Ukitaka uchukiwe na jamii ya wapumbavu, ni kuwaambia ukweli. Hayati Magufuli alichukiwa kwa sababu ya kuwaambia ukweli

Ukitaka uchukiwe na jamii ya wapumbavu, ni kuwaambia ukweli. Hayati Magufuli alichukiwa kwa sababu ya kuwaambia ukweli

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Maandiko yenu hayabadilishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hamjaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!
 
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Mandiko yenu hayabadirishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hajaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!
Mbona naye alifoji PhD? Unajua Saanane yuko wapi?
 
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Mandiko yenu hayabadirishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hajaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!

Cha ajabu yeye mwenyewe akampoteza Ben Saa8 kwa kumwambia ukweli kuwa ana PhD fake!
 
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Mandiko yenu hayabadirishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hajaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!
Nzuri
 
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Mandiko yenu hayabadirishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hajaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!
Sahihi kabisa mkuu..."The truth was never naked it was lie who stole its clothes"....🤏
 
Nasema hivyo Kwa sababu, Vilaza na wafoji vyeti, mpaka Leo bado wanamachungu na hayati JPM

Mpaka sasa bado wanalisakama jina lake, licha kwamba aliwasaidia ili warudi shule kuongeza marifa

Bado wangali wanahasira naye, na hatuelewi tuwasadie nini ili waondokana na upumbavu walionao

Mpaka Leo, mitandao imejaa maandiko yao kumdhihaki mtu aliyewaambia ukweli kuwa, wao waliingia kazini Kwa ujanjaunja, Kwa kuiba na kutumia majina ya wengine!

Kuendelea kuonyesha hasira kumhusu mtu asiyekuwepo, ni mtu kuonyesha jinsi alivyomweupe kichwani na mpumbavu tu!

Nyie vilaza, vyeti feki na wanufaika wa wafanyakazi hewa, yawezekana mlirudishwa serikalini, basi ondoeni ujinga kichwani mwenu, leteni mabadiriko kwa wananchi, JPM hayupo, ni wakati wenu kubadirisha hali za watu!

Maandiko yenu hayabadilishi chochote kuhusu mazuri ya mwendazake! Na ni wale wale mnaobakia kumsakama hayati JPM, hajaweza hata kubadiri mapenzi ya wengi kwake!
alichukiwa kwa sababu ya ukabila na mauaji ya watanzania wenzake
 
Kupitia suala la vyeti feki na namna watu walivyolipokea imedhihirisha dhahiri kwa namna gani jamii imeangamia kimaadili na wizi kwa kiwango kikubwa........

Watanzania wengi hawaoni haya kuiba na kwao mwizi ni yule aliyekamatwa na ambaye hajakamatwa bado sio mwizi.......

Mtanzania anauchukia wizi au uhalifu akiwa anatendewa yeye lakini haumizwi na uhalifu huo huo akimfanyia mwingine......

Ndio maana leo wadokozi, vibaka, matapeli kwenye kada mbali mbali na wao wako mstari wa mbele kwenye vita cyst ufisadi na ubadhilifu..........

Pamoja na mapungufu mengi ya utawala wa John Pombe Magufuli lakini suala vyeti feki limetuonyesha namna gani tulivyo wanafiki.......
 
..alikuwa muongo muongo.

..kwa mfano hakuwahi kueleza kwamba ana " moyo wa betri. "

..badala yake alikuwa anapiga push ups kwenye majukwaa ili kutuhadaa kwamba yuko imara kiafya.
Sidhani kama alikwa na hilo tatizo kweli.
Maana lazima tungepewa taarifa kabla au ingekuwa limeshajulikana kwa mda wote aliyo
..alikuwa muongo muongo.

..kwa mfano hakuwahi kueleza kwamba ana " moyo wa betri. "

..badala yake alikuwa anapiga push ups kwenye majukwaa ili kutuhadaa kwamba yuko imara kiafya.
Sio kweli, ubongo wako umefungwa.
 
Back
Top Bottom