Ukitolewa CAF Champions league hakuna kuingia shirikisho, Dezo yafutwa

Ukitolewa CAF Champions league hakuna kuingia shirikisho, Dezo yafutwa

Wameharibu. Timu zinazochangamsha shirikisho ni kutoka kombe la mabingwa. Wameyaharibu hayo mashindano.
 
Ikiwezekana hii sheria irudi nyuma ipitie mchakato wa hili kombe la shirikisho kuna timu zinatakiwa zinyang'anywe medali🐒
Watatoka nduki wasikabidhi medali walizozipata kimazabe mazabe, si wana watimua vumbi mithili ya vibaka kama Kinyambe (Tui la nazi Sila)?
 
CAF wameliondolea uzito kombe la Confederation wakati UEFA wanaliongezea uzito kombe lao la Europa League kwa kujumuisha timu 32 zinazotolewa kwenye Chapions. Maendelea ya soka hayana bara, lakini bara la Ulaya linaendeleza soka wakati bara la Afrika linarudisha nyuma soka.
 
YANGA jipangeni kweli KWELI.

CLABU BINGWA si MCHEZO.

CLABU BINGWA sio Loosers.

Bakisheni wachezaji Muhimu kwenye tibu.
Best Eleven.

Ongezeni No 10.
Na mawinga WA MAANA.

Uzeni mafunguo ameshindwa.
Ninyi mmejipanga tayari?
Maana mnasajili wachezaji waliocheza losers competition
Vp hamna Hela ya kusajili wachezaji wa champions
 
Kiazi inaunguza Mkaa

Kwa walichofanya CAF

Kunaye Team ziatajua maana ya Mabingwa Africa..maana ya Robo fainali😀😀😀😀😀
 
CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.

Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.


Ni kilio kwa wananchi ambao huvizia kuingizwa huko baada ya kufumushwa na wanaume kwenye caf champions league!! Hakuna tena kupambanishwa na vibonde wanaoelekea kushuka daraja kama malumo!!
 
Azam na singida zinaweza kuwahi kushinda ubingwa wa haya mashindano.

Nasikia yanga wamepeleka barua wacheze huko kisa walifika fainali.
 
Back
Top Bottom