Ukitolewa CAF Champions league hakuna kuingia shirikisho, Dezo yafutwa

Ukitolewa CAF Champions league hakuna kuingia shirikisho, Dezo yafutwa

CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.

Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.


Kichaka chenu mlichokuwa mmebakisha kujisifia kuwa mnafanya vizuri sasa yanga anakwenda kukifyeka, yanga anakwenda kuweka rekodi nyingine ya kuvuka malengo caf champions league, utake ndiyo ivyo ukatae ndiyo hivyo, yanga bado anacho kikosi bora cha kuendeleza alipoishia, maingizo mapya machache yataongeza quality kwenye kikosi, key prayers wote bado wapo ambao ndio uti wa mgongo wa timu, kwa maana iyo mbivu na mbichi za wapiga ramli, propaganda na kelele za mitandaoni tutaziona uwanjani na sio vinginevyo, timu bora itaonekana uwanjani na tutaona nani bora!
 
Hapo inteligensia kubwa imetumika. Kuna timu pamoja na rekodi zao mbovu huko champions league kwa miaka zaidi ya 25, zilikuwa zimepanga kufanya kila juhudi zitoke mapema champions league ili ziangukie huko shirikisho. Safari hii tutajua mbivu na mbichi mamaeeee
 
Ujio wa mashujaa kwenye ligi kuu ni habari mbaya kwa watani zetu wa simba ila niwatie moyo kama hamtashikamana vya kutosha anguko lenu hakuna wa kuwabeba mtadodondoka muishie kuwalaumu Yanga timu ya wananchi
 
Hawaamini alichofanya yanga shirikisho, hawataki yajirudie tena.
Timu zinazocheza shirikisho ni timu ambazo kwenye ligi ya nyumbani kwao ni zile zipo nafasi ya 3 na 4 kwahiyo wa 1 na 2 anatkiwa acheze club bingwa.
Kwahiyo 1 na 2 siyo hadhi yao kule shirikisho. Unacheza na Marumo ambaye kwao ameshuka daraja halafu wewe huku umechukua ubingwa ni kama unawaonea. Siyo hadhi yao kabisa.
Wamefanya maamuzi mazuri, hakuna kujilegeza ukacheze shirikisho, uliwaacha Simba wanapambana Club bingwa pekee yao. Wanaenda kucheza Super Cup, nanyi mlitakiwa muwe super cup
Ni aibu sana mshindi wa pili anacheza club bingwa mpaka robo fainali na supercup huku mshindi wa kwanza ligi ya nyumbani anacheza shirikisho na malawi kwenye sherehe ya uhuru.
 
Ukimya wa usajili wa Yanga unawaumiza sana.
Jamaa kaongea ukweli hata ukimbeza. Club bingwa si mchezo, siyo kama unacheza na Zalan. Jiandaeni kukutana na Al hilal, Al ahly, Wyadad au Mamolod kwenye mechi ya kwanza, ya pili au ya tatu mtoani.
Timu ambayo ipo nafasi ya pili inacheza club bingwa na tena inaenda kucheza super wakati timu iliyochukua kombe inacheza shirikisho. Ni aibu kubwa sana
 
Usituwekee hii picha, sisi SeMBe tukiiona inatuumiza sana.
Inakuaje Uto wanapiga picha na Viongozi wakuu wa nchi mbili tena ugenini.
Unajisifia kupiga picha na viongozi? Simba inaenda kucheza Supercup ambapo kwenu labda miaka 100 ijayo ndiyo mtacheza. Ishavuta bilion 4 tayari. Piga hesabu kuanzia makombe yote mliochuka msimu huu yanafika bilioni 4?
Big Bullet hawawezi kuita Simba, wanawajua vizuri, tuliwapiga nje na ndani Club bingwa. Hakuna kujilegeza mkacheze shirikisho. Nilifurahi sana Simba na Yanga walipokuwa wanacheza club bingwa ila hatimaye Yanga akakimbia mashindano.
 
