Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Hata kama hamna vimgogoro bhana kuna namna zile simu za mara kwa mara, text za mara kwa mara za kabla ya kula papuchi zinapunguaga. Hadi tunaanza kujishtukia.

Vile vile na kwenu pia, sio kwa wanawake tu. Hadi mnaanza kuwaza labda mli under perform.
Hiyo ni kawaida. Unajua mwanzo wa penzi mambo huwa moto moto ila mkizoeana kidogo amsha hupungua ila kama mna click haiwezi kuwa ile ya kupotezeana kabisa. Sema tu ni namna mnavyojua ku spice mambo ndo hufanya penzi lisidorore.

Kinachopelekeaga hayo ni ile kila mmoja kuji mwambafai kuwa hawezi kumcheki mwenzake asije kuonekana ana shobo sana au aonekane yeye ndio ka fall zaidi. Ila mkiwa wote mnaelewana hamna kinachofeli.
 
Sasa hivi tu nipo kwenye mahusiano na wanaume 6[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ni wa mwaka huu tu na kila mmoja anajua yupo pekee yake. Na wakiniuliza kabla yao nimekuwa na mahisiano mangapi idadi ni ile ile "mmoja, yeye ni wapili" hapo uso mkaaavu. Hadi shetani anasema "khaaaaaa".

Hii idadi kwa mwaka huu imetosha usiongeze subiri mwakani zamu yako.
Kweli marekani wasiache kutoa misaada ya NJUGUMAWE tu, tutaangamia kwa hio listi naomba nijiweke kando tu.😂
 
Umegonga wanawake 11 tu unajifanya unajua mapenzi sie wengine tushagonga hadi 299+ tunakuangalia tu,sikia dogo kuna wanawake wana utamu wa ajabu gusa unate,hawakinaishi,ukiingia hutoki
Huyo mtoa uzi ni mtoto mdogo sana.

mimi mpaka sasa nikiri kuwa mke wangu sijamkinai, sababu siyo mvivu kitandani.

anatuambiaje pumba hizi na ndo kwanza ana wanawake 11 tu
 
Hiyo ni kawaida. Unajua mwanzo wa penzi mambo huwa moto moto ila mkizoeana kidogo amsha hupungua ila kama mna click haiwezi kuwa ile ya kupotezeana kabisa. Sema tu ni namna mnavyojua ku spice mambo ndo hufanya penzi lisidorore.

Kinachopelekeaga hayo ni ile kila mmoja kuji mwambafai kuwa hawezi kumcheki mwenzake asije kuonekana ana shobo sana au aonekane yeye ndio ka fall zaidi. Ila mkiwa wote mnaelewana hamna kinachofeli.
Mapenzi ya kitoto ndio hutawaliwa na mashindano ya nani ampigie mwenzie simu ila mkiwa watu wazima hamna ujinga
 
Saikolojia ya mwanaume iko hivi...

Mwanaume rijali always huwa anatamani kulala (kufanya mapenzi) na mwanamke ambaye hajawahi kulala nae kabla.

Si unasikiaga wanasema eti, wanaume ni watu wa tamaa, wao kila mwanamke anamtamani tu. Hiyo ndio sababu sasa.

Yani iko hivi, mwanaume akishamgonga mwanamke, akapiga BAO. Aisee ile 'curiosity' yoote juu ya huyo mwanamke inapotea. Mwanamke anakua hana jipya tena. Hata kama kamfukuzia miezi sita. Hata kama katumia 300,000 kumpata. Yaani hata kama ni mke wake wa ndoa!!

Kama huamini, mchukue mwanaume aliye kwenye ndoa, muweke upande mmoja wa chumba chenye kioo transparent 🪟. Halafu upande mwingine wa chumba wapange wanawake watatu. Mmoja awe mke wake, wawili wawe wanawake ambao pengine hawajui/anawajua, lakini hajawahi kuwagonga. Kioo kiwe transparent upande mmoja, wanawake wasione upande wa pili alipo mwanaume.

Halafu sasa muulize mwanaume angetamani afanye mapenzi na mwanamke yupi katika hao.

