Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Ukitaka wanawake wengi wakuchukie, waambie ukweli

Wanaume wote mliocoment humu pamoja na mtibeli wenu acheni uongo na kujifariji,hakuna binadamu anayependa kuambiwa Ukweli si mwanaume Wala si mwanamke,How?

1.Wanaume wengi mmekuwa mnakasirika pindi anapoambiwa Ukweli na Wanawake kwamba "Fulani huna uwezo wa kunimiliki kwa kuwa huna kipato Cha kukutosha wewe na kunihudumia Mimi"hili neno huwa ni chanzo cha Vita ya tatu ya Dunia...huwa hampendi kabisa kusikia huu Ukweli mnapenda kuambiwa hivi"Fulani wewe ni mpambanaji hakuna kitu unashindwa"wakati kiukweli humuwezi kweli kumgharamikia huyo mtu

2.Unakuta mwanaume mchafu,ananuka kwapa,kinywa kichafu,viatu navyo uvundo Sasa jaribu kumwambia Ukweli,hiyo utakuwa umepress kinu Cha nuclear...WW3

Kuna scenario nyingi,nachoka kuandika,Ila kung'ang'ania mwanamke ndio hapendi kusikia Ukweli Nina mashaka,mi nadhani ungesema Kuna baadhi ya binadamu either ni wa kike au wa kiume hawapendi kusikia ukweli

Mmekuwa property mnatafuta wenza wa kuwamiliki?? Thamani yenu mnaishusha wenyewe na hii inaenda mbali kwa nyinyi kukana sifa za nyinyi kuwa binadamu na huu unakuwa utumwa wa kujitakia.

Halafu harakati zetu zinapoanza mna-attack wanaume kama wanawatweza, wanawanyanyasa na kuwanyima nyenzo za kukua.

Sisemi kwa ubaya lakini kuna haja ya wanawake wengi kubadili fikra na mitazamo kulingana na ukweli wa maisha ulivyo. Matatizo mengi mnayoyapata chanzo chake kikubwa kinaanza na fikra duni na kuukwepa uhalisia aidha kwa kujua au kutokujua.
 
Mmekuwa property mnatafuta wenza wa kuwamiliki?? Thamani yenu mnaishusha wenyewe na hii inaenda mbali kwa nyinyi kukana sifa za nyinyi kuwa binadamu na huu unakuwa utumwa wa kujitakia.

Halafu harakati zetu zinapoanza mna-attack wanaume kama wanawatweza, wanawanyanyasa na kuwanyima nyenzo za kukua.

Sisemi kwa ubaya lakini kuna haja ya wanawake wengi kubadili fikra na mitazamo kulingana na ukweli wa maisha ulivyo. Matatizo mengi mnayoyapata chanzo chake kikubwa kinaanza na fikra duni na kuukwepa uhalisia aidha kwa kujua au kutokujua.
Usipingane na nature bro"
Mwanaume ni provider,kiongozi na kichwa Cha familia tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.kubali kataa mwanaume anayejitambua lazima atamhudumia mke na familia yake.... Kizazi kipya ndio kinageuza mambo wanaume nao wataka kulelewa na wanawake
 
Usipingane na nature bro"
Mwanaume ni provider,kiongozi na kichwa Cha familia tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.kubali kataa mwanaume anayejitambua lazima atamhudumia mke na familia yake.... Kizazi kipya ndio kinageuza mambo wanaume nao wataka kulelewa na wanawake

Nature imechaguwa wewe uwe property umilikiwe? zinamilikiwa nyumba, ardhi, mifugo n.k. je, na ww unataka kuingia kwenye hili kundi??
Desturi ya wanaume kutafuta chakula na mahitaji mengine ilitokana na utaratibu wa mgawanyo wa majukumu ikiwa mwanamke utabaki ndani ufue, upike, ufagie na ulee watoto (na hili sijalikataa nalikubali na hakuna sehemu nimepinga) ila ninachokataa ni wewe kusema hadharani unapaswa kumilikiwa badala ya kufikiria kuwa mwanaume sio MMILIKI wako bali ni MWENZA ambaye mmegawana majukumu kama ilivyo kulingana na mila na desturi.
 
