Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Sisi wa mkoani mlisema hamtutaki eeh?Wanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili nawewe nikianza kutoa zangu ujue ni zakudumu.
Nitakutunza mpaka ufurahi.
So ukitaka mpenzi dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Bro utapiga hela maana watu wanastressNgoja nihamie dar then natafuta manzi 10(accidentally)..halaf nawaomba 35000 kila mmoja.
Muishi nao hivyo hivyo πππWanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili nawewe nikianza kutoa zangu ujue ni zakudumu.
Nitakutunza mpaka ufurahi.
So ukitaka mpenzi dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Mie nimeona nimesema so shida bossy ipo wapi??Kila siku unalalamika wanaume wanakuomba.hela unakutana na wanaume gani ?
Haya ya kuombwa hela wangetakiwa walalamike wanaume
Wacha weπ€Muishi nao hivyo hivyo πππ
Mumekomaa eti ni kweli??Sisi wa mkoani mlisema hamtutaki eeh?