Ukitizama hizi picha ndio utagundua ujinga Tanzania bado ni janga kubwa sana, tunahitaji kufanya kitu

Ndio kama post moja ya jamiiforum walikua wanasema taarifa flani sio ya kweli. Hizo comments za watu sasa huko instagram. Ilionesha ni jinsi gani asilimia kubwa ya wabongo sio wafuatiliaji wa mambo na hatuna muda wa kusoma caption.
 
watanzania baada yakuona logo ya NIDA wakaanza kukoment kama ifuatavyo,

hapa ndio nimegundua mtaji wa CCM ni mkubwa sana nchi hii
View attachment 3046484
View attachment 3046485
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Hawana nida au sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nimecheka kwa saut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…