Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu vya ndege utatamani kulia machozi

Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu vya ndege utatamani kulia machozi

Mtoa mada.. nakushaur ufatilie statistics za Watalii je wanakuja wangapi nchini? Kisha ndio ujue kuna wingi wa ndege au uchache?....

Nchi yetu asilimia 70 wasafiri ni watalii.

Nakupa hiyo homework.
Duuh mtihani
Kwa hiyo ndege ni kwa ajili ya watalii tu.
 
Mara ukija Tanzania Yale mabati ya Buza Buguruni na vingunguti yanatia aibu!
Mara oooh uwanja hauko busy...
Matajiri mna nongwa sana....
Anyway ngoja nikapande Saratonga mimi ni enjoy nature
 
Nakumbuka miaka ile ya 90 nilikuwa naenda airport dar kuangalia midege ya KLM, BA,SWISS Air, SABENA nk. Sijui kama yote yanakuja
Inawezekana tulikuwa tunakutana, muaka hiyo nakaa majumba sita nikichoka zangu napanda kule juu. Nasikia baada ya matukio ya ugaidi hizo mambo zilizuiliwa.
 
Mashirika ya ndege yaje Tanzania, kufuata nini? Halafu kwa umaskini huu wa watanzania hizo ndege atapanda nani?

Angalia mtaani kwako tu. Kuna kijiwe cha bodaboda hapo jirani? Basi kama kipo, hiyo ndiyo hali ya maisha ya wabongo.
Ni ulimbikaji wa kodi na ubepari tu, mbona fastjet alikuwa na nauli ambazo haziumizi? TZ ukipanda ndege ni kama anasa lkn ndio usafiri unaotakiwa kukuza uchumi wa nchi kwa kuwa ni wa haraka.
 
Kuna hivi visiwa mashariki ya msumbiji kila baada ya dk 10 kuna ndege inatua au kuondoka, sijui kuna biashara gani huko ambayo wametuzidi.

Screenshot_20240613_075918_Flightradar24.jpg
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Huduma ya ndege ni biashara,wenye ndege nao wanaangalia faida,huwezi kuileta ndege tu Tanzania wakati hakuna abiria wa kutosha,ukuaji wa uchumi wenu ndio utaka determine idadi ya ndege zitakazotua nchini kwenu,na kwa hali hii ya kila mtu kupiga kadri awezavyo kwa Tanzania itakuwa ni muujiza...
 
Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.

Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.

Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.

Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.

Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Free wifi ipo JNIA. Unafeli wapi?
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Ndege haziji Kwa Ajili ya kuonekana Bali demand ikiwepo ndio zitakuja.

Zaidi ya raia mili.40 ni maskini wa kutupwa ,unatagemea watapanda ndege?

Naona umetoka Nje Kwa mara ya kwanza
 
Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.

Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.

Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.

Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.

Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Mwaka huu free wifi Wataweka na maeneo mengine mfano stendi za Mabasi.
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Kuajiri watu competent ni suala ambalo wameshindwa kbs is why hizo sehem zinayumba. People dont think outside the box, no creativity at all
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Angalia sasa mapaa ya nyumba ukiwa angani..!! Hatari. Mapaa ya nje yamekaa mstari ulionyooka na hayana kutu. Huku kwetu utadhani upo juu ya jalala..!!
 
Mfumo wetu wa ajira ni tatizo Sana. Niliwahi Kuwa afisa HR taasisi fulani. Simu za mpitishe mwanangu, ndugu yangu, shemeji yako zilikuwa nyingi Sana. Kwa mfumo huu utapataje watu wazuri?. Nadhani hata kwengine mambo ni haya hata. Matokeo ya ajira za hivi ni wizi, fitina, uzembe, mapuuza, majungu nk.
Naamini Tanzania watu wenye uwezo wa kuendesha mambo Kwa ufanisi wapo wengi.
 
Back
Top Bottom