Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Niliumia sana nikaamini kweli kila mtu ataubeba mzigo wake.yani namwomba mtu anisaidie jinsi ya kutimiza ndoto zangu ananiambia niwe SHONGA ndo nitatusua kimaisha dash htr
Yani Mimi mwanaume nasimamisha mda wowote .nakuomba ushauli unaniambia niwe SHOGA.dunia imeisha yani hapo ndo niliishusha jf
 
Ni kama hivi


Upuuzi ni mwingi hapa jukwaani mkuu
 
Dogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya wazee wa simping mtoke huko nyuma mje mbele kusoma ka ujumbe kenu

Ila dada kwani uwongo jaman[emoji23][emoji23]
Tena kwenye ile thread ya naniliuuu au basi
Leo siko activated kwa vayolensi na ugomvi siuwezi mimi
 
Unamwambia nani? Kwa manufaa gani?

Be a man bro. Una expose mambo yako kwa faida gani?
Mkuu wee safisha Macho Mkuu.

Najuaa wee ni Man wa viwango vya kimataifa , wee ENDELEA kua hivohivo Wala usibadilike Mkuu !!.


Sasa nispokolezea na kapicha kidogo... Utanionaje Mimi Ni Mjinga!??.

Nikakaa nalo moyon, utajuaje Mimi mjinga?.
 
Sio shida the problem mnaitaka iwe ndo main topic

Mimi sawa siez mpangia mtu apost nini ila kama msomaji sijifunzi chochote heri muende PM mmalizane mbona ni rahisi and sio necessary naona ni minor thing tu zinamaliIka sio mpaka muanikane
Uko bright, kudos to you 💪🙏. Ila na wewe use una andika nyuzi.
 
Mavilaza haya hayawezi kukusaidia kitu. Hii forum ilikuwaga zamani bwana miaka ya 2015 chini huko unakutana na vichwa kweli kweli.

Siku hizi pamejaa MAMBURULAZ yanawaza kufirwa tu 24 hrs.

Threads za ushoga zimeshika kasi
Wachangiaji wake ni wale wale tena sasa hata uwoga hawana. Sijui mods hawaoni
 
😂😂

Sielewi ndugu
Humu ndani 98 sie vilaza mtusamehe
Uzi unakuta ni wa magari mf, lkn tunatokea vilaza baadhi tunakuja kupiga umbea au kubebishana.

Nyieeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu orodha ndefu ya kutag vilaza wenzenu😂😂
 
Back
Top Bottom