Ukitaka mwanaume sasa hivi ili akukubali lazima utoe kiingilio

Ukitaka mwanaume sasa hivi ili akukubali lazima utoe kiingilio

Muache ku generalize issues. Umeombwa ela na huyo bwana wako anayepaka lipstick đź’„ mdomoni na design ya vibwana vyenye akili ya kumsindikiza demu wake Mwenge kupaka rangi kucha halafu umekuja hapa kuandika wanaume wa Dar.. as if ni wote au % kubwa. Kama umeshaombwa hela na mwanaume zaidi ya mmoja inaonekana wewe ndo mwenye matatizo.

Wanaume wapambanaji huwataki ila unashobokea mabrazamen wanaoshinda Instagram na huku mfukoni hawana kitu Ili mradi wanaonekana smart 24/7 unawababaikia tu. Nakuhakikishia hakuna mwanaume mpambanaji wa ofisini aliyeajiriwa wala mjasiriamali - mfanyabiashara wa mkoa wowote mwenye akili ya kuongea hiyo sentensi uliyosema huku akikuomba ela.

Kwa ushauri mwanaume yeyote anayekuomba ela akaacha washikaji zake woote ,wakamnyima ela (kumpa au kumkopesha) na ukabakia wewe kama option yake ya mwisho hakufai kabisaa. Block namba halafu ifute utanishukuru baadae.
 
Ile kampeni yenu ya 50/50,usawa wa kijinsia huko mashuleni imefanikiwa, manake tokea miaka ya 2000 hivyo vitu vimeanza kufundishwa na siku hizi wana harakati wenu wamechachamaa.Wanawafanya watoto wakiume vichwani mwao wafikirie kwamba wao na wanawake wana haki sawa kwenye kila kitu, kwa kifupi sawa na kusema watoto wa kiume wa siku hizi wana mawazo kama ya watoto wakike.

So poleni sana kila kitu kina faida na hasara zake, ila hili hasara zake zitakuja kuwaumiza nyinyi wenyewe kwani nyie wenyewe wabinafsi na hela zenu na bado kuna mtoto wa kiume unaye date naye anafikiria kwenye mtizmo wa 50/50.

Kadri mnavyo hamasisha hizi kampeni zenu za 50/50,usawa wa kijinsi mpaka mashuleni na ndipo namba ya WANAUME inazidi kupungua huku wavulana wenye mawazo tegemezi wakizidi kuongezeka. Manake siku hizi nilishangaa kusikia kuna wanaume nao wanadanga.

Na ukizingatia mila za zetu (Jando) zilizokuwa zikitengeneza wanaume imara tushazipiga teke.
 
Muache ku generalize issues. Umeombwa ela na huyo bwana wako anayepaka lipstick đź’„ mdomoni na design ya vibwana vyenye akili ya kumsindikiza demu wake Mwenge kupaka rangi kucha halafu umekuja hapa kuandika wanaume wa Dar.. as if ni wote au % kubwa. Kama umeshaombwa hela na mwanaume zaidi ya mmoja inaonekana wewe ndo mwenye matatizo. Wanaume wapambanaji huwataki ila unashobokea mabrazamen wanaoshinda Instagram na huku mfukoni hawana kitu Ili mradi wanaonekana smart 24/7 unawababaikia tu. Nakuhakikishia hakuna mwanaume mpambanaji wa ofisini aliyeajiriwa wala mjasiriamali - mfanyabiashara wa mkoa wowote mwenye akili ya kuongea hiyo sentensi uliyosema huku akikuomba ela. Kwa ushauri mwanaume yeyote anayekuomba ela akaacha washikaji zake woote ,wakamnyima ela (kumpa au kumkopesha) na ukabakia wewe kama option yake ya mwisho hakufai kabisaa. Block namba halafu ifute utanishukuru baadae.
Kijana tulia mzee baba huyo jamaa anakazi nzuri sana hapa bongo .
Gari zipo zakutosha .
Sasa ukitaka utunzwe kiingilio ni 35,000tsh hutaki basi achana naye.

Hapa sisi sio mafala eti maisha tunayajua tumeyapitia huyo hana nia ya uombaji huyo ni mziba riziki hapa town.

Hao masharobaro mnao wadis kwetu wanatusindikiza kupaka rangi, hawana kitu ila unaenjoy penzi akiwa nacho wajua hakuwekei vipingamizi .

Hao masharo unawadis ni wazuri kinyama tena ukimpata anayekupenda , wanaheshima sana.
Sanaaa.
Oyooo maisha sio ya kukariri ingia mdani yake uone mchezoo.
Mwanaume akiona hata bar mpya imefunguliwa atakupeleka.
Akiona umekwama atakuwa karibu nawewe nakukufariji na hata hela tunayoidiscuss hapa kama anayo basi walahi atakupa.

Kuna majaaa mie nimeona tu wavaa suti mmh wanavijisheria hovyoo ni inahusika
 
Ila mwanaume akimuomba hela mwanamke anajidhalilisha kishenzi yaan ...[emoji848][emoji848]
Mwanamke anaempenda mwanaume roho yake haiwezi kuumia akitoa pesa yake.. sema ndo vile vihela vyenu huwa ni dusko sio kama tunazowapa nyie [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume wa Dar kwa hali ngumu atakupenda mtapiga story halafu muda kidogo utasikia babe nataka nijue kama unanipenda kweli naomba elfu 35 ili na wewe nikianza kutoa zangu ujue ni za kudumu.

Nitakutunza mpaka ufurahi.

So ukitaka mpenzi Dar lazima ujitoe kipesa atakuambia good day.
Mhh labda tunatofautiana ila kiingilio nachokijua mm ni mbuthuthu[emoji39]
 
Kijana tulia mzee baba huyo jamaa anakazi nzuri sana hapa bongo .
Gari zipo zakutosha .
Sasa ukitaka utunzwe kiingilio ni 35,000tsh hutaki basi achana naye.

Hapa sisi sio mafala eti maisha tunayajua tumeyapitia huyo hana nia ya uombaji huyo ni mziba riziki hapa town.

Hao masharobaro mnao wadis kwetu wanatusindikiza kupaka rangi, hawana kitu ila unaenjoy penzi akiwa nacho wajua hakuwekei vipingamizi .

Hao masharo unawadis ni wazuri kinyama tena ukimpata anayekupenda , wanaheshima sana.
Sanaaa.
Oyooo maisha sio ya kukariri ingia mdani yake uone mchezoo.
Mwanaume akiona hata bar mpya imefunguliwa atakupeleka.
Akiona umekwama atakuwa karibu nawewe nakukufariji na hata hela tunayoidiscuss hapa kama anayo basi walahi atakupa.

Kuna majaaa mie nimeona tu wavaa suti mmh wanavijisheria hovyoo ni inahusika
Kwa haya maelezo yako nimeshapata majibu. Na nilikuwa sahihi. Wanaume wa Dar hatuko hivyo na narudia, hakuna mwanaume mpambanaji na mtafutaji mwenye akili ya kukuomba elfu 35 tena mwanzoni mwa mahusiano. Halafu hao unaowasifia kama ndo type yako utakuwa unakuja jamii forums kila siku unalialia hapa.
 
Kwa haya maelezo yako nimeshapata majibu. Na nilikuwa sahihi. Wanaume wa Dar hatuko hivyo na narudia, hakuna mwanaume mpambanaji na mtafutaji mwenye akili ya kukuomba elfu 35 tena mwanzoni mwa mahusiano. Halafu hao unaowasifia kama ndo type yako utakuwa unakuja jamii forums kila siku unalialia hapa.


Ndege wanafananao huruka pamoja.

Mwanamke mpuuzi anatongozwa na wanaume wapuuzi. Mwanamke makini anatongozwa na wanaume makini

Ukiona wapuuzi wanakufata fata hawakuogopi ujue wameshakupima wameona upo levo yao
 
Kwa haya maelezo yako nimeshapata majibu. Na nilikuwa sahihi. Wanaume wa Dar hatuko hivyo na narudia, hakuna mwanaume mpambanaji na mtafutaji mwenye akili ya kukuomba elfu 35 tena mwanzoni mwa mahusiano. Halafu hao unaowasifia kama ndo type yako utakuwa unakuja jamii forums kila siku unalialia hapa.
Mimi silii mwaya ni ukweli tu .
Life is simple usiweke ugumu wowote kwa lolote
 
Ndege wanafananao huruka pamoja.

Mwanamke mpuuzi anatongozwa na wanaume wapuuzi. Mwanamke makini anatongozwa na wanaume makini

Ukiona wapuuzi wanakufata fata hawakuogopi ujue wameshakupima wameona upo levo yao
Nafuu wewe sio mpuuzi wewe upo makini walio makini hawana muda wa kukoment post za wapuuzi wewe nawewe ni mpuuzi ndio maana ukajibu post yangu .
Usingejibu kama wewe upo makini ungeenda jukwaa lasiasa kwenye mada za watu makini shuwain unajishauwa kumbe ndio wale wale
 
hadi wa dar kama kina mond vunja bei mo dewij na wengne wengi wanaomba kwanza 35 tsh?
 
Mwanamke anaempenda mwanaume roho yake haiwezi kuumia akitoa pesa yake.. sema ndo vile vihela vyenu huwa ni dusko sio kama tunazowapa nyie [emoji23] [emoji23]
Haya ndio maana unaomba ukafunge riziki
 
Katika vitu vinavyoniuma, ni urafiki wangu na huyu mwanamke tulikutana wakati tunasoma masters UD.
Alikuwa anafanya kazi na mie nilikuwa nafanya kazi kwa hiyo tulikuwa tunasoma kwa 'kujiiba'.
Kwa kipindi chote cha miezi 18 nilikuwa namfuata kazini kwao na kumrudisha kwa kutumia gari langu nililopewa na 'serekali'.
Pamoja na kwamba tulikuwa tumepewa udhamini, huyu mwanamke hajawahi kuninunulia hata soda ya Tsh mia tano pamoja na wema wote niliomtendea mpaka amegraduate.
Kweli tenda wema uende zako...
 
Back
Top Bottom