Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwa hiyo tukizitoa hizo point ndo yatakua makubwa?Kwa kuwa Yanga wanayaona mashindano ya shirikisho ni madogo Sana kwao, Kwa Sasa kama pointi Yanga walizopata kwa kuingia fainali ya Kombe la shirikisho Afrika zikitolewa, Yanga itabakiwa na point ngapi?
Bila ya kuingia fainali za shirikisho Yanga ingekuwa hapo ilipo?
Hayo madogo ndiyo yaliwapa kile kiburi Cha kusema kuwa mna fyekeo la rank za CAF.Kwa hiyo tukizitoa hizo point ndo yatakua makubwa?
Ama kweli mzee rage hakukosea kuwaita mbu watatu(mbu+mbu+mbu)
Swali la msingi hili.Unatoa unazipeleka wapi?
Walipojumlisha zile tano walizipata wapi😀😆😃Swali la msingi hili.
Point wala haziondoi uhalisia kua ni mashindano madogo, hivo ukubalini uhalisia vijana wa rage.Hayo madogo ndiyo yaliwapa kile kiburi Cha kusema kuwa mna fyekeo la rank za CAF.
Udogo wake unatokana na nini? Maana huku ndiyo wale wenye rank kubwa kuliko Yanga kwenye CAF ndiyo wapo huko.Point wala haziondoi uhalisia kua ni mashindano madogo, hivo ukubalini uhalisia vijana wa rage.
NI Bora na kuja cheza mashindano ya Shirikisho na Copco ya Ilala. Nakuunga mkono...Point wala haziondoi uhalisia kua ni mashindano madogo, hivo ukubalini uhalisia vijana wa rage.
Udogo wake unatokana na hadhi ya mashindano, hivo hata angeshiriki al ahly bado yangebaki na sifa yake ya udogo.Udogo wale unatokana na nini? Maana huku ndiyo wale wenye rank kubwa kuliko Yanga kwenye CAF ndiyo wapo huko.
Vijana wa rage kwani mkiukubali uhalisia kua mnashiriki madogo mtapungukiwa nini?NI Bora na kuja cheza mashindano ya Shirikisho na Copco ya Ilala. Nakuunga mkono.
Vijana wa rage kwani mkiukubali uhalisia kua mnashiriki madogo mtapungukiwa nini?
Hongera mkuu, umekua kolo wa kwanza kuukubali uhalisia wa kushiriki mashindano madogo, sasa utakua huru.
Hongera mkuu, umekua kolo wa kwanza kuukubali uhalisia wa kushiriki mashindano madogo, sasa utakua huru.