Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mkuu wee safisha Macho Mkuu.

Najuaa wee ni Man wa viwango vya kimataifa , wee ENDELEA kua hivohivo Wala usibadilike Mkuu !!.


Sasa nispokolezea na kapicha kidogo... Utanionaje Mimi Ni Mjinga!??.

Nikakaa nalo moyon, utajuaje Mimi mjinga?.
Huo ni utoto, I once rated you but it seems I was mistaken bro. You stoop too low kisa likes za mamanzi.

I never do nothing for nobody. Kama ni black ni black bro. IDGAF
 
Wengine ni wamama wakubwa na mashangazi pia
Ndio upate picha ilivyo mkuu
Hhhaha ila kweli kuna wamama nao ni wahuni kishenzi yaani unaweza kufikiri unajadili mada za mapenzi na kadada ka 18-35 y/o kumbe unabembelezana na shangazi yako sijui ukikuatana nae utamwambia nini
 
Chairperson wa nini tena ? Usichukulie mambo serious.. sie makuli tunakuja kupunguza stress hakuna jambo serious hapa.. wala hakuna mahusiano humu mkuu.. siwezi teseka na bahasha kitaaa na humu nije teseka kichwa
Umeshaambiwa tafuta sehemu yenye exposure uchange your mindset😂😂😂...
Mtu anasema hajui unakutana na exposure kiasi gani au unajifunza mangapi per day kuna mda unahitaji kurelax 😂😂😂
Kumbe humu jeiefu kuna watoa ilimu wa degree, masters hadi phd na umeniachaa tuu bro husemi😂😂
 
Back
Top Bottom