Halafu wakirudi kwenye Ligi ya ndani wanakutana tena na wababe wao Mashujaa!!
Kufika shirikisho fainali na kuchukua makombe ya nyumbani mnajiita mashujaa? kweli masikini akipata matk hulia mbwatambwata.
Una miaka mingapi unacheza ligi ya nyumbani na umechukua makombe mangapi? Bado unajiita mashuja kwa kucheza na ihefu?
Simba sasa hivi kimataifa ni wa moto balaa kila hatua Yanga anayopiga kumfikia anasogea mbele. Amecheza Club bingwa mpaka robo fainali wakati Yanga amecheza mechi 2 tu. Simba anaenda kucheza Supercup, nanyi mpo Supercup? Nilisahau mlicheza supecup Malawi na kupiga picha na viongozi.
 
Singida foundation gate? Foundation?😅😅
 
Kufika shirikisho fainali na kuchukua makombe ya nyumbani mnajiita mashujaa? kweli masikini akipata matk hulia mbwatambwata.
Una miaka mingapi unacheza ligi ya nyumbani na umechukua makombe mangapi? Bado unajiita mashuja kwa kucheza na ihefu?
Simba sasa hivi kimataifa ni wa moto balaa kila hatua Yanga anayopiga kumfikia anasogea mbele. Amecheza Club bingwa mpaka robo fainali wakati Yanga amecheza mechi 2 tu. Simba anaenda kucheza Supercup, nanyi mpo Supercup? Nilisahau mlicheza supecup Malawi na kupiga picha na viongozi.
Mimi naongelea Mashujaa Fc! Wewe unaongelea kitu kingine tofauti kabisa.
 
Jamaa kaongea ukweli hata ukimbeza. Club bingwa si mchezo, siyo kama unacheza na Zalan. Jiandaeni kukutana na Al hilal, Al ahly, Wyadad au Mamolod kwenye mechi ya kwanza, ya pili au ya tatu mtoani.
Timu ambayo ipo nafasi ya pili inacheza club bingwa na tena inaenda kucheza super wakati timu iliyochukua kombe inacheza shirikisho. Ni aibu kubwa sana
Cha ajabu hiyo timu kubwa iliyo cheza shirikisho ikaishia robo na kupigwa faini ya dola 10k baada ya kuota moto katikati ya uwanja na kuharibu pitch ya watu.

Wewe kama mkubwa au bora basi onyesha ubora wako hata huku kwenye shirikisho.Sio kila siku robo iwe kwenye shirikisho au club bingwa ni mwendo wa robo.
 
Cha ajabu hiyo timu kubwa iliyo cheza shirikisho ikaishia robo na kupigwa faini ya dola 10k baada ya kuota moto katikati ya uwanja na kuharibu pitch ya watu.

Wewe kama mkubwa au bora basi onyesha ubora wako hata huku kwenye shirikisho.Sio kila siku robo iwe kwenye shirikisho au club bingwa ni mwendo wa robo.
Ha ha ha ha
Umeandika kama unajifariji vile. Kuota moto ndiyo imetufanya tutuboe robo fainali ya Champion League na sasa tunaenda kucheza Supercup. Kipindi kile tulifika shirikisho Robo fainail, tukafika tena Champion League robo wakati Yanga ilicheza mechi mbili tu Champion League.
Nyie robo ya Champion League mtachukuwa miaka 200 mbele ndiyo huenda mkacheza. Twende Supecup tukacheze. Ha ha ha ha ha ha ha
 
Ha ha ha ha
Umeandika kama unajifariji vile. Kuota moto ndiyo imetufanya tutuboe robo fainali ya Champion League na sasa tunaenda kucheza Supercup. Kipindi kile tulifika shirikisho Robo fainail, tukafika tena Champion League robo wakati Yanga ilicheza mechi mbili tu Champion League.
Nyie robo ya Champion League mtachukuwa miaka 200 mbele ndiyo huenda mkacheza. Twende Supecup tukacheze. Ha ha ha ha ha ha ha
Nakwambia Yanga akivuka makundi, ujue nusu au fainali. Nyie endeleni kuganda hapo hapo na robo yenu. Supercup tutafika tu ninswala mda kama tulifika Fainal ya CAF confederation na ndio timu ya kwanza kufika level hii kutoka Tz.

Wewe shirikisho unaishia robo, champions robo.
 
CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.

Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.

Utopolo wamesikia
Screenshot_20230424-104026.jpg
 
Back
Top Bottom