Ukitaka kwenda mbali nenda peke Yako ukitaka kwenda mbali sana nenda na wengine

Ukitaka kwenda mbali nenda peke Yako ukitaka kwenda mbali sana nenda na wengine

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Wakuu kichwa Cha habari kinajieleza vizuri ,wote tumeona yaliyotokea ijumaa ambapo team zetu pendwa ziliondolewa katika cafcl

Ukweli ni kwamba hakuna vibe zuri kama la cafcc na Cafcl Sasa tumelikosa huku tukiwaangalia wengine wakisonga mbele

Kwa Sasa ni wito wangu kwa Yanga na Simba linapokuja suala la mechi za kimataifa wahakikishe wanakuwa wamoja kushirikishana mbinu hii itawasaidia kufika mbali zaidi na labda kucheza final
Screenshot_20240404-120216.jpg
Screenshot_20240404-120049.jpg
 
Swali:
Naomba udadavue ni kwa namna gani kukosekana kwa umoja na ushirikiano ndicho kilichokwamisha timu zetu zisivuke nusu fainali?

Maana Yanga wametolewa kwa case mbili au tatu na hazihusiani na ushirikiano.
1) ratiba ya derby dhidi ya Azam kuwepo tarehe 17 kumetengeneza uwepo wa majeruhi 2 key players.
2) pamoja na sababu namba 1 hapo juu kutokea, ila kocha hakuwa na tabu katika kuwaamini wachezaji wake katika mbinu na ufundi ya namna gani wanawatoa Mamelodi kitu ambacho nakiona kocha na wachezaji walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwanini?
Kwasababu waliweza kuzuia kutoruhusu goli na pia waliweza kupata goli la ugenini ambalo kwa bahati mbaya wamenyimwa.

Upsnde wa Simba wao wamekuwa na changamoto ya kikosi chao na ndio wame struggle dhidi ya Al Ahly japo kuna angle wanafanana na Yanga kwamba hakuna straika wa maana kwa hizi timu mbili.

Sina mifano hai kwenye nchi zilizofanikiwa kwenye mpira wa miguu ni matokeo ya vilabu kushirikiana, kuna vilabu vina uhasama hadi wa kuuziana wachezaji.
 
Una hakika Wale Waswahili wahenga Walioileta hiyo Methali Walikuwa Wanamaanisha hiki unachotaka kutuaminisha?

Nafikiri Walimaanisha Wale wenye Lengo mama moja tu....

Sasa Simba na Yanga kila mmoja Lengo Lake ni Kushinda yeye Kwanza, Mwenzake lolote baya Limkute..! Methali hai apply hapo.!
 
Wakuu kichwa Cha habari kinajieleza vizuri ,wote tumeona yaliyotokea ijumaa ambapo team zetu pendwa ziliondolewa katika cafcl

Ukweli ni kwamba hakuna vibe zuri kama la cafcc na Cafcl Sasa tumelikosa huku tukiwaangalia wengine wakisonga mbele

Kwa Sasa ni wito wangu kwa Yanga na Simba linapokuja suala la mechi za kimataifa wahakikishe wanakuwa wamoja kushirikishana mbinu hii itawasaidia kufika mbali zaidi na labda kucheza final
View attachment 2956977View attachment 2956979

Bulicheka alikuwa mwalimu wa shule ya Kilakala. Siku moja akamwambia mke wake Lizabeta, twende safari tupate kuiona dunia. Lizabeta akajibu, ukitaka kwenda safari, nenda peka yako mimi siendi. ............
 
Pamoja na kwamba mleta mada uko sahihi kwamba ushirikiano utasaidia pakubwa sana na hili nimewashawahi kuliongelea sana ila jicho la husda litaendelea kuandama mafanikio ya hizi timu kutokea upande wa pili kwa muda mrefu sana na ni moja ya kikwazo kikuu.
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
"Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako".

USAHIHI.
 
Swali:
Naomba udadavue ni kwa namna gani kukosekana kwa umoja na ushirikiano ndicho kilichokwamisha timu zetu zisivuke nusu fainali?

Maana Yanga wametolewa kwa case mbili au tatu na hazihusiani na ushirikiano.
1) ratiba ya derby dhidi ya Azam kuwepo tarehe 17 kumetengeneza uwepo wa majeruhi 2 key players.
2) pamoja na sababu namba 1 hapo juu kutokea, ila kocha hakuwa na tabu katika kuwaamini wachezaji wake katika mbinu na ufundi ya namna gani wanawatoa Mamelodi kitu ambacho nakiona kocha na wachezaji walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwanini?
Kwasababu waliweza kuzuia kutoruhusu goli na pia waliweza kupata goli la ugenini ambalo kwa bahati mbaya wamenyimwa.

Upsnde wa Simba wao wamekuwa na changamoto ya kikosi chao na ndio wame struggle dhidi ya Al Ahly japo kuna angle wanafanana na Yanga kwamba hakuna straika wa maana kwa hizi timu mbili.

Sina mifano hai kwenye nchi zilizofanikiwa kwenye mpira wa miguu ni matokeo ya vilabu kushirikiana, kuna vilabu vina uhasama hadi wa kuuziana wachezaji.
Yanga sc inahitaji nyongeza ya wachezaji 6 wenye ujuzi wa Mpira na akili za kufunga ama kulitafuta goli kwakukosekana wachezaji hao Ndiyo mana kocha alitumia mbinu ya kuzuia
 
Wakuu kichwa Cha habari kinajieleza vizuri ,wote tumeona yaliyotokea ijumaa ambapo team zetu pendwa ziliondolewa katika cafcl

Ukweli ni kwamba hakuna vibe zuri kama la cafcc na Cafcl Sasa tumelikosa huku tukiwaangalia wengine wakisonga mbele

Kwa Sasa ni wito wangu kwa Yanga na Simba linapokuja suala la mechi za kimataifa wahakikishe wanakuwa wamoja kushirikishana mbinu hii itawasaidia kufika mbali zaidi na labda kucheza final
View attachment 2956977View attachment 2956979

Yanga imejitahidi snaa na imeonesha UKOMAVU. SSC ni timu la matapeli hata kushirikiana nalo ni kama kujitia nuksi

Timu haina future wala dira. Ipo mwaka Yanga atacheza nusu na sio SSC.
 
Yanga imejitahidi snaa na imeonesha UKOMAVU. SSC ni timu la matapeli hata kushirikiana nalo ni kama kujitia nuksi

Timu haina future wala dira. Ipo mwaka Yanga atacheza nusu na sio SSC.

Wamekomaa Wapi 'UKOMAVU'.......!

Yanga Wana 'Vigimbi' .........!

Mkigongana ugoko Lzm Ukae.....
 
Back
Top Bottom