OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Uto wataenda wapi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wakirudi kwenye Ligi ya ndani wanakutana tena na wababe wao Mashujaa!!Mechi ya funguwa dimba ni Simba na Jwaneng Galaxy ili muionee huruma vizuri Yanga.
Uto wataenda wapi sasa
Karia na mpira wapi na wapi?Hivi CAF na UEFA nani anajuwa mpira?
Kwa kifupi hiyo Picha kuna marais watatu.Usituwekee hii picha, sisi SeMBe tukiiona inatuumiza sana.
Inakuaje Uto wanapiga picha na Viongozi wakuu wa nchi mbili tena ugenini.
Alichukua kombe lao?Hawaamini alichofanya yanga shirikisho, hawataki yajirudie tena.
Kwani Gwaneng Galaxy waliwafaje?mlivyokwenda kuwasha moto wa ushirikina kule South mlikuwa mnashiriki kombe gani?Masikini Uto,sasa itakuwaje au ndio waturudia kazi yao ya kupokea wageni?
Ukiachana na Rais wa Tz na huyo wa Malawi, huyo wa tatu ni Rais wa familia yako.Kwa kifupi hiyo Picha kuna marais watatu.
Jibu unalo, ila walibip wakapigiwa halafu hawana cha kuongea.Alichukua kombe lao?
Na nyingine kama RS Berkane waondolewe kwenye orodha ya mabingwa wa hilo kombe.Ikiwezekana hii sheria irudi nyuma ipitie mchakato wa hili kombe la shirikisho kuna timu zinatakiwa zinyang'anywe medali🐒
Simba kuwasha moto mbona kawaida,Simba waliwai kuwaunguza Yanga 6-0 shamba la bibi.Kwani Gwaneng Galaxy waliwafaje?mlivyokwenda kuwasha moto wa ushirikina kule South mlikuwa mnashiriki kombe gani?
Fainali ya CAF aggregate Yanga 2 USMA 2.Simba kuwasha moto mbona kawaida,Simba waliwai kuwaunguza Yanga 6-0 shamba la bibi.
Jwaneng Galaxy Vs Simba agrigate ni 3-3,kanuni ikawatoa Simba kwenye mashindano,wewe unataka kusema nini phd ya makopo?
Hapo pia kanuni imewapa ubingwa Usm Alger.Fainali ya CAF aggregate Yanga 2 USMA 2.
Unataka kusemaje wewe tutusa mbumbumbu wahed.