Ukitaka usimkinai mwanamke, usiwe unapiga bao!

Hata kama hamna vimgogoro bhana kuna namna zile simu za mara kwa mara, text za mara kwa mara za kabla ya kula papuchi zinapunguaga. Hadi tunaanza kujishtukia.

Vile vile na kwenu pia, sio kwa wanawake tu. Hadi mnaanza kuwaza labda mli under perform.
Hiyo ni kawaida. Unajua mwanzo wa penzi mambo huwa moto moto ila mkizoeana kidogo amsha hupungua ila kama mna click haiwezi kuwa ile ya kupotezeana kabisa. Sema tu ni namna mnavyojua ku spice mambo ndo hufanya penzi lisidorore.

Kinachopelekeaga hayo ni ile kila mmoja kuji mwambafai kuwa hawezi kumcheki mwenzake asije kuonekana ana shobo sana au aonekane yeye ndio ka fall zaidi. Ila mkiwa wote mnaelewana hamna kinachofeli.
 
Kweli marekani wasiache kutoa misaada ya NJUGUMAWE tu, tutaangamia kwa hio listi naomba nijiweke kando tu.πŸ˜‚
 
Umegonga wanawake 11 tu unajifanya unajua mapenzi sie wengine tushagonga hadi 299+ tunakuangalia tu,sikia dogo kuna wanawake wana utamu wa ajabu gusa unate,hawakinaishi,ukiingia hutoki
Huyo mtoa uzi ni mtoto mdogo sana.

mimi mpaka sasa nikiri kuwa mke wangu sijamkinai, sababu siyo mvivu kitandani.

anatuambiaje pumba hizi na ndo kwanza ana wanawake 11 tu
 
Mapenzi ya kitoto ndio hutawaliwa na mashindano ya nani ampigie mwenzie simu ila mkiwa watu wazima hamna ujinga
 
Eeh 11 tu hata daladala haijai isee jitahidi bado sana wewe..
 
Mkuu ukimuzoa mwanamke kurudia tendo huwa ni kazi sana,kama.unabisha chukulia mfano mke wako kabla ya kumuoa na baada ya kumuoa
 
Achana na mimi unataka uniongezee tu idadi[emoji22][emoji22].
Mtoa mada kalala na wanawake kibao (11) huku mimi ni mwanamke na sikumbuki idadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nimejisikia vibaya sana.
Mkuu wewe itakuwa unajaza tren ya Kigoma-Dar.
 
Mkuu ukimuzoa mwanamke kurudia tendo huwa ni kazi sana,kama.unabisha chukulia mfano mke wako kabla ya kumuoa na baada ya kumuoa
Ssikupingi, hasa km kuna vitu vitakosekana. Itabidi ipite miaka kadhaa, nimkinai. Sijui itakuwa mingapi, nisharuka saana, lakini sijawahi kupata lenzi mbonyeo tamu kama yake.. Kwingine huwa natamani sababu tumeumbwa hivyo, ila kile kipochi huwa nakimisi, na nikishusha mzigo huwa mpaka vidole vinajikunja na si kawaida yangu. πŸ˜‚
 
Sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…