Nature imechaguwa wewe uwe property umilikiwe? zinamilikiwa nyumba, ardhi, mifugo n.k. je, na ww unataka kuingia kwenye hili kundi??
Desturi ya wanaume kutafuta chakula na mahitaji mengine ilitokana na utaratibu wa mgawanyo wa majukumu ikiwa mwanamke utabaki ndani ufue, upike, ufagie na ulee watoto (na hili sijalikataa nalikubali na hakuna sehemu nimepinga) ila ninachokataa ni wewe kusema hadharani unapaswa kumilikiwa badala ya kufikiria kuwa mwanaume sio MMILIKI wako bali ni MWENZA ambaye mmegawana majukumu kama ilivyo kulingana na mila na desturi.
Unaelewa maana ya kumtolea mke mahali?hebu tuanzie hapa
 
Basi tafuta wazee waulize kwanza Maana ya kumtolea mwanamke mahali ndio ufanye analysis.

Mjadala nafanya na wewe halafu wazee wanaingiaje hapa? Wanajua subject matter ya tunachozungumzia? Wanaweza vipi kuhawilisha majibu yao kwa muktadha wa hiki tunachojadili? Je, mtazamo wa mahali unaelezwa katika uwanda mmoja tu au kuna mitazamo kulingana na dini? Mila? Tofauti za kijiografia? Saikolojia??. Kaa hapa tujadiliane kwa hoja sio kukimbiakimbia
 
Mjadala nafanya na wewe halafu wazee wanaingiaje hapa? Wanajua subject matter ya tunachozungumzia? Wanaweza vipi kuhawilisha majibu yao kwa muktadha wa hiki tunachojadili? Je, mtazamo wa mahali unaelezwa katika uwanda mmoja tu au kuna mitazamo kulingana na dini? Mila? Tofauti za kijiografia? Saikolojia??. Kaa hapa tujadiliane kwa hoja sio kukimbiakimbia
Naona uvivu kujadili na mtu anayenipa majibu mepesi,hajui Maana ya mahari Sasa huyo si Inabidi nianze nae Arif kabisa aaah
 
Naona uvivu kujadili na mtu anayenipa majibu mepesi,hajui Maana ya mahari Sasa huyo si Inabidi nianze nae Arif kabisa aaah
Achana nae huyo, anakupotezea muda hana mpango wa kuoa huyo

Angekuwa na mpango ange jua nn maana ya mahari
 
Yaani mtu ashindwe kukumiliki kwasababu wewe una nini cha thamani? Maana mwanamke kitu cha thamani kwake ni uchi tu..na bahati mbaya sasa wanawake wengi uchi zao sio nzuri kama wanavyofikiria...Unakuta mwanamke kwa nje ana muonekano mzuri lakin uchi wake takataka kabisa. Halaf bado anataka umuone ana thamani ya juu!
Kumbe na wewe umeliona hilo....all they have to offer is punani
 
Wengi wana uwezo wa kuujua ukweli lakini sio wote wanaopenda kuufata.

Kwa mfano

Kwenye circle ya kimahusiano, mwanamke anaweza kutongozwa na wanaume tofauti tofauti.

Katika hao anaweza akamuona mwanaume ambaye anajua kabisa mwanaume huyu ni husband material.

Mwanaume ambaye ana ambitions za kimaisha (husler) anayeweza kujenga naye maisha.

Lakini mwanamke akaamua kuachana naye kwasababu ya vitu vidogo tu kama muonekano (marafiki zake watamuonaje) au ni mtu fulani hivi ambaye hajichanganyi kwenye viwanja vya starehe ambapo huko anaweza kuvimbiana na marafiki zake (showoffs)

Halafu akaenda kujenga mahusiano na mwanaume mwingine ambaye anafahamu kabisa kuwa huyu si muoaji, ila kwakua ni cheki bob anapiga pamba kali na kuvaa ma chain ya silver anaona sasa huyu ndio atanifaa.
Umepiga kwenye mshono mkuu [emoji3]
 
Back
Top Bottom