Exactly, wewe una kumbukumbu nzuri, Ugaidi ulizingua hasa baada ya 1998Miaka ile tulikuwa tunaruhusiwa kupanda juu kule kuangalia ndege, ilikuwa kama vile family outing, lakini ndio hivyo Osama akavuruga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly, wewe una kumbukumbu nzuri, Ugaidi ulizingua hasa baada ya 1998Miaka ile tulikuwa tunaruhusiwa kupanda juu kule kuangalia ndege, ilikuwa kama vile family outing, lakini ndio hivyo Osama akavuruga.
Afadhali kidogo japo huwezi kulinganisha na ule Wa Chato na viwanja vingine vidogo vidogoSongwe ipo busy? Au mimi sielewi maana ya busy?
Sasa hao ni baba lao kwenye sekta ya anga....bora ungelinganisha na Ug au RwEthiopia
Duuh mtihaniMtoa mada.. nakushaur ufatilie statistics za Watalii je wanakuja wangapi nchini? Kisha ndio ujue kuna wingi wa ndege au uchache?....
Nchi yetu asilimia 70 wasafiri ni watalii.
Nakupa hiyo homework.
KenyaSasa hao ni baba lao kwenye sekta ya anga....bora ungelinganisha na Ug au Rw
Inawezekana tulikuwa tunakutana, muaka hiyo nakaa majumba sita nikichoka zangu napanda kule juu. Nasikia baada ya matukio ya ugaidi hizo mambo zilizuiliwa.Nakumbuka miaka ile ya 90 nilikuwa naenda airport dar kuangalia midege ya KLM, BA,SWISS Air, SABENA nk. Sijui kama yote yanakuja
Nenda Airport kama Arusha hapo.. ndio utajua naongea nini.Duuh mtihani
Kwa hiyo ndege ni kwa ajili ya watalii tu.
Ni ulimbikaji wa kodi na ubepari tu, mbona fastjet alikuwa na nauli ambazo haziumizi? TZ ukipanda ndege ni kama anasa lkn ndio usafiri unaotakiwa kukuza uchumi wa nchi kwa kuwa ni wa haraka.Mashirika ya ndege yaje Tanzania, kufuata nini? Halafu kwa umaskini huu wa watanzania hizo ndege atapanda nani?
Angalia mtaani kwako tu. Kuna kijiwe cha bodaboda hapo jirani? Basi kama kipo, hiyo ndiyo hali ya maisha ya wabongo.
Huduma ya ndege ni biashara,wenye ndege nao wanaangalia faida,huwezi kuileta ndege tu Tanzania wakati hakuna abiria wa kutosha,ukuaji wa uchumi wenu ndio utaka determine idadi ya ndege zitakazotua nchini kwenu,na kwa hali hii ya kila mtu kupiga kadri awezavyo kwa Tanzania itakuwa ni muujiza...Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.
Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.
Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Wawekezaji kwenye sekta ya utalii wanafanya vizuri sana kwenye hizo nchi...Kuna hivi visiwa mashariki ya msumbiji kila baada ya dk 10 kuna ndege inatua au kuondoka, sijui kuna biashara gani huko ambayo wametuzidi.
View attachment 3016087
Free wifi ipo JNIA. Unafeli wapi?Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.
Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.
Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.
Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.
Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Ndege haziji Kwa Ajili ya kuonekana Bali demand ikiwepo ndio zitakuja.Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.
Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.
Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Ethiopia ni hub ya Africa Mashariki 👇👇Ethiopia
Mwaka huu free wifi Wataweka na maeneo mengine mfano stendi za Mabasi.Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.
Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.
Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.
Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.
Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Kuajiri watu competent ni suala ambalo wameshindwa kbs is why hizo sehem zinayumba. People dont think outside the box, no creativity at allUkitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.
Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.
Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Angalia sasa mapaa ya nyumba ukiwa angani..!! Hatari. Mapaa ya nje yamekaa mstari ulionyooka na hayana kutu. Huku kwetu utadhani upo juu ya jalala..!!Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.
Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.
Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini