Ukitoa pointi Yanga ilipata Kwa kuingia fainali shirikisho, Yanga inabakiwa na pointi ngapi?

Ukitoa pointi Yanga ilipata Kwa kuingia fainali shirikisho, Yanga inabakiwa na pointi ngapi?

Kwa kuwa Yanga wanayaona mashindano ya shirikisho ni madogo Sana kwao, Kwa Sasa kama pointi Yanga walizopata kwa kuingia fainali ya Kombe la shirikisho Afrika zikitolewa, Yanga itabakiwa na point ngapi?

Bila ya kuingia fainali za shirikisho Yanga ingekuwa hapo ilipo?
Kwa hiyo tukizitoa hizo point ndo yatakua makubwa?

Ama kweli mzee rage hakukosea kuwaita mbu watatu(mbu+mbu+mbu)
 
Vijana wa rage kwani mkiukubali uhalisia kua mnashiriki madogo mtapungukiwa nini?
Screenshot_2025-01-21-14-55-42-994_com.twitter.android.jpg
 
Yanga inaenda kupata anguko kuu kwenye ranking za CAF.

Kwa jinsi miaka inavyokwenda uzito wa zile points walizopata Shirikisho unazidi kupungua katika mahesabu ya ranking yao na baada ya misimu miwili utapotea kabisa na hivi timu yenyewe hata kuingia robo fainali ni mtihani tutegemee baada ya miaka 2 washuke hadi nafasi ya 20 huko.
 
Back
Top Bottom