Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

JF ni imekuwa kichaka cha watu wasiojielewa, hasa wanawake wanaojiuza na wenzao wanunuaji.

Huwezi kuweka topic yenye mantiki ikachangiwa maana wengi wala hawaelewi kinachoendelea wanawaza tu kupigana miti na kutafuta likes.

Shenzistan.
Umeona ujisuuze Kwa mada ya kishoga uliyoianzisha Leo mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kweli maishani kuna kila aina ya watu ila mleta Mada ana hoja pia

Mimi nilitukanwa out of blue kisa kuchangia tu ila nilimjibu kwa staha sana mpaka akawa mpole
Bila kutumia hekima wakati mwingine unaweza tupa ngumi hewani

Kuwa tofauti na mtu kimawazo sio kitu kibaya
Ubaya unakuja pale unapomjibu mawazo yako yanayopingana nae. Kama sio mstaarabu ndio matusi yanapoanzia. Kuna muda unasema huyu akili inafanya kazi yake kweli au amechanganyikiwa
Mimi matusi huwa sijibu maana ugomvi siuwezi naacha tu ushinde mechi zako.
 
Mkuu kuna majukwaa mengi duniani huwa napitia na mengine nimejiunga
Unakuta kijana wa 18 madini anayoandika mpaka unashangaa
Nafikiri ni elimu pia humu wengi ni vilaza yes sio uongo

Sisi wabongo wengi ni wavivu ndio maana inakuwa ngumu kufikiri vya maana,
Embu unafikiri vya Maana alafu Yule anayeifanya vitu vya ajabuajabu ndio anapata shavu🤣🤣🤣

Hata ingekuwa wewe ungekubali
 
Hao Kwan wananisumbuaga hao wa 'Man don't kiss and tell ' .


Hao hao kuna mabwana zao ,wanapicha zao za uchi na pengine video za Ngono , wakikaa wanatumiana.



Kwan Nikitell inanipunguzia Uanaume ? Au Kwamba Maneno Yao yatafanya niache kula mbususu ?.


Yaaan niache kula mbususu za wadada Tena wengine wananianza wao??.

nitakua Sina akili kabisa 😂😂
Kweli kabisa mkuuu hamna kupangiana maa ujinga sijui dont kiss and tell sijui vilaza thread hamna chochote maana watu wana unafki mwingi sana wanataka waonekana wana akili wakati ni hollllaaaa hollllaaaeee


We tomba hizo nyuchi sana toa visa na screenshots kabisa maana zina motivate sana kwenye hiyo sector 😊
 
We si uende quora au reddit kwa wenye akili social networks ziko nyingi mkkuuu maneno yako won't change a single thing
Lazma tubanane humu humu tuwatie MIKWAJUU NIWAKEREEE kweli kweli

MAVILAZAAA mnaangamiza jukwaa letu pendwaa, kwendeni facebook MKATAFUNANEE mtuachie jamiiforums yetu

Kaaaah! KERROOOOOO MAVILAZAZZ MAZIROOO Puuuhh!!
 
Mkuu Uzi wako unaenda kuchukua tuzo Kwa kua Uzi pekee ulochangiwa sana, huku watizamaji wakiwa wachache.

hii inaonyesha Ma genius mpo wachache, na wajinga tupo wachache.

ngoma droooo!!
 
Sisi wabongo wengi ni wavivu ndio maana inakuwa ngumu kufikiri vya maana,
Embu unafikiri vya Maana alafu Yule anayeifanya vitu vya ajabuajabu ndio anapata shavu🤣🤣🤣

Hata ingekuwa wewe ungekubali
Na hivi visivyo na maana ndo vinavyouza zaidi
 
Pornhub ni kama imehamia kule aiseeee
Account za hivo ziko za kutosha
Mambo mengine mpaka ni aibu maana unafungua Twitter unabidi uangalie kulia na kushoto kama kuna watu. Mada za kukosoana na kugombana ndio useme plus Spaces za kuongelea mapenzi ni balaa
Babe hivi nilikuruhusu ku install Twitter?
 
Back
Top Bottom