Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Hhhaha ila kweli kuna wamama nao ni wahuni kishenzi yaani unaweza kufikiri unajadili mada za mapenzi na kadada ka 18-35 y/o kumbe unabembelezana na shangazi yako sijui ukikuatana nae utamwambia nini

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
JF ni kichaka, kuna makubwa humu ndani wacha kabisa
Tofauti yake na Tandale kwa Tumbo ni kwamba tuko nyuma ya keyboard tuu.
 
Umeshaambiwa tafuta sehemu yenye exposure uchange your mindset😂😂😂...
Mtu anasema hajui unakutana na exposure kiasi gani au unajifunza mangapi per day kuna mda unahitaji kurelax 😂😂😂
Kumbe humu jeiefu kuna watoa ilimu wa degree, masters hadi phd na umeniachaa tuu bro husemi😂😂
Acha watutukane , ipo siku yanguuu na mie nitakuwa na akili... kwa sasa hivi IQ yangu kama ya manunu tu
MadSpitefulKittiwake-max-1mb.gif
 
Jukwaa lingine ukiachana na JF mkuu ni kama yapi
Tupate exposure mpya
Mkuu Kama unatumia Tapatalk kuna majukwaa mengi sana ni wewe na hobbies zako tu

Niliona siku moja ya wenye private jets jamaa wanaweka mpaka picha za ndege na wanajadili maisha yao na ndege zao

Nikajichekea na kusema hawa wangekuwa JF wangetukanwa na kuambiwa wewe una ndege gani hata baiskeli huna?

Ilinitokea jf nilibaki nacheka tu

Nenda tapatalk mkuu utaona mengi sana upendayo
 
Huo ni utoto, I once rated you but it seems I was mistaken bro. You stoop too low kisa likes za mamanzi.

I never do nothing for nobody. Kama ni black ni black bro. IDGAF
Mkuuu katika watu wawazi na wananyoosha maelezo Mimi hapa.

Hivi Kuna mtu aliwahi chukiwa na Wanawake wa JF kama Mimi?.

Nitafute Likes za nn?? Yaan Wanawake wa JF kwanza wakishasoma Visa vyangu vya Uzi wa masihara lazima warudi nyuma.

Kutongozaa Huwa natongozwa maana ukikaa sana bila kutongoza, unaweza jikuta ni domo zege


Nyeupe ni nyeupe upo sahihi kabisa, nawala mtu hapaswi kua mnafiki kuongea mambo Ili mradi upande fulan ufurahi


NINACHOKAZIA MIMI HAPA KWENYE MADA YAKO HIII, SIO KILA MARA WARU WAWE SERIOUS.

ALAFU WEE HUWEZ ANZISHA MADA AMBAZO SINA NAZO INTERESTS UKATAKA NICHANGIE.

MADA KAMA ZA DA VINC , ANAMADA NZURI, ILA SIWEZ ZICHANGIA KWA SABABU SIKO INTERESTED .



Kwa hivo tusifokeane, badala yake pale ambapo mtu anajua anaweza sema kitu, atasema.

Huyohuyo ukimkuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ,usishangae.
 
Mimi hata ukinitukana kwa kutumia viungo vya uzazi vya mama yako Hakunizuii Mimi kuwa Bora katika uhalisia wa maisha yangu.

Kwa uandishi huo🤔 nani ni kilaza😏
Ukiambiwa ukweli kubali. Kilaza hujidhihirisha mwenyewe bila kuulizwa au kuambiwa ajionyeshe.

Simply you are one good kilaza. Huna ubora wowote.
 
Back
Top Bottom