Hivi CAF na UEFA nani anajuwa mpira?CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.
Kuwapiga walevi wenzie .Hawaamini alichofanya yanga shirikisho, hawataki yajirudie tena.
Hii inawahusu SimbaCAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.
Young Africans walijua hili ndio maana wanafanya mambo yao professionally. Tuko paleeeee[emoji16]CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.
Huu ni mtego wa panya,waweza mnasa yeyoteYANGA jipangeni kweli KWELI.
CLABU BINGWA si MCHEZO.
CLABU BINGWA sio Loosers.
Bakisheni wachezaji Muhimu kwenye tibu.
Best Eleven.
Ongezeni No 10.
Na mawinga WA MAANA.
Uzeni mafunguo ameshindwa.
Ndo ujinga wa CAF, mashindano ya Shirikisho yatadorora.Hivi CAF na UEFA nani anajuwa mpira?
Mechi ya funguwa dimba ni Simba na Jwaneng Galaxy ili muionee huruma vizuri Yanga.Nawaonea huruma UTOPWINYO.
Ukimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.YANGA jipangeni kweli KWELI.
CLABU BINGWA si MCHEZO.
CLABU BINGWA sio Loosers.
Bakisheni wachezaji Muhimu kwenye tibu.
Best Eleven.
Ongezeni No 10.
Na mawinga WA MAANA.
Uzeni mafunguo ameshindwa.