Heheheheee... Akiwa 'honesty' haitotokea akachagua eti amgonge tena mke wake, hakuna jipya pale! Always atakua curious 'kumpiga mashine' mwanamke ambaye hajamkaza before.

Ujue sababu ni nini? Mke wake ashampiga MABAO sana tu. Kiasi kwamba ile 'curiosity' ishagapotea kitambo.

SASA KIPI KIFANYIKE?

Utafiti umefanyika. Na imethibitika kwamba.....

Ukitaka usimchoke mwanamke mapema, jitahidi wakati mnafanya mapenzi usiwe unapiga BAO. Usiwe unamwaga. Yaani ukishamwaga lazima umkinai mwanamke. Hata awe na msambwanda wenye ujazo wa 5000 kg.

Kama ni mkeo wa ndoa?
Fanye uwe unapiga BAO mara chache mno, hasa pale mnapotarajia kupata mtoto.

Mie wanawake karibu wote kumi na moja (11) nilowahi kuwa nao/kuwagonga... Leo hii ukinambia niwarudie yaani sina kabisa appetite nao. Nataman nipate mwanamke 'mpya'.

Kupiga BAO ni climax stage ya mapenzi. Mwanaume ukishapiga BAO baaasi end of the story.

Kuna jamaa yangu anaitwa JAFFARY anaishi Goba Njia Nne ananiambiaga, yaani akilala na mwanamke akimaliza tu kumwaga, hamu yote inakata. Anatamani hata amfukuze mwanamke asepe mapema iwezekanavyo.

Ukitaka usimkinai mwanamke mapema, jitahidi usiwe unapiga BAO!

Mwanamke wangu nilonae sasa hivi, tumedumu miezi saba sijawahi kumpiga BAO. Kumgonga namgonga, lakin kumwaga ng'ooo. Siwazii kabisa wanawake wengine. Hajani-kinai.

Mazozei ya 'Kegel' yamenisaidia sana.
Eeh 11 tu hata daladala haijai isee jitahidi bado sana wewe..
 
IMG-20220817-WA0008.jpg
 
Mimi napinga nasema SIO kweli.

kuna wanawake wana balaa, anajua mamboz na majambozi kila mara unataka gemu irudiwe,
Kuna wengine wana vishimo utamu vitamu, unapiga bao unahisi kama umemwaga na ubonngo kabisa.
Wanawake wengi tu wapo baada ya tendo unatamani urudie nae tena..

Kupiga kimoja na jegeje kulala, ukashindwa kurudia tendo, ni marradhi kwa 100% kama ttu mwanamke ana mvuto kwako.
Mkuu ukimuzoa mwanamke kurudia tendo huwa ni kazi sana,kama.unabisha chukulia mfano mke wako kabla ya kumuoa na baada ya kumuoa
 
Achana na mimi unataka uniongezee tu idadi[emoji22][emoji22].
Mtoa mada kalala na wanawake kibao (11) huku mimi ni mwanamke na sikumbuki idadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nimejisikia vibaya sana.
Mkuu wewe itakuwa unajaza tren ya Kigoma-Dar.
 
Mkuu ukimuzoa mwanamke kurudia tendo huwa ni kazi sana,kama.unabisha chukulia mfano mke wako kabla ya kumuoa na baada ya kumuoa
Ssikupingi, hasa km kuna vitu vitakosekana. Itabidi ipite miaka kadhaa, nimkinai. Sijui itakuwa mingapi, nisharuka saana, lakini sijawahi kupata lenzi mbonyeo tamu kama yake.. Kwingine huwa natamani sababu tumeumbwa hivyo, ila kile kipochi huwa nakimisi, na nikishusha mzigo huwa mpaka vidole vinajikunja na si kawaida yangu. 😂
 
Ssikupingi, hasa km kuna vitu vitakosekana. Itabidi ipite miaka kadhaa, nimkinai. Sijui itakuwa mingapi, nisharuka saana, lakini sijawahi kupata lenzi mbonyeo tamu kama yake.. Kwingine huwa natamani sababu tumeumbwa hivyo, ila kile kipochi huwa nakimisi, na nikishusha mzigo huwa mpaka vidole vinajikunja na si kawaida yangu. 😂
Sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom