Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Pole kwa kukutana na marioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu karibu sana huduma zote katika ubora wa hali ya juu zinapatikana bure 24hrs.[emoji1][emoji1] hii kiboko. Tutafute wa mikoani sasa [emoji125]
Hahaha pm iko wazi?Mkuu karibu sana huduma zote katika ubora wa hali ya juu zinapatikana bure 24hrs.
Wewe tu mteja ni mfalmeHahaha pm iko wazi?
pm ni kama kusukuma mlevi korongoni,mteja ni mfalmeHahaha pm iko wazi?
Kumbe unadate na masharobaro ss unalalamika nin?,hio ndio gharama ya kuwapendaKijana tulia mzee baba huyo jamaa anakazi nzuri sana hapa bongo .
Gari zipo zakutosha .
Sasa ukitaka utunzwe kiingilio ni 35,000tsh hutaki basi achana naye.
Hapa sisi sio mafala eti maisha tunayajua tumeyapitia huyo hana nia ya uombaji huyo ni mziba riziki hapa town.
Hao masharobaro mnao wadis kwetu wanatusindikiza kupaka rangi, hawana kitu ila unaenjoy penzi akiwa nacho wajua hakuwekei vipingamizi .
Hao masharo unawadis ni wazuri kinyama tena ukimpata anayekupenda , wanaheshima sana.
Sanaaa.
Oyooo maisha sio ya kukariri ingia mdani yake uone mchezoo.
Mwanaume akiona hata bar mpya imefunguliwa atakupeleka.
Akiona umekwama atakuwa karibu nawewe nakukufariji na hata hela tunayoidiscuss hapa kama anayo basi walahi atakupa.
Kuna majaaa mie nimeona tu wavaa suti mmh wanavijisheria hovyoo ni inahusika
Omba yasikukute ulipo😂😂😂Bora sikai Dar 🤣🤣🤣
Sijawahi kuombwa na masharo pesa husikii niwa ofisini wanaomba vocha na helaKumbe unadate na masharobaro ss unalalamika nin?,hio ndio gharama ya kuwapenda
😂Kwakweli yasinikute nilivo mchumi😂naweza kuachwa mapma mnoOmba yasikukute ulipo
Mimi hutolipa kiingilio😎😂Kwakweli yasinikute nilivo mchumi😂naweza kuachwa mapma mno
Wanaume wapo mikoa mingine Dar hakuna wanaumeWanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili na wewe nikianza kutoa zangu ujue ni za kudumu. Nitakutunza mpaka ufurahi.
So ukitaka mpenzi Dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Utakuwa umekutana na sampuli ya watu kama James Delicious bila shaka, ambao kimsingi ni wa jinsia yako tu!Wanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili na wewe nikianza kutoa zangu ujue ni za kudumu. Nitakutunza mpaka ufurahi.
So ukitaka mpenzi Dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Yani una roho mbaya usiwastue ww waache tu tuwachune sisi machekbobMuache ku generalize issues. Umeombwa ela na huyo bwana wako anayepaka lipstick [emoji168] mdomoni na design ya vibwana vyenye akili ya kumsindikiza demu wake Mwenge kupaka rangi kucha halafu umekuja hapa kuandika wanaume wa Dar.. as if ni wote au % kubwa. Kama umeshaombwa hela na mwanaume zaidi ya mmoja inaonekana wewe ndo mwenye matatizo.
Wanaume wapambanaji huwataki ila unashobokea mabrazamen wanaoshinda Instagram na huku mfukoni hawana kitu Ili mradi wanaonekana smart 24/7 unawababaikia tu. Nakuhakikishia hakuna mwanaume mpambanaji wa ofisini aliyeajiriwa wala mjasiriamali - mfanyabiashara wa mkoa wowote mwenye akili ya kuongea hiyo sentensi uliyosema huku akikuomba ela.
Kwa ushauri mwanaume yeyote anayekuomba ela akaacha washikaji zake woote ,wakamnyima ela (kumpa au kumkopesha) na ukabakia wewe kama option yake ya mwisho hakufai kabisaa. Block namba halafu ifute utanishukuru baadae.
Vyuo na Shule vifunguliwe mapemaWanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili na wewe nikianza kutoa zangu ujue ni za kudumu. Nitakutunza mpaka ufurahi.
So ukitaka mpenzi Dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Karibu pm nikuliwaze,tena leo nipo kwenu MeruSijawahi kuombwa na masharo pesa husikii niwa ofisini wanaomba vocha na hela