TAWIK
Member
- Nov 6, 2018
- 60
- 87
Habari wanajamvi hili na poleni pia hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku. Leo nimekuja kushika mkono vijana ambao kila kukicha wanahaha kuzitafuta pesa kila pande za dunia. Utakuta kijana anahangaika Mara kubeti Mara ajira Mara kuiba Mara hivi Mara vile miaka nenda rudi.
Sasa kijana naomba unielewe kama unataka pesa Fanya hivi
1)Anza kufanya kazi upate kianzio kama kuuza maji, kumpa fundi tofali, uza Karanga au matunda na pesa za mwanzo utakazopata anza kununua zana ndogondogo zinazotumiwa na jamii yako mfano mbao za lenta, matololi, spans, madeli, nk. Jinsi utakavyoviongeza ndivyo simu yako itakuwa bize kupigiwa yani Mara ngazi, toroli, tester, Mara hiki Mara kile.
2)Ukiona tenda uchwara zimekuzidi uza baadhi uongezee kwenye akiba uliyopata na nunua machine complicated kama welding, freezer, pikipiki, mitungi ya gesi machine za kudalizi, mipira ya kukodi nk. Endelea hivyohivyo mpaka kuna siku utajikuta unanunua fuso.
Pesa imejificha kwenye huduma za binadamu kuanzia unyayoni mpaka utosini na sio kubeti, kuokota, urembo nk. So Mara moja kijana kuhama toka jamii moja kwenda nyingine akitafuta unafuu wa maisha ilihali popote mfumo ni uleule. Nikuibie siri hii Hakuna kitu hakipendi Tajiri kama pesa. Yeye akipata pesa haraka sana anafanyia jambo anapeenda vifaa vinanampa vifaa Ila hapendi pesa.
Sasa ukitaka kuwa tajiri waza hivi,
'NITAPATAJE GHOLOFA?' na sio
'NITAPATAJE MILIONI MIA!
Ujue kutofautisha kati ya vitega uchumi na vistarehe.
Vitega uchumi# in vitu vyote vinavyokuwekea pesa mfukoni
Vistarehe # nivitu vyote vinavyokuchomolea pesa mfukoni
NIMENAWA NISILAUMIWE!
Sasa kijana naomba unielewe kama unataka pesa Fanya hivi
1)Anza kufanya kazi upate kianzio kama kuuza maji, kumpa fundi tofali, uza Karanga au matunda na pesa za mwanzo utakazopata anza kununua zana ndogondogo zinazotumiwa na jamii yako mfano mbao za lenta, matololi, spans, madeli, nk. Jinsi utakavyoviongeza ndivyo simu yako itakuwa bize kupigiwa yani Mara ngazi, toroli, tester, Mara hiki Mara kile.
2)Ukiona tenda uchwara zimekuzidi uza baadhi uongezee kwenye akiba uliyopata na nunua machine complicated kama welding, freezer, pikipiki, mitungi ya gesi machine za kudalizi, mipira ya kukodi nk. Endelea hivyohivyo mpaka kuna siku utajikuta unanunua fuso.
Pesa imejificha kwenye huduma za binadamu kuanzia unyayoni mpaka utosini na sio kubeti, kuokota, urembo nk. So Mara moja kijana kuhama toka jamii moja kwenda nyingine akitafuta unafuu wa maisha ilihali popote mfumo ni uleule. Nikuibie siri hii Hakuna kitu hakipendi Tajiri kama pesa. Yeye akipata pesa haraka sana anafanyia jambo anapeenda vifaa vinanampa vifaa Ila hapendi pesa.
Sasa ukitaka kuwa tajiri waza hivi,
'NITAPATAJE GHOLOFA?' na sio
'NITAPATAJE MILIONI MIA!
Ujue kutofautisha kati ya vitega uchumi na vistarehe.
Vitega uchumi# in vitu vyote vinavyokuwekea pesa mfukoni
Vistarehe # nivitu vyote vinavyokuchomolea pesa mfukoni
NIMENAWA NISILAUMIWE!