Ukitaka pesa fanya hivi kijana!

Siku nyingine ambatanisha na bank statement maana jf wabishi sana
 
Kwanza nikukumbushe hakuna kiwango cha Mali ambacho mtu kinaweza kumkidhi akipatwa na mapito! Kuhusu yadunia hayo tuyaweke kando hapa tunashauliana kwenye hali ya kawaida! Yani tofauti yamawazo ya matajiri na masikini.
Rekebisha hiyo kauli yako, una maana gani kusema hakuna kiwango cha kumtosha mtu anapopatwa na mapito ndgu!?

We akiba yako ni laki 2, umeumwa unaihitaji laki 2 ujitibie. Utasemaje hakuna kiwango ilhali gharama zinajulikana ndgu?

Na kama umeelewa nilichomaanisha ni kutonanga wasiofanikiwa.
 

Mkuu wazaramo walipokutana na wakinga walisema "Mtu mwema zaidi ni yule anaezuia usianguke, na sio yule anayesubiri uanguke ili akuokote."

Weka mifano halisia miwili au mitatu,, unaposaidia watu usiangalie watakuonaje Mkuu ilihali humu hakuna anayekufahamu...

Muhimu ni watu lazima wajifunze kwa waliofanikiwa....
 
Mtu anakupa plan za kupata hela lakini ukiangalia koti alilovaa ni kama limelala Yombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…