Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Yaan sex ufanye afu usimwage asa ndo nini? hao wazungu unamuhifadhia nani?
 
Hiyo ni kawaida. Unajua mwanzo wa penzi mambo huwa moto moto ila mkizoeana kidogo amsha hupungua ila kama mna click haiwezi kuwa ile ya kupotezeana kabisa. Sema tu ni namna mnavyojua ku spice mambo ndo hufanya penzi lisidorore.

Kinachopelekeaga hayo ni ile kila mmoja kuji mwambafai kuwa hawezi kumcheki mwenzake asije kuonekana ana shobo sana au aonekane yeye ndio ka fall zaidi. Ila mkiwa wote mnaelewana hamna kinachofeli.

Hahahaa anajaribu asionekane ana shobo sana.
Ukimjibu text baada ya lisaa anakujibu baada ya masaa mawili. Leo akipiga kukuuliza umeamkaje anategemea kesho wewe ndio umuulize.

Sawa mkuu nimekusoma.
 
Kama Mimi karani huu uchafu siuhesabu kwenye kishkwambi changu
 
Mimi napinga nasema SIO kweli.

kuna wanawake wana balaa, anajua mamboz na majambozi kila mara unataka gemu irudiwe,
Kuna wengine wana vishimo utamu vitamu, unapiga bao unahisi kama umemwaga na ubonngo kabisa.
Wanawake wengi tu wapo baada ya tendo unatamani urudie nae tena..

Kupiga kimoja na jegeje kulala, ukashindwa kurudia tendo, ni marradhi kwa 100% kama ttu mwanamke ana mvuto kwako.
Uyo Ni MamaJ mchepuko wangu [emoji39]
images-881.jpg
 
Kauli ya kwamba Wanaume tusiwe tunapiga Bao katika haya Maelezo yako hapa umeirudia mara Nne ila hujatuambia kwamba Kivipi tusiwe tunapiga hayo Mabao kwa Wake au Mademu zetu.

au unamaanisha kuwa tukiwa tunatia na tunakaribia Kukojoa tuwe tunaichomoa Mibolo ( Mikurudungu ) yetu na tuwe tunakuja uliko Wewe na tunakukojolea?

Toa Ufafanuzi Kamili juu ya hili sawa?
Nakuona Charismatic Feller!
 
Uyo Ni MamaJ mchepuko wangu [emoji39]View attachment 2332630
Mkongwe ushapata point ya kuidhinisha MAMA J. 😂 😂

ila uhalisia ndio huo, kuna watu hatarii, mtu anapapa tight, ya moto balaa, utelezi mwingi, anajuu kuulilia ukuni, mara aukalie, mara auchomoe autie mdomoni.. Yaani vurugu mechhi tu..

Mtu ukimkubuka ukuni unasimama.
 
Saikolojia ya mwanaume iko hivi...

Mwanaume rijali always huwa anatamani kulala (kufanya mapenzi) na mwanamke ambaye hajawahi kulala nae kabla.

Si unasikiaga wanasema eti, wanaume ni watu wa tamaa, wao kila mwanamke anamtamani tu. Hiyo ndio sababu sasa.

Yani iko hivi, mwanaume akishamgonga mwanamke, akapiga BAO. Aisee ile 'curiosity' yoote juu ya huyo mwanamke inapotea. Mwanamke anakua hana jipya tena. Hata kama kamfukuzia miezi sita. Hata kama katumia 300,000 kumpata. Yaani hata kama ni mke wake wa ndoa!!

Kama huamini, mchukue mwanaume aliye kwenye ndoa, muweke upande mmoja wa chumba chenye kioo transparent 🪟. Halafu upande mwingine wa chumba wapange wanawake watatu. Mmoja awe mke wake, wawili wawe wanawake ambao pengine hawajui/anawajua, lakini hajawahi kuwagonga. Kioo kiwe transparent upande mmoja, wanawake wasione upande wa pili alipo mwanaume.

Halafu sasa muulize mwanaume angetamani afanye mapenzi na mwanamke yupi katika hao.

Heheheheee... Akiwa 'honesty' haitotokea akachagua eti amgonge tena mke wake, hakuna jipya pale! Always atakua curious 'kumpiga mashine' mwanamke ambaye hajamkaza before.

Ujue sababu ni nini? Mke wake ashampiga MABAO sana tu. Kiasi kwamba ile 'curiosity' ishagapotea kitambo.

SASA KIPI KIFANYIKE?

Utafiti umefanyika. Na imethibitika kwamba.....

Ukitaka usimchoke mwanamke mapema, jitahidi wakati mnafanya mapenzi usiwe unapiga BAO. Usiwe unamwaga. Yaani ukishamwaga lazima umkinai mwanamke. Hata awe na msambwanda wenye ujazo wa 5000 kg.

Kama ni mkeo wa ndoa?
Fanye uwe unapiga BAO mara chache mno, hasa pale mnapotarajia kupata mtoto.

Mie wanawake karibu wote kumi na moja (11) nilowahi kuwa nao/kuwagonga... Leo hii ukinambia niwarudie yaani sina kabisa appetite nao. Nataman nipate mwanamke 'mpya'.

Kupiga BAO ni climax stage ya mapenzi. Mwanaume ukishapiga BAO baaasi end of the story.

Kuna jamaa yangu anaitwa JAFFARY anaishi Goba Njia Nne ananiambiaga, yaani akilala na mwanamke akimaliza tu kumwaga, hamu yote inakata. Anatamani hata amfukuze mwanamke asepe mapema iwezekanavyo.

Ukitaka usimkinai mwanamke mapema, jitahidi usiwe unapiga BAO!

Mwanamke wangu nilonae sasa hivi, tumedumu miezi saba sijawahi kumpiga BAO. Kumgonga namgonga, lakin kumwaga ng'ooo. Siwazii kabisa wanawake wengine. Hajani-kinai.

Mazozei ya 'Kegel' yamenisaidia sana.
Ile kitu kwel usimwageee🙃🙃🙃🙃
 
Ndiyo nani huyo Ndugu?
Rafiki yangu mmoja hivi alisoma chuo cha SAUT akakaa hostel moja na mwanasiasa mmoja toka Kigoma, akawa anamuonea sana kwa sababu ya ubabe wake uliotukuka kabisa.

Ni kijana well Talented and Charismatic Feller, namkubali sana.
 
Rafiki yangu mmoja hivi alisoma chuo cha SAUT akakaa hostel moja na mwanasiasa mmoja toka Kigoma, akawa anamuonea sana kwa sababu ya ubabe wake uliotukuka kabisa.

Ni kijana well Talented and Charismatic Feller, namkubali sana.
Angalia. Ndugu utakuwa Umechanganya kwani Mimi naitwa MINOCYCLINE ni Mpemba niko hapa Nungwi Zanzibar Majina yangu Halisi ni Omary Bahari Kibua halafu hata Chuo Kikuu sikufika na nimeishia tu Darasa la Saba.
 
Back
Top Bottom