Ukitaka mwanaume sasa hivi ili akukubali lazima utoe kiingilio

Kumbe unadate na masharobaro ss unalalamika nin?,hio ndio gharama ya kuwapenda
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Wanaume wapo mikoa mingine Dar hakuna wanaume
 
Utakuwa umekutana na sampuli ya watu kama James Delicious bila shaka, ambao kimsingi ni wa jinsia yako tu!
 
Yani una roho mbaya usiwastue ww waache tu tuwachune sisi machekbob
 
Vyuo na Shule vifunguliwe mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…