Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Yani wewe sijui nikuweke kundi gani la mburula au genius? ChaguaKapeace in the building baaaby!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wewe sijui nikuweke kundi gani la mburula au genius? ChaguaKapeace in the building baaaby!
Hawana loloteVilaza wana nn kwani [emoji55]
Huo ni utoto, I once rated you but it seems I was mistaken bro. You stoop too low kisa likes za mamanzi.Mkuu wee safisha Macho Mkuu.
Najuaa wee ni Man wa viwango vya kimataifa , wee ENDELEA kua hivohivo Wala usibadilike Mkuu !!.
Sasa nispokolezea na kapicha kidogo... Utanionaje Mimi Ni Mjinga!??.
Nikakaa nalo moyon, utajuaje Mimi mjinga?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najitolea kuwashikia kiroba cha mawe
Nuksi. Yaani nyie mnatakiwa mfurushwee na kutokomea.
Mnachafua chukwaaa limejaa umburulazzzz
Nipo tayari, nina chemical suits, bullet proof vests, RPGs, ICBMs, Kalashnikovs n.k
Zero brain at your best. Ungana na wenzioUsitufokee. Nililetwa duniani kwa sababu wazaz wangu walipendana. Kwann mm nimpende mtoto wa mama mkwe
Wajomba? Vibaba 🤣Basi jaman naachana na mishangazi
Si kuna wajomba pia lakini[emoji16]
Hhhaha ila kweli kuna wamama nao ni wahuni kishenzi yaani unaweza kufikiri unajadili mada za mapenzi na kadada ka 18-35 y/o kumbe unabembelezana na shangazi yako sijui ukikuatana nae utamwambia niniWengine ni wamama wakubwa na mashangazi pia
Ndio upate picha ilivyo mkuu
Umeshaambiwa tafuta sehemu yenye exposure uchange your mindset😂😂😂...Chairperson wa nini tena ? Usichukulie mambo serious.. sie makuli tunakuja kupunguza stress hakuna jambo serious hapa.. wala hakuna mahusiano humu mkuu.. siwezi teseka na bahasha kitaaa na humu nije teseka kichwa
Kuna jukwaa lake nenda huko utazikuta.Mkuu mleta mada ......naomba ulete thread ya ujasiliamali
Sawa mjombaJitahidini muwe mna make up na watu wanaojielewa na wenye exposure wabadilishe mindset zenyu
Sina shida ya kuleta humu ndo maana huoni napostUko bright, kudos to you 💪🙏. Ila na wewe use una andika nyuzi.
Nikutukane 🤣🤣Sawa mjomba
Shida we huelewi sio simping hio ni jocking tu mkuuu si simping maana watu hawako serious hata mm sipogo serious maana huku watu hatujuani ndo maana ya fake id