
Hhhaha ila kweli kuna wamama nao ni wahuni kishenzi yaani unaweza kufikiri unajadili mada za mapenzi na kadada ka 18-35 y/o kumbe unabembelezana na shangazi yako sijui ukikuatana nae utamwambia nini
Kiini cha maumivu ya wengi,🤣🤣🤣🔥
Na tukianza kutagiana, tukajaa hapo ni hatumalizi.
Duuh hio noma mkuu 😒 ila tufanyaje sasa 😑
Acha watutukane , ipo siku yanguuu na mie nitakuwa na akili... kwa sasa hivi IQ yangu kama ya manunu tuUmeshaambiwa tafuta sehemu yenye exposure uchange your mindset😂😂😂...
Mtu anasema hajui unakutana na exposure kiasi gani au unajifunza mangapi per day kuna mda unahitaji kurelax 😂😂😂
Kumbe humu jeiefu kuna watoa ilimu wa degree, masters hadi phd na umeniachaa tuu bro husemi😂😂
Mkuu Kama unatumia Tapatalk kuna majukwaa mengi sana ni wewe na hobbies zako tuJukwaa lingine ukiachana na JF mkuu ni kama yapi
Tupate exposure mpya
Mkuuu katika watu wawazi na wananyoosha maelezo Mimi hapa.Huo ni utoto, I once rated you but it seems I was mistaken bro. You stoop too low kisa likes za mamanzi.
I never do nothing for nobody. Kama ni black ni black bro. IDGAF
Duuh hio noma mkuu [emoji19] ila tufanyaje sasa [emoji58]
Ukiambiwa ukweli kubali. Kilaza hujidhihirisha mwenyewe bila kuulizwa au kuambiwa ajionyeshe.Mimi hata ukinitukana kwa kutumia viungo vya uzazi vya mama yako Hakunizuii Mimi kuwa Bora katika uhalisia wa maisha yangu.
Kwa uandishi huo🤔 nani ni kilaza😏
😂😂😂😂 Umenifurahisha leo,,Wewe acha ufala wako. Ukiambiwa ukweli kubali.
[emoji38] [emoji23] [emoji38] wanaijeria balaaQoura [emoji1787][emoji